Hapa tujadili..... jamaa kamuaga mkewe kuwa anakwenda Mbeya kikazi, kumbe yuko hapa hapa anajirusha kwa kula bata tena na mke wa mtu na akafumaniwa kupewa kipigo cha mbwa mwizi na kudhaniwa kuwa ameshaaga dunia, akapelekwa chumba cha kuhifadhia maiti, kumbe hakufa..... mkewe katika hali ya kumnusuru mumewe apate matibabu, akakubali kutembea na dokta kisha kupewa mimba..... .hivi inaleta maana kwa huyu mwanamke? .... nimesikiliza wimbo wa Bahati Bukuku unaoitwa dunia haina huruma........ kipi bora mkeo atoe penzi kwa Dokta au akuache ufe?