OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,689
maana yake una imani kuwa mumeo anaweza kuchepuka. wanaosumbua ni hawa wanaojidanganya hachepuki,akipigwa tukio akili zinaruka
maana yake una imani kuwa mumeo anaweza kuchepuka. wanaosumbua ni hawa wanaojidanganya hachepuki,akipigwa tukio akili zinaruka
Sasa kama ulikuwa unaona ile habari ya Sodoma na Gomora ni hadithi tu, sasa ni wakati wa kuona uhalisia wenyewe!Huku petrol, kule mwingine kakatwa masikio, huku mwingine kauawa na mfanyakazi wake, huku mtoto kamuua mama yake, huku chupa za fanda na miranda. naona matukio yanazidi kuwa mengi kila saa..
Hayawezi kunikuta. Hata siku moja sijawahi kufanya maamuzi kwa kufuata hisiaNasemaje ombea yasikukute
Muda ni mwalimu mzuri, ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Naamini hachepuki na hata kama anachepuka siku nikambamba siwezi kuchukua maamuzi kama hayomaana yake una imani kuwa mumeo anaweza kuchepuka. wanaosumbua ni hawa wanaojidanganya hachepuki,akipigwa tukio akili zinaruka
Unaenda kumgongea afande kaunta! Akuandikie!IST ikizima usiku wese tulia hadi asubuhi.
Hiyo ya kukatwa masikio mbona kwangu ngeni. Nifungue macho mkuuHuku petrol, kule mwingine kakatwa masikio, huku mwingine kauawa na mfanyakazi wake, huku mtoto kamuua mama yake, huku chupa za fanda na miranda. naona matukio yanazidi kuwa mengi kila saa..
Kuna yule mwingine aliyekatwa masikio na jamaa yake kule Mkoani Rukwa, nako hatunywi maji! Maana vikao haviishi vya kushinikiza jamaa kukamatwa! Ila wao wanatuua tu kikatili kwa petroli!Uzi hauna wachabgiaji. Ila habari ya mume aua mke, feminist huwa wanatokwa povu utafikiri muuaji yuko jf
Heee
Sasa mkuu unawezaje kukaa kwenye mahusiano na mwenza ambaye unajua kabisa si mwaminifu?Heee
Jitu ambalo halina akili kabisa ni wewe mburula ambae kuwa na smart phone na kupost upuuzi unaona dili. Shenzi mkubwa.Wala hakuna cha kushangaza hapa. Alipangiwa atakufa hivyo pindi alipozaliwa tu. Mimi natamani nipangiwe kufa demu mkali amenata kifuani mwangu.
Mjane pole Jiwe kafa na harudii tena. Aiiii aiiii pata uhondo wa ushuz mbrrrrrr mbrrrrrr mbrrrrrr.Jitu ambalo halina akili kabisa ni wewe mburula ambae kuwa na smart phone na kupost upuuzi unaona dili. Shenzi mkubwa.
KUA UONEHayawezi kunikuta. Hata siku moja sijawahi kufanya maamuzi kwa kufuata hisia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
PumbavuMjane pole Jiwe kafa na harudii tena. Aiiii aiiii pata uhondo wa ushuz mbrrrrrr mbrrrrrr mbrrrrrr.
Qengay