Nndu wa Selote
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 733
- 520
Hivi vitendo vya kutembea nje ya ndoa na watu mbalimbali wakiwemo maboss ni vya kawaida mno siku hizi. Pengine tatizo la huyu ni kwamba amefanya mchezo huo wakati wa likizo yake ambapo angetakiwa kupumzika na kumhudumia mumewe na familia.