Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,403
- 4,763
Pole sana kaka
Mimba iliyotoka ilikuwa na muda gani?
Huko nyuma ana histry ya kupata tatzo hilo au ndo mara ya kwanza?
1. Jaribuni kufwata ushauri wa daktar
2. Hamu ya kufanya tendo imetoka kwasababu ashajiwekea akilini akifanya itatoka tena ndo mana kaingiwa woga au kwa upande mwingine ni complications tu za mimba changa.
3. Madaktar wengi huwashauri kina mama wajawazto hasa waliopo first trimester kuepuka kazi ngumu mpaka mimba ijishikize vzuri kwani yaweza kusababisha mimba kuchoropoka na hiyo yote ni kutokana na lifestlye za watu ikiwepo mlo
Mimba iliyotoka ilikuwa na muda gani?
Huko nyuma ana histry ya kupata tatzo hilo au ndo mara ya kwanza?
1. Jaribuni kufwata ushauri wa daktar
2. Hamu ya kufanya tendo imetoka kwasababu ashajiwekea akilini akifanya itatoka tena ndo mana kaingiwa woga au kwa upande mwingine ni complications tu za mimba changa.
3. Madaktar wengi huwashauri kina mama wajawazto hasa waliopo first trimester kuepuka kazi ngumu mpaka mimba ijishikize vzuri kwani yaweza kusababisha mimba kuchoropoka na hiyo yote ni kutokana na lifestlye za watu ikiwepo mlo