Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,676
- 11,110
Habari za majukumu wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyojielea, ninahitaji kuwa na mke ilituweze kusaidiana kujenga familia bora.
Sifa za mtu ninayemtafuta:
- Awe wife material (mchapa kazi n.k)
- Awe ana elimu kuanzia Diploma angalau
- umri kuanzia miaka 27 hadi 33
- Urefu wastani (usiwe mfupi sana)
- Umbo wastani
- Rangi yoyote (weupe mtapewa kipaumbele)
Meningine tuta zungumza PM
Sifa Zangu:
- Husband material
- Elimu.- degree
- Umri 36
- Urefu 185 cm
- umbo watsan (kg 90)
- Rangi.- Mweusi (sio ule wa kiwi lakini)
- Mwajiliwa sekta binafsi na mjasilia mali (uwezo wa kutunza 1m upo)
Nawasilisha kwa walio serious
Kama kichwa cha habari kinavyojielea, ninahitaji kuwa na mke ilituweze kusaidiana kujenga familia bora.
Sifa za mtu ninayemtafuta:
- Awe wife material (mchapa kazi n.k)
- Awe ana elimu kuanzia Diploma angalau
- umri kuanzia miaka 27 hadi 33
- Urefu wastani (usiwe mfupi sana)
- Umbo wastani
- Rangi yoyote (weupe mtapewa kipaumbele)
Meningine tuta zungumza PM
Sifa Zangu:
- Husband material
- Elimu.- degree
- Umri 36
- Urefu 185 cm
- umbo watsan (kg 90)
- Rangi.- Mweusi (sio ule wa kiwi lakini)
- Mwajiliwa sekta binafsi na mjasilia mali (uwezo wa kutunza 1m upo)
Nawasilisha kwa walio serious