BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
kwanza huyo sio mkeo?
pia ulivyomwona mara ya kwanza hizo nguo alikuwa havai? hizo make up alikuwa hapaki?
yaani mtu aache kuvaa apendavyo na kupaka atakavyo kwa ajili ya insecurities zako? kutokujiamini kwako kwa gharama zake?
alokwambia kuvaa gubigubi ndo kutomegwa nani? tabia ya mtu haipo kwenye nguo...
hata akijitanda kama kicheche kicheche na hata atembee na bikini mtaani kama sio kicheche haitombadili
jiamini.....
pia ulivyomwona mara ya kwanza hizo nguo alikuwa havai? hizo make up alikuwa hapaki?
yaani mtu aache kuvaa apendavyo na kupaka atakavyo kwa ajili ya insecurities zako? kutokujiamini kwako kwa gharama zake?
alokwambia kuvaa gubigubi ndo kutomegwa nani? tabia ya mtu haipo kwenye nguo...
hata akijitanda kama kicheche kicheche na hata atembee na bikini mtaani kama sio kicheche haitombadili
jiamini.....