Mke anayefanyakazi (Mtumishi) Vs Mama wa nyumbani

Mke mwenye kujielewa anakua mtii hatakama ndo mwenye kipato kikubwa.
Wanawake wanaotafuta pesa ili washindane na waume zao ndoa si haki yao.

Mwanaume kuoa mfanyakazi ili akusaidie nae ndoa haimstahiki
Mkuu huu ni ukweli ulio dhahiri kabisa...Wanaume tunafeli sana siku hizi kwa kutaka kusplit utafutaji mkate.

Ila isitoshe wanawake wengi wanaotafuta kazi siku hizi ama kung'ang'ania kazi mara nyingi motive behind ni defensive mechanism kwamba asitawaliwe na mwanaume in full bali kwa interest zake tu. Hata wenyewe utasikia wanaambiana tafta hela yako shoga angu mwanaume asikubabaishe bwana.

Hii phrase "Asikubabaishe" maana yake ni kwamba awe na option ya kusikiliza orders, afuate anazotaka tu ambazo hataki akuletee kiburi maana ana kazi yake hata mkiachana anaweza kumudu maisha maana ana kazi. Mwanamke wa hivi ni kumpa Ultimatum tu kuwa achague kazi au ndoa na wewe uwe fully responsible kubeba majukumu yote kama baba wa familia.
 
Mkuu upo sahihi kabisa Kuna rafiki yangu alioa mtumishi hata mwaka haukuisha akapiga chini sasa hivi kaoa goli kipa mambo Safi tu
Nipe namba yake ili tushauriane jambo nae.
 
Mtoa mada hayo unayoyavuna uliyapanda mwenyewe siku za nyuma na pia mkeo kukujibu na kukutishia hilo nalo umelipanda mwenyewe. Inaonekana mkeo kakuzidi kipato hivyo anafanya anavyotaka. Duniani kote kwenye kazi m/ume na m/mke wanakuwa treated tofauti hivyo mkeo asijifanye anafanya kazi hadi usiku wakati ndie mlezi mkuu wa watoto.

Kaa chini na mkeo muongee na umueleze umuhimu wa kutoa muda wake kwa familia na pia kibaiolojia mwanamke ndie mlezi mkuu wa watoto hivyo asijitwike majukumu makubwa ofisini akasahau hilo.

Tatizo letu waafrika ni kwamba uwa hatujali sana muda wa mtu. Utakuta m/kazi anafanyishwa kazi mpk usiku mkubwa badala ya kuajili watumishi wa kutosha ili kazi ziende kwa wakati. Matokeo yake ndio haya mtu anajali overtime kwa kuharibu ndoa yake na kutesa watoto wake.

Halafu mie mke wangu sio mwajiriwa bali amejiajiri na ana kipato kizuri tu na anazifanya shughuli zake kwa muda wake aki-balance na muda wa kunipikia na kuhudumiana (watoto wangu wote wako boarding/ vyuoni).
 
Watu wa jf haujawajua watajifanya kumsemea mkeo achana nao tujikite kwenye mada tu
Aloo nimeoa shoga yako huku sina hamu maana hata kutengewa maji nimeshasahau ilikuwa lini meisho
 
Kwa mtiririko wa mada hii naweza kusema asante kwa comment yako, umemaliza kila kitu. 👇

Mwanamke hakuumbwa kula kwa jasho. Period, end of story.

Wewe si unataka provider wife? Mgawane majukumu ambayo kimsingi ni ya kwako? Then suck it.

Hakuna mwanamke anayeweza kujigawa kwa ulingano between kazi na kuhudumia familia. Lazima mzani uegemee upande mmoja
👉Labda nijazie na maandiko tu then niondoke...
Mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

Wengi tunakosea tunapomfanya mwanamke kuwa mbadala wa kazi za uzalishaji, tukumbuke hiyo paragraph ndiyo inapigiwa kengele kuwa imekosewa na Mungu hakumaanisha hivyo ila ukweli ni huo.

Ndoa nyingi zina migogoro kuhusiana na para hiyo, mikutano mingi inapewa nguvu kuvunja matakwa ya Mungu dhidi ya nature ya mahusiano.

Talaka nyingi zinatolewa ni kwa sababu ya para hiyo ila ukweli mwanamke ni msaidizi wa mwanamme hasa pale anapokuwa amebanwa na kazi nyingi na kusababisha kushindwa kufanya za nyumbani, na lengo kwa mwanadam lipo wazi kuwa [SUB]MWANAMKE APEWE NAFASI!.[/SUB]
 
Wewe jamaa hajazungumziwa kuchapiwa kasema habali ya mkewe kuzidiwa na majukumu acha kubadili maudhui kwa mihemko yako
hawawezi kuwa sawa wanaowaza nje ya box na wanaowaza wakiwa ndani ya box, uzi huu ni fikirishi sana hasa kwa wanaozijua ndoa ndo maana tumesema kwa upana ili mtoa mada aweze kupata anachokitaka then yasomfaa ayawache
 
Nipe namba yake ili tushauriane jambo nae.
Chukua maamuzi mkuu maana hao wanajifanya wajuaji Sana kipindi Cha mwisho kabla ya kuachana demu alificha documents za ardhi za mshikaji na akaficha academic certificates zake zote na akakata nusu kwa nusu wakati alikuta kila kitu #take action mkuu
 
Hahahaha muda unaandika hii mada ulikuwa unasikia jirani yako anajilia vyake kwa Raha zake wewe wa kwako yuko anakoroma tu, housemaid nae sura mbaya,unajikuta unajipiga nyeto na wanawake unao nyumbani kwako, hakika inauma sana,
Hata hivyo mna maghorofa mangapi mpaka saa hii!!
Mkuu una ufala mwingi sana hahahah
 
Pole sana ndugu, wewe sio wa kwanza kuwa na tatizo kama hili.

Ulikosea tokea day 1 mlipokutana na huyo shem wetu. Day 1 ndo hutoa taswira nzima ya aina gani ya maisha na mahusiano mnaweza kuishi. Kama ulikuwa na lengo la kushirikiana maisha, basi day 1 mngeshare cost. Tatizo wanaume tunajikweza sana hiyo day 1. Ukijikweza day 1, basi jua wewe ndo kila kitu ndani and vice versa is true.

Suluhisho
Umeshakosea, ndo maana unakuja humu. Suluhu ni kukaa na mke wako muongee kuhusu mustakabali wa maisha katika angle zote kama vile watoto, uchumi, mahusiano na majirani, wazazi na mengine mengi. Mwambie kuhusu concern yako na nini ilikuwa expectations zako kwake. Elewa, mabadiliko hayawezi kuwa overnight ila naamini mabadiliko utaanza kuyaona.

NB. Uvumilivu ndo silaha kubwa ya ndoa
 
Back
Top Bottom