rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Wakuu Salaam, naomba ushauri:
Hivi hapo kama ndoa ni ya kikristo i.e mme 1 na mke 1 na kwa bahati mbaya husband hana hivi kuna njia salama ya kuendelea kujamiiana au ndio mzee inabidi ubadilike kuwa paroko?Maana kuoa haiwezekani na kuzini hairuhusiwi.
Nimeshindwa kumjibu mwenye tatizo hilo,
Nawakilisha,
Asanteni.
Hivi hapo kama ndoa ni ya kikristo i.e mme 1 na mke 1 na kwa bahati mbaya husband hana hivi kuna njia salama ya kuendelea kujamiiana au ndio mzee inabidi ubadilike kuwa paroko?Maana kuoa haiwezekani na kuzini hairuhusiwi.
Nimeshindwa kumjibu mwenye tatizo hilo,
Nawakilisha,
Asanteni.