Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Wasalaam wana MMU,
Ukiwa wewe ni mtu mwenye ndoa yako unayoipenda na kuiheshimu,upo katika pilika zako za kuitafutia ugali familia yako uipendayo,na jioni ikawa imefika upo mahali umepumzika,unasikia mwanaume anasifia kwa umahiri usiomithilika kuwa, jamani mke wa mtu mtamu.
Potelea mbali mume wa mtu mtamu, sauti nyingine tokea upande wa kushoto wa meza uliyokaa.
Sasa embu tujadili,hii kauli ya chamtu kitamu ina abudiwa sana nikwanini hawa wanafikia hii hatua? Yale ya temeke yamekuwa hayana nguvu maana wanasema walinasiana kutokana na utamu kuzidi,ndo maana haikutoka.
Je nikweli hii kauli inapaswa kuabudiwa?
Ukiwa wewe ni mtu mwenye ndoa yako unayoipenda na kuiheshimu,upo katika pilika zako za kuitafutia ugali familia yako uipendayo,na jioni ikawa imefika upo mahali umepumzika,unasikia mwanaume anasifia kwa umahiri usiomithilika kuwa, jamani mke wa mtu mtamu.
Potelea mbali mume wa mtu mtamu, sauti nyingine tokea upande wa kushoto wa meza uliyokaa.
Sasa embu tujadili,hii kauli ya chamtu kitamu ina abudiwa sana nikwanini hawa wanafikia hii hatua? Yale ya temeke yamekuwa hayana nguvu maana wanasema walinasiana kutokana na utamu kuzidi,ndo maana haikutoka.
Je nikweli hii kauli inapaswa kuabudiwa?