Mkazi wa Iringa Makosa atangaza kujinyonga kwa kiingilio.

Jamaa ni very creative kwa nini ili kuongeza makusanyo asije Dar ili ifanyikie diamond Jubilee
 
aache uzembe, ye kachezea pesa ikamshinda halafu anatuletea porojo?
Mtu alikuwa na mabiashara yote hayo, kayapeleka wapii?
Inaonyesha jinsi gani MAKOSA alivyofanya MAKOSA yaliyompekea kutaka KUMKOSEA muumba wake.
Namshauri atafakari tena, ugali mtamu jamani hasa na kitoweo cha mbwa....
 
hana lolote huyu toka mwaka jana mwezi wa 12 alikuja pale +255 pub akatangaza kuwa kesho yake atajinyonga, wanja wa samora hadi leo hajinyonga tu, labda mi bange tu
 
mwaka jana mwezi wa 12 alikuja pale +255 pub akatangaza kuwa kesho yake atajinyonga,hadi leo hajinyonga tu,
kwani mlitoa kiingilio?jamaa mbunifu kweli amebosha onyesho kwa kutoza kiingilio teh teh teh inaitwa ntoke vipi hiyo
 
Anahitaji ushauri nasaha , tena wa ziada... Hasa wa kidini kufuatana na imani yake... Kwetu wakristo ... Yesu alimaliza yote msalabani...kufanya hivo ni kujitenga na upendo wa mungu
 
Jamaa ni very creative kwa nini ili kuongeza makusanyo asije Dar ili ifanyikie diamond Jubilee

Ushauri wako uprintiwe alafu uwekwe kwenye bahasha tuupost kwa basi mapema maana yu ar so creative sana nimecheka sana japokuwa maisha ya mwenzetu yapo hatarini.
 
inakera kuona kila kitu inasingiziwa serikali.................sio kwa MAKOSA huyu bwana ameyataka mwenyewe alivotoka ulaya alikuwa anapesa sana akaanza uza vitu taratibu gari zote ikabaki dispensary pale soko kuu nayo akauza sasa hivi huwa antembea na glasi kubwa pale mabandaq ya CCM kuomba awekewe chochote mtu anachokunywa,sasa serikali ianingiaje hapo.
 
Ameomba azikwe makaburi gani? Makanyagio, Mlandege, Zizi la ng'ombe...nakuja kushiriki ibada ya makaburini, japo nadhani ni MAKOSA.
 
Is there any chance that someone air this live or post it on you tube? it will be luvly!
 
Kwa hiyo asipokufa watu watarudishiwa fedha zao!? Huyo jamaa ni mbunifu sana kwa sababu akifanya hiyo performance na akapanga asife hamna hana mtu mmoja atakayeweza kumshtaki kwamba kadhulumiwa.
Yaani ni sawa na mtu aseme kuwa nitabaka kwa kiingilo then unatoa hela na asipobaka unaenda kumshtaki kwamba jamaa kanidhulumu maana hajabaka!
Tusubiri tuone idadi ya wajinga watakaotoa hicho kiingilio
 
Kumbe ndiyo mhandisi nisaidie Mkwawa alikuwa mngoni?

hebu soma hapo chini kidogo tu... usidhani wahandisi wahajui historia bana..:loco:

Kabla ya mwanzoni mwa karne ya 16 mkoa wa Iringaulikuwa na wakazi wachache, walioishi katika eneo dogo la Mashariki hadiKusini-Mashariki linaloanzia mpakani mwa mkoa huo na mkoa jirani wa Morogoro.Ni mwambao wa safu ya milima ya Udzungwa hadi kufikia vilima vya Kipengere,walikokimbilia Wakinga kutokana na mapambano ya koo hasimu za Kihehe. Huko ndipo walipoishi wenyeji wa asili wa mkoahuo ambao ni Wadzungwa, ambao nao baadaye walivutwa ndani ya mjumuiko uliokujakujulikana kama Wahehe mnamo mwishoni mwa karneya 18.

Kusini-Magharibi mwa mkoa huo ambako akina Mkwawa walihamishia makaomakuu ya utawala, hakukuwa na makazi ya kudumu zaidi ya watu kupita njiakutokana na dhana kuwa juu ya ile milima mirefu waliishi wanyama wakali waporini. Walihofia kuweka makazi bila kutambua kuwa juu ya milima hiyo kunatambarare yenye rutuba inayofaa kwa kilimo, lakini baadaye baadhi ya wapita njiawalidiriki kuishi maeneo hayo na kuwavutia wengine kulowea hali iliyosababishavita vya mara kwa mara.

Mapambano hayo yalisababisha muingiliano ulioleta zilesifa potofu kama nilivyobainisha mwanzonikuhusu lugha, miiko na utawala wa kabila hili. Ulitokea pia muingiliano wa uzao,kwa wanawake wa jamii zilizopigwa kuolewa kinguvu na wababe walioshinda hukuwanaume wakigeuzwa wajakazi. Ndiyo maana huwezi kupata wajihi wa aina moja wa Wahehe,kuna wanene na wafupi (wajihi wa Kibantu), warefu wenye maumbile makubwa (wajihiwa Kihabeshi) na wenye rangi angavu (wajihi wa Kiajemi) kutokana na ukoowa Muyinga ambao ni machotara wa Kiafrika, Kiarabu na Waajemi wa kale.
 
Wakati wengine wanakata rufaa kuokoa maisha, yeye anakata rufaa kuishi???? achana nao hao kujinyonga ni jadi yao.
 
hebu soma hapo chini kidogo tu... usidhani wahandisi wahajui historia bana..:loco:
Kabla ya mwanzoni mwa karne ya 16 mkoa wa Iringaulikuwa na wakazi wachache, walioishi katika eneo dogo la Mashariki hadiKusini-Mashariki linaloanzia mpakani mwa mkoa huo na mkoa jirani wa Morogoro.Ni mwambao wa safu ya milima ya Udzungwa hadi kufikia vilima vya Kipengere,walikokimbilia Wakinga kutokana na mapambano ya koo hasimu za Kihehe. Huko ndipo walipoishi wenyeji wa asili wa mkoahuo ambao ni Wadzungwa, ambao nao baadaye walivutwa ndani ya mjumuiko uliokujakujulikana kama Wahehe mnamo mwishoni mwa karneya 18. Kusini-Magharibi mwa mkoa huo ambako akina Mkwawa walihamishia makaomakuu ya utawala, hakukuwa na makazi ya kudumu zaidi ya watu kupita njiakutokana na dhana kuwa juu ya ile milima mirefu waliishi wanyama wakali waporini. Walihofia kuweka makazi bila kutambua kuwa juu ya milima hiyo kunatambarare yenye rutuba inayofaa kwa kilimo, lakini baadaye baadhi ya wapita njiawalidiriki kuishi maeneo hayo na kuwavutia wengine kulowea hali iliyosababishavita vya mara kwa mara. Mapambano hayo yalisababisha muingiliano ulioleta zilesifa potofu kama nilivyobainisha mwanzonikuhusu lugha, miiko na utawala wa kabila hili. Ulitokea pia muingiliano wa uzao,kwa wanawake wa jamii zilizopigwa kuolewa kinguvu na wababe walioshinda hukuwanaume wakigeuzwa wajakazi. Ndiyo maana huwezi kupata wajihi wa aina moja wa Wahehe,kuna wanene na wafupi (wajihi wa Kibantu), warefu wenye maumbile makubwa (wajihiwa Kihabeshi) na wenye rangi angavu (wajihi wa Kiajemi) kutokana na ukoowa Muyinga ambao ni machotara wa Kiafrika, Kiarabu na Waajemi wa kale.

Mhandisi nikisoma maelezo haya naona kama unataka kuniambia Mkwawa ni Mdzungwa au muajemi sijui kama nimekuelwa vizuri hebu niweke sawa hapo ukweli ni upi? ila kabila la wadzungwa sijalisikia TZ ila kuna milima ya Udzungwa ipo Mkoa wa Morogoro.
 
Mhandisi nikisoma maelezo haya naona kama unataka kuniambia Mkwawa ni Mdzungwa au muajemi sijui kama nimekuelwa vizuri hebu niweke sawa hapo ukweli ni upi? ila kabila la wadzungwa sijalisikia TZ ila kuna milima ya Udzungwa ipo Mkoa wa Morogoro.

wadzungwa wanapatikana kule maeneo ya kilolo na ndo wenye iringa wa asili, wahehe ni wahamiaji kama alivyo mkwawa ambaye mama yake ni mhehe na si yeye, yeye na babu zake ni chotara wa kiarabu, hivi unajua kuwa ana jina la kiarabu?
 
Back
Top Bottom