Mke kutumia jina la mme wake, imekaaje hii

ubuntuX

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
1,970
2,184
Wakuu

Nimepata kuona na kusikia majina ya hawa wake wa viongozi wetu wakiachana na majina yao ya awali kutoka kwa wazazi wao na kujivika majina ya waume wao

Kwa mfano, Salma Kikwete, Linah Mwakyembe, Anna Mkapa, Janeth sijui nani huko

Hii inakuaje mwanamke kubadili jina na kuacha lile la wazazi wake, inamaana ndio anakuwa ameachana na familia yake moja kwa moja?
Vipi mabadiliko haya hufanywa pia katika vyeti na nyaraka zao mbali mbali au

Vp kwa mtu wa kawaida kama mimi nikimbadili mke wangu surname yake iwe yangu italeta impact na picha gani kwa jamii?

Je kwa wale wanaharakati wanaofight against partriach System huliona vipi suala hili

Kwa upande wa wanawake hujisikia hali gani pale mnapoachana na majina yenu mliyoyazoea tangu shule na mkakua nayo then mnakuja kuyaacha kirahisi tu kwa kuolewa unamsahau baba yako?


""mSoon naona, mkeo wangu jiandae kutumia jina langu mpaka huko kazini kwako"
 
Haileti maana na haipendi kwa kweli coz mapenzi yana mambo mengi huko mbele mnaweza kubwagana na huku jina limeshambaa mfano mzuri ni frola na Immanuel mbasha
 
Ni nzuri kama tu ndoa yenu hakuna kuachana mpaka kufwa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Haileti maana na haipendi kwa kweli coz mapenzi yana mambo mengi huko mbele mnaweza kubwagana na huku jina limeshambaa mfano mzuri ni frola na Immanuel mbasha
Jiandae kubadilisha jina mkuu though impact yake ndio ivyo
 
Hiyo ni haki yake kwa mujibu ya sheria za kimataifa za ndoa na huitwa "Consortium right" Hii humpa uwezo mwanamke kukopa hata kwa jina la mme wake na deni likawa la familia. Hii nafikiri imesadifiwa na maneno ya maandiko kwamba " sii wawili tena bali mwili mmoja" Hii issue sasa hivi inawasumbua wanawake watumishi ambao walibadilisha majina yao kuwa ya waume zao maana yanatofautiana na majina waliojisajili NIDA kupata vitambulisho vya uraia
 
Back
Top Bottom