crispin payovela
Member
- Aug 9, 2017
- 33
- 62
Tumedumu na mke wangu kwenye ndoa kwa muda wa miaka sita, tunawatoto wawili. Sasa imekuwa tukikorofishana na mke wangu kisasi analipiza kwa watoto tulio wazaa mimi na yeye kwakuwapiga, hivi ni sahihi?
Anaripiza kwakuwapiga!Analipiza kivipi andika ueleweke, hao watoto mmezaa wewe na yeye au alikukuta nao?
Swali la pili hujajibuAnaripiza kwakuwapiga!
Watoto hao tulizaa mimi na yeye!Swali la pili hujajibu
Aisee, nadhani hao watoto huwa wanakosea sio kwamba anawapiga kwa kuwaonea, si unajua ile feeling wee umekabwa na kitu rohoni halafu anakuja mtu mwingine muda huohuo anakuudhi.Watoto hao tulizaa mimi na yeye!
BarAisee, nadhani hao watoto huwa wanakosea sio kwamba anawapiga kwa kuwaonea, si unajua ile feeling wee umekabwa na kitu rohoni halafu anakuja mtu mwingine muda huohuo anakuudhi. Ushauri, jaribu kumaliza tofauti zako na mwenzio mara tu zinapojitokeza sio huo utaratibu wako wa kumkera mwenzio kisha unaondoka....hata sijui huwa unaondoka kwenda wapi ni mchepukoni au bar?
mkuu sorry *kuripiza* ndo niniTumedumu na mke wangu kwenye ndoa kwa mda wa miaka sita, tunawatoto wawili, sasa imekuwa tukikorofishana na mke wangu kisasi anaripiza kwa watoto tulio wazaa mimi na yeye kwakuwapiga, Ivi ni sahihi?
Revengemkuu sorry *kuripiza* ndo nini
Mnapokwazana muwe mnakaa chini mnazungumza, huenda huwa unamuonea nae anatafuta anaoweza kuwaonea, kuwapiga si sawa ila huenda anawapiga kwasababu wanakosea afu wewe unajishtukia kuwa anamalizia hasira kwao ....Bro ili mapenzi yawe imara mazungumzo ndo nguzo hata mnapokwazana.
Inawezekana eti eeeh!!!!Itakua watoto wanakosea ila sio kulipiza