Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,427
- 2,148
Wadau naomba ushauri,
Mke wangu anawivu unazidi anafika sehemu mpaka anaingia mtandaoni kama Fb na instagram anaangalia wanao like na kucoment kama ni wasichana anawatukana.
Kwenye simu akibahatika kuishika akiingia WhatsApp akaona picha ya kike anachukua namba, kwangu anafuta kwa kweli napata shida anafuta mpaka namba za wateja wangu.
Mke wangu anawivu unazidi anafika sehemu mpaka anaingia mtandaoni kama Fb na instagram anaangalia wanao like na kucoment kama ni wasichana anawatukana.
Kwenye simu akibahatika kuishika akiingia WhatsApp akaona picha ya kike anachukua namba, kwangu anafuta kwa kweli napata shida anafuta mpaka namba za wateja wangu.