Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Wapendwa
ndoa ya rafiki na jirani yangu iko hati hati ya kuvunjika, kisa jamaa katafuta mke mdogo (ofcourse anasema dini yake inamruhusu). Niliwahi kumwonya mke hakunisikia...kisa jamaa amechoshwa na tabia ya ubishi aliyo nayo mkewe. Nimeishiwa ushauri wa kutoa maana hata mimi tabia ya mke kuwa mbishi kupita kiasi kwa mume siipendi though I feel pity to those little girls (watoto wao). Naomba kujazwa maneno kwa ajili ya kujaribu kumshauri jamaa na mke pia.
NB: Jamaa hajaoa bado, amepose idea na hiyo ni baada ya kuitisha vikao vingi vya wazazi wao ili kumwonya mke na mke ndiyo ubishi umezidi na ujeuri umeongezeka
ndoa ya rafiki na jirani yangu iko hati hati ya kuvunjika, kisa jamaa katafuta mke mdogo (ofcourse anasema dini yake inamruhusu). Niliwahi kumwonya mke hakunisikia...kisa jamaa amechoshwa na tabia ya ubishi aliyo nayo mkewe. Nimeishiwa ushauri wa kutoa maana hata mimi tabia ya mke kuwa mbishi kupita kiasi kwa mume siipendi though I feel pity to those little girls (watoto wao). Naomba kujazwa maneno kwa ajili ya kujaribu kumshauri jamaa na mke pia.
NB: Jamaa hajaoa bado, amepose idea na hiyo ni baada ya kuitisha vikao vingi vya wazazi wao ili kumwonya mke na mke ndiyo ubishi umezidi na ujeuri umeongezeka