hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
mamaeeeDah! Huyu mwanamke anavyonitunishia misuli daily sidhani kama ndo wandoto huyu.
mamaeeeDah! Huyu mwanamke anavyonitunishia misuli daily sidhani kama ndo wandoto huyu.
Tunapata grade ambazo hatutaki,tunaenda college ambazo hatutaki,kwa sababu ya ambazo hatutakia unakuja kupata kazi ambayo utaki unaoa mke ambae utaki alfu unazaa watoto ambao hamtaki alfu uku unaishi nyumba ambayo utaki mbaya zaidi unakuja kuzeeka vile wee utaki an case closedKwani hizi kazi tunazofanya ndio kazi za ndoto zetu?kiukweli ni watu wachache sana wanaishi kwenye ndoto zao humu duniani,life is just living and worshiping God my friend,hivyo vingine ni ziada tu
Pearl Chelelute huyu huyu wa JAMBO FORUMS? Nakuja inbwobwuongo nikupe simulizi ya mwenzie Suzie yaani Ni nomaHahaha mimi kuna binti 1 anaitwa peary Daahh kitambo enzi za ujana alifanikiwaga sana kuzinyanyasa kuta za moyo wangu bwana weeee nilikuwa sili silali mindset yangu yote ikawa ameiteka yeye " Daahh mpaka leo huwa ninakiri kwamba sijawahi kupenda mwanamke kama jinsi ambavyo nimewahi kumpenda Yule binti
UmetishaTunapata grade ambazo hatutaki,tunaenda college ambazo hatutaki,kwa sababu ya ambazo hatutakia unakuja kupata kazi ambayo utaki unaoa mke ambae utaki alfu unazaa watoto ambao hamtaki alfu uku unaishi nyumba ambayo utaki mbaya zaidi unakuja kuzeeka vile wee utaki an case closed
naked truthTunapata grade ambazo hatutaki,tunaenda college ambazo hatutaki,kwa sababu ya ambazo hatutakia unakuja kupata kazi ambayo utaki unaoa mke ambae utaki alfu unazaa watoto ambao hamtaki alfu uku unaishi nyumba ambayo utaki mbaya zaidi unakuja kuzeeka vile wee utaki an case closed
SureKwani hizi kazi tunazofanya ndio kazi za ndoto zetu?kiukweli ni watu wachache sana wanaishi kwenye ndoto zao humu duniani,life is just living and worshiping God my friend,hivyo vingine ni ziada tu
Mkuu we acha tu. Nna wasi wasi kuna siku ntapokea kipigo cha mbwa koko tu. Hii sio ndoto yangu hii.
tuanze mchakato upya labdaMkuu hilo swali acha kabisa
Kuna msemo unasema ---- kila mwanaume katika maisha yake Ana mwanamke ambaye anampenda lakini Hajafanikiwa kumuoa
Tumesha failedtuanze mchakato upya labda
Mimi nashukuru Mungu mwanamke niliyenaye niwandoto yangu nimetumia muda mrefu kumsaka mpaka nikamtia mikononi na ndoa tumefunga na kunizalia watoto wawili nampenda sana mke wangu na ninajisikia raha sana ninapomwona kwa kuwa tumetoka mbali Mimi na yeye mpaka sasa ninaye na ni furaha ya moyo wangu.Kumpata wa ndoto hakuna hata kidgo
Sema tunawapata wale tulioamua kuwavumilia na wao kutuvumilia basi ili maisha yaende
Maana wa ndoto wako ni yule ambae hana kasoro wala pungufu kila sector yupo sawa jee ukimpata na yeye je wandoto wake unamjua!!?
Swali la kujiuliza
Unaweza jua ndoto ya mwenzako!?
Halafu na wewe unauliza maswali kama ya KIPIMA JOTO ITV.Hebu sema ukweli wa moyoni mwako. Hayo mahusiano ulionayo ndiyo ulikuwa ukitamani kuwa nayo ama unasogeza siku?
Juzi kati tulikuwa watu watatu. Wanaume wawili na mwanamke mmoja. Baada ya kuongea sana mwisho wa siku tukaja kuulizana swali hili.
Ikaja kugundulika kuwa wote hatujapata watu sahihi wa ndoto zetu.
Swali kwako.
Je, umebahatika kumpata wa ndoto yako ama unasubiri subiri...
Dah! Huyu mwanamke anavyonitunishia misuli daily sidhani kama ndo wandoto huyu.
au hii nahitaji mwanaume ili mradi anapumua tu,mengine ziada
Tukianza upya lazima nichukue wa la saba hawa wa kupimiwa kufanya ... hawa sio kabisaTumesha failed
Hisia sio kitu cha kuamua bali it comes naturally
Imekaa powa sanaNimekaa nikatafakarii weee nisubiri au nimsake wa ndoto yangu nikaona hapa kuna dalili ya kugonga 40 sina mke,
basi nikajitoseamo nikajipa zangu moyo (kwani mla dagaa na chipsi wote endpoint si toilet),nikachukua maamuzi magumu.Kwisha.
Mke niliye naye si wa ndoto yangu ila ni mke aliyenipa Mungu na Malaika wake pia sijutii kuwa naye kwani ni zaidi ya yule niliyekuwa namtaka (my dream woman). Bila huyu mwanamke niliye naye sijuwi ningekuwa wapi, kwangu ni Mama yangu, Baba, best friend, msiri wangu mkubwa, yaani ni mambo yote kwangu.
Nadhani tangu kumekucha leo. Hapa ndo umeongea jambo la point zaid kulikoKwani hizi kazi tunazofanya ndio kazi za ndoto zetu?kiukweli ni watu wachache sana wanaishi kwenye ndoto zao humu duniani,life is just living and worshiping God my friend,hivyo vingine ni ziada tu