Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
mkazi mmoja wilayani bukombe mkoa wa shinyanga amejipiga risasi mdomoni na kufariki muda mfupi baada ya kuanza kupatiwa matibabu, alichukua maamzi hayo kwa madai ya maisha magumu mkazi huyo bw. Maganga alifanya kitendo hicho mbele ya mkeweTeresia na bw. john ambaye ni jilani yake..yako wapi maisha bora kwa kila mtanzania?...source redio 1