Inaonekana upo tofauti .labda nikulize je ikiwa mama yako kamtenda hivi baba yako utafanyaje?Kama ni kweli baadhi ya wanawake tuna shida aisee kwani huwa hatujui kuwaza mbali sababu kumfanya mwanaume wa watu hivyo. Daahh.
Nawaza tu ikija kutokea huyo dada amekufa hivyo huyo jamaa atakuwa ndio basi tena ama?
Sijawahieti [HASHTAG]#Demiss[/HASHTAG] ulishawahi fanya hili utupe uzoefu.