Inategemea na mwanamme vile vile,mwanamke unaweza kua na kipato cha juu na ukawa na adabu zako,mume ndioa akaanza vituko ukiuliza ndio anaanza ohh kwasababu wewe ndio unauwezo kuliko mimi hayaoni mapungufu yake......
Mimi kuzidiwa kipato na elimu sio tatizo.As long as the woman in question respects me and plays her role as a good wife is supposed to,no problemo.The relationship can be healthy,afterall i get to have someone who can help me in financial matters incase the downtimes kick in.
tatizo ni kwamba mwanaumme akiona amezidiwa kiuwezo na mke wengi wanajifeel inferior anaanza kuishi kwa kutojiamini na kwa kujidefend soo conflict zinaanzia hapo
kama mwanamme ataweza kurelax ndoa itadumu