Haya mwali wangu njoo inbox tuyajenge. Nahisi we ni wandotoHongereni mliopata wapendwa wa ndoto zenu,ni raha na amani mno kumpata mtu mnayeendana.
Nikipata pia ntarudi hapa😛
Haya mwali wangu njoo inbox tuyajenge. Nahisi we ni wandotoHongereni mliopata wapendwa wa ndoto zenu,ni raha na amani mno kumpata mtu mnayeendana.
Nikipata pia ntarudi hapa😛
Mi mwenyewe nahisi wewe ndiye ndoto yangu🙊Haya mwali wangu njoo inbox tuyajenge. Nahisi we ni wandoto
Noo Kuna shida mahali check and she will really get there, usikate tamaaShe used to be, but now..... Big no
Haya mwali wangu, nakuja PM tuanzishe hadithi yetu ya mahaba.Mi mwenyewe nahisi wewe ndiye ndoto yangu🙊
Khaa, haya na wewe wale wote wanaokuonaga mseja waambie kabisa mwisho leo.😬😬Haya mwali wangu, nakuja PM tuanzishe hadithi yetu ya mahaba.
Nakwambia wanaokunanga huolewi waambie mwisho wa mwaka huu.
Kukumbatia mto mwisho mwaka huu mwali wangu.
Kwa wanawake wengi wa Sasa wa ndoto zao huwa hawana mpunga kwa hiyo wanaolewa ili Maisha yaende. Na wakizidiwa huwa wanarudi kwa wandoyo zao kama michepuko. Ndio maana Sasa hivi wake za watu wengi ni michepuko ya waume za watu.Hebu sema ukweli wa moyoni mwako. Hayo mahusiano ulionayo ndiyo ulikuwa ukitamani kuwa nayo ama unasogeza siku?
Juzi kati tulikuwa watu watatu. Wanaume wawili na mwanamke mmoja. Baada ya kuongea sana mwisho wa siku tukaja kuulizana swali hili.
Ikaja kugundulika kuwa wote hatujapata watu sahihi wa ndoto zetu.
Swali kwako.
Je, umebahatika kumpata wa ndoto yako ama unasubiri subiri...
Ahasante sana!Mawazo yako ni mawazo yangu, nilichokipata kimekuwa zaidi hata ya kile cha ndoto yangu, namshukuru Mungu sana alichonipatia pia tulipotoka na tulipo sasa ana mchango mkubwa sanaaaaaaa kimwili, kiuchumi na kiakili.
Maneno ya kimaskini haya 🤔Kikubwa uzima
Pole sana....He used to be, but i came to realise he was acting. Bad enough ndoa haihitaji msanii, uhalisia wako utajulikana tu. He is nt of my dream
Ni kwamba bado jimbo lipo wazi?Hongereni mliopata wapendwa wa ndoto zenu,ni raha na amani mno kumpata mtu mnayeendana.
Nikipata pia ntarudi hapa
Ha ha ha ...
Yaani laiti kila mtu akipewa fursa ya kumchagua ampendaye tutakuwa twafukuzana bila mafanikio. Maana umpendaye naye anampenda mwingine ambaye naye anampenda mwingine....
Swali limekaa kinafki hili ila simply tunavumiliana tu. Wa ndoto zangu tusingewezana
Comment ya 2020 mkuu, ndiyo umeanza kufukua makaburi eehNi kwamba bado jimbo lipo wazi?
, kumbe si ya muda mrefu sana.Comment ya 2020 mkuu, ndiyo umeanza kufukua makaburi eeh
😂 likiwa wazi utajaza sasa au maswali ya kunienjoy tu?🥳, kumbe si ya muda mrefu sana.
Jimbo lilishatekwa.Ni kwamba bado jimbo lipo wazi?