Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
Huyo mkazi nae ni mzembe sana anamiliki vipi silaha ya moto then anakuwa na maisha magumu?
WEEE TANZANIA vijijini kuna yale magobole ambayo ni ya kutengeneza kienyeji na risasi ni vipande vya nondo huhitaji kuwa na uwezo kipesa kuwa na hilo
gobore