malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,706
- Thread starter
- #41
Yaan mkuu kwao nisehemu ya mji tuliopo kwaiyo kutembea kwan huwez mzuia akiwa anaenda kwenye mambo ya kijamii sahuko akipita kwao wanajadili namama yake na ndugu zake mambo ya familia yangu Tena kwa ubaya hao ndgu wanayazunguza mitaani yanatufikia nabaadhi ya ndgu zake wanatuambia ukiangalia nimambo yasiri ambayo unajua nimke kazungumzaMkuu wewe ni mtoto wa kiume jitaidi sana maswala yenu wewe na mkeo muyamalize wenyewe hayo mambo sijui mke wangu anaongea na mama yake mnataka wenyewe.