Nina umri wa miaka 37 nahitaji mke mwema mwenye umri wa kuanzia miaka 26-40 Elimu yangu ni Diploma, ni mjasiriamali, Mke mtarajiwa awe hajazaa, awe muislam au mkristo, asiwe mfupi awe saizi ya kati au mrefu, elimu yake iwe kuanzia form 4 na kuendelea, asiwe na tamaa ya pesa, awe tayari kwenda kupima Ukimwi mara 3, asiwe na mtandao mkubwa wa marafiki wanao penda kujirusha. Karibuni