malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,746
- 2,623
Habari wakuu ushauri, mke wangu amekua akiwatangazia wazazi wangu ubaya na ufitini kwa wazazi wake hasa mama yake pindi anapokua anarekebishwa na kushauriwa na wazazi wangu anapokua hayuko sawa. Sasa amekua maneno anayapeleka kwa mama yake kwa ubaya Yale anayoshauriwa ama kunasihiwa na wazazi wangu pia mke wangu na mama yake wamekua wanajadili na ndugu zao hao hao ndugu wanatuletea hizo taarifa ambazo kiukweli tulijadili wenyewe tu. Baba mkwe wangu Hana taarifa zozote za hayo mwanae na mkewe wanayoyatangaza kwa kwa ubaya kwa ndugu zao juu ya yale mwanao amekua akishauriwa ktk maisha
Wakuu nin nikifanye kwa mke wa namna hii anaowatangazia wazazi wangu ubaya kwa mama yake na mama yake anayabeba kuwatangazia ndgu zake Kisha ndgu hao hao wanatuambia. Hali ya kuwa mwanae ambae ni mke wangu anashauri mambo mema kabisa Tena ya kujenga familia na mke wangu amekua ni mtu mwenye majibu ya kujiamini yenye dharau pindi ninapotaka mrekebisha au kutaka ufafanuzi wajambo flani pia imekua ni mtu kuwahadhithia sana hasa mama yake mapungufu ya wazazi wangu Tena kwa ubaya.
Ushauri wenu wakuu juu ya mke huyu.
Wakuu nin nikifanye kwa mke wa namna hii anaowatangazia wazazi wangu ubaya kwa mama yake na mama yake anayabeba kuwatangazia ndgu zake Kisha ndgu hao hao wanatuambia. Hali ya kuwa mwanae ambae ni mke wangu anashauri mambo mema kabisa Tena ya kujenga familia na mke wangu amekua ni mtu mwenye majibu ya kujiamini yenye dharau pindi ninapotaka mrekebisha au kutaka ufafanuzi wajambo flani pia imekua ni mtu kuwahadhithia sana hasa mama yake mapungufu ya wazazi wangu Tena kwa ubaya.
Ushauri wenu wakuu juu ya mke huyu.