JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,283
- 9,430
Wakuu,
Kwa zaidi ya miezi sita rafiki yangu wa karibu amekuwa akinieleza juu ya uhusiano wake na binti/dada mmoja mwenye umri ya miaka 27.
Sifa za dada.
Mrefu, maji ya kunde, mchangamfu, wowo kiasi fualani, mcha Mungu tangu utotoni, mpenda watu hasa watoto.
Kwa sifa hizo hapo juu zilimfanya rafiki yangu wa miaka 30 kumchumbia huyu dada mnamo March 2016 na kumvisha pete ya uchumba baada ya kujuana zaidi ya mwaka mmoja.
Baada tu ya kumvisha pete ya uchumba basi dada huyu na rafiki yangu wakafikia hatua nzuri ya mahusiano kiasi cha kuanza kugegedana na kuelezana ukweli wa kila kitu na kuwa wazi zaidi kwa kila mmoja.Katika kuelezana ukweli wao kuna kitu rafiki yangu kinamfanya awaze sana kila kukicha.
Hapa nanukuu maneno ya rafiki yangu.
" Nimekuwa nikukutana na mke wangu mtarajiwa mara kadhaa, lakini kila nikikutana nae ananambia sijawahi kumfikisha kileleni na huwa hafurahii penzi hata kidogo. baada ya kuumdadisi sana akanambia hana hisia ukeni hata kidogo, hata mimi nikifika huwa ajui lamba aone mapigo yangu yanapoongezeka. Nimejiuliza lambda hana nguvu za kike. Sijui nifanyeje?."
Hayo ndio maneno ya rafiki yangu. Msaada wenu wandugu tunusu haya mahusiano yawe mazuri.
Kwa zaidi ya miezi sita rafiki yangu wa karibu amekuwa akinieleza juu ya uhusiano wake na binti/dada mmoja mwenye umri ya miaka 27.
Sifa za dada.
Mrefu, maji ya kunde, mchangamfu, wowo kiasi fualani, mcha Mungu tangu utotoni, mpenda watu hasa watoto.
Kwa sifa hizo hapo juu zilimfanya rafiki yangu wa miaka 30 kumchumbia huyu dada mnamo March 2016 na kumvisha pete ya uchumba baada ya kujuana zaidi ya mwaka mmoja.
Baada tu ya kumvisha pete ya uchumba basi dada huyu na rafiki yangu wakafikia hatua nzuri ya mahusiano kiasi cha kuanza kugegedana na kuelezana ukweli wa kila kitu na kuwa wazi zaidi kwa kila mmoja.Katika kuelezana ukweli wao kuna kitu rafiki yangu kinamfanya awaze sana kila kukicha.
Hapa nanukuu maneno ya rafiki yangu.
" Nimekuwa nikukutana na mke wangu mtarajiwa mara kadhaa, lakini kila nikikutana nae ananambia sijawahi kumfikisha kileleni na huwa hafurahii penzi hata kidogo. baada ya kuumdadisi sana akanambia hana hisia ukeni hata kidogo, hata mimi nikifika huwa ajui lamba aone mapigo yangu yanapoongezeka. Nimejiuliza lambda hana nguvu za kike. Sijui nifanyeje?."
Hayo ndio maneno ya rafiki yangu. Msaada wenu wandugu tunusu haya mahusiano yawe mazuri.