Mahitaji
Unga wa ngano vikombe 2
Sukari nusu na robo kikombe
Mafuta ya kupikia nusu kikombe
Yogourt vijiko 3 vya kulia
Baking powder kijiko 1 cha chai
Mayai 3
Namna ya kutengeneza
1)changanya unga wako pamoja na baking powder bila ya kutia maji then weka pembeni
2)vunja mayai yako kwenye bakuli safi then weka yogurt,sukari,mafuta then changanya kwa kijiko hadi vichanganyike vizuri
3)add unga wako ambao uliuchanganya na baking powder
4)changanya mchanganiko wako kwamikono ilio safi kwa dakika 5
5)weka kwenye trey ama sufuria tayari kwa kubeki napendekeza moto usiwe mkali
6) mkate tayari kwa kuliwa
Unga wa ngano vikombe 2
Sukari nusu na robo kikombe
Mafuta ya kupikia nusu kikombe
Yogourt vijiko 3 vya kulia
Baking powder kijiko 1 cha chai
Mayai 3
Namna ya kutengeneza
1)changanya unga wako pamoja na baking powder bila ya kutia maji then weka pembeni
2)vunja mayai yako kwenye bakuli safi then weka yogurt,sukari,mafuta then changanya kwa kijiko hadi vichanganyike vizuri
3)add unga wako ambao uliuchanganya na baking powder
4)changanya mchanganiko wako kwamikono ilio safi kwa dakika 5
5)weka kwenye trey ama sufuria tayari kwa kubeki napendekeza moto usiwe mkali
6) mkate tayari kwa kuliwa