Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
Ndoa ina raha na karaha, na makosasa madogo2 hucyoyategemea yanaweza yakaiweka ndoa ktk wakat mgumu au kuivnja kabsa. Nije kwenye point ilonileta jamvin...
Bishost kamuhama mumewe chumban kwa madai kwamba mumewe mchaf.! Anafanya v2 raf mara mswaki kauweka juu ya tv, cku hiyo akibrash via2 brash anaikuta ju ya redio, akitoka kuoga kopo na brash kitandan. Akitoka alikotoka 1 kwa 1 kitandan bla kujal mchaf au lah. Kitanda kinageuka beach kimejaa mchanga. Mdada wa wa2 ana mtoto anaogopa mwanae kuumwa mafua na rashes. Kajitahd kumnawisha mume lkn wap! Akitoka akirud kaz ileile. Mdada wa wa2 anabadirisha mashuka twice per day. Na mume akilala km anafanya mashndano ya kukimbia riadha kitandan, mara mto aukute chin mara shuka lote alikusanye alilalie. Wakilala wote upande wa bishost 2 ndo unakua salam. Kaongea kachoka, kamnawisha lakin wap? Kaamua kuama chumba yeye na mwanae kwa mume anaingia kutandika 2. Anavyodai awali hakua hvy sasa cjui ndo mazoea yamezd au anamkomoa? Nimemwambia amwambie m2 anae heshimiana sana na mumewe may b atamuelewa au ataona aibu na kujirekebsha. Otherwise dada wa wa2 atateseka hana hausgel na ana mtoto kufanya kaz 1 mara kumi kumi inaboa lol... Na kumtenga chumba yale mambo mengne watapeanaje? Ndo mwanzo wa mech za nje.
Jaman kuwen makin vile vtabia vnavyokera wenz wenu jitahdn mviache!
Nawasilisha.
Bishost kamuhama mumewe chumban kwa madai kwamba mumewe mchaf.! Anafanya v2 raf mara mswaki kauweka juu ya tv, cku hiyo akibrash via2 brash anaikuta ju ya redio, akitoka kuoga kopo na brash kitandan. Akitoka alikotoka 1 kwa 1 kitandan bla kujal mchaf au lah. Kitanda kinageuka beach kimejaa mchanga. Mdada wa wa2 ana mtoto anaogopa mwanae kuumwa mafua na rashes. Kajitahd kumnawisha mume lkn wap! Akitoka akirud kaz ileile. Mdada wa wa2 anabadirisha mashuka twice per day. Na mume akilala km anafanya mashndano ya kukimbia riadha kitandan, mara mto aukute chin mara shuka lote alikusanye alilalie. Wakilala wote upande wa bishost 2 ndo unakua salam. Kaongea kachoka, kamnawisha lakin wap? Kaamua kuama chumba yeye na mwanae kwa mume anaingia kutandika 2. Anavyodai awali hakua hvy sasa cjui ndo mazoea yamezd au anamkomoa? Nimemwambia amwambie m2 anae heshimiana sana na mumewe may b atamuelewa au ataona aibu na kujirekebsha. Otherwise dada wa wa2 atateseka hana hausgel na ana mtoto kufanya kaz 1 mara kumi kumi inaboa lol... Na kumtenga chumba yale mambo mengne watapeanaje? Ndo mwanzo wa mech za nje.
Jaman kuwen makin vile vtabia vnavyokera wenz wenu jitahdn mviache!
Nawasilisha.