Mkataba wa TTB na ATCL ni ushetani uleule wa TBC dhidi ya media nyingine

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Inasikitisha sana hii nchi, ATCL wanahitaji kufanya kazi kiushindani na si kuanza fanya hujuma ktk soko huria. Kitendo ch ahii mikataba ni kuwanyima sector binafsi nafasi ya kushindana na kuweza endesha biashara kwa mafanikio. Ktk soko huria upendeleo na ipaka kwa wengine ni kudhulumu haki ya wengine na wateja pia kupata huduma bora km matokeo ya ushindani. Napinga sana haya makubaliano ambayo si muda mrefu yataonekana km ilivyoanza mambo ya kulazimisha watu waunganishe na TBC ambayo ipo hoi ktk kila idara. Huu ni ushetani mbaya sana kwa walaji na wawekezaji.

Mataba huu ni ni njia mojawapo ya kulazimisha TTB kuminya wengine, na baadae zitaanza hujuma ktk route.AKILI MBAYA KM HIZI HAZINA TOFAUTI NA KUISHAURI HOSPITAL YENYE MAJANGA KM MWANANYAMA ,IINGIE MKATABA NA TFDA WA KUKUZA SECTOR YA HOSPITAL.

LINI HII SERIKALI ITAACHA KUONA WAWEKEZAJI BINAFSI NI MAADUI WA SERIKALI NA IDARA ZAKE ZISIZOTAKA USHINDANI? kwani ni wapi imeandikwa kuua upinzani ndio kusaidia mwingine kutoa huduma nzuri? Hizi fikra zipotezwe ktk siasa,ktk biashara na kila kitu.


Serikali inahitaji mkataba wa nini na idara zake,zenye maslahi ya umma?Kesho tena tutasikia mamlaka za anga na viwanja vya ndege zikiingia mkataba mwingine na adhabu kwa watu wengine.Itakuwa tumechelewa sana kuona huuu ushetani.

Serikali inahitaji ubunifu na si kufanya hii biashara ya kuua wengine ili ubaki wewe.Itauwa wangapi?Wataua Kenya airways?wataua Ethiopian,Emiratee etc?

ITASIKITISHA TENA KM ATAIBUKA MTU SERIKALINI NA KUSEMA WAFANYAKAZI WA SERIKALI NAO WASIPANDE NDEGE BINAFSI.HATA KM HUDUMA NA BEI NI NZURI ZAIDI KTK SECTOR BINAFSI. Hii italeta hasara mara mbili,serikali itajilipa kwa hela ile ile na hivyo mwisho wa siku itakuwa na net zero,na pia sector binafsi itanyimwa haki.

STUPID PROTECTIONISM: ktk siasa,elimu,viwanda,ndege ,media, etc.Kote serikali inafanya kazi against watu binafsi.Hii nchi lini itaach akili za dili ndogo zinazokuzwa ktk media na kijidanganya?ATCL NA TTB HAWAWEZI KUFANYA LOLOTE NJE YA TANZANIA ILI KUWEZA WATOA WATALII WA NCHI FULANI KWA BEI NZURI AU BURE,KWA VILE HAWANA MIFUMO YA KUWEZA WAPATIA WATALII MILEAGE /POINTS ZA KUWEZA ELEKEZWA KTK ROUTE ZA KUINGIA TANZANIA. MAKAMPUNI YA NJE WANAPOTOKA NDIO WANAWEZA KUSANYA HIZO POINT KWA VILE HAO WATU WANASAFIRI NAO SANA. PENGINE NI KIPINDI CHA WASOMI WA TANZANIA WAACHE UKANJANJA NA KUDANGANYA WATANZANIA KM WALIVYODANGANYA WAZEE WAO KTK MATUMIZI NA K UWAWEKEA VIFAA VYA LABARATORY WAZEE WAKAUZA NG`OMBE NA KULIPA HELA ZA ZAIDI KUMBE WATOTO WANAENDA KUCHEZEA N AKUACHA FAMIA NA UMASIKINI. HIzi akili ziwe na mwisho mkishasoma.
 
Kama ni wewe ulipanga huu ujinga utajifanya huelewi na pia huwezi elewa km hukuelewa mwanzoni,mlipokuwa mkipanga na kudhani ni akili kubwa..
 
Mkataba gani huo? Unasemaje mkataba wenyewe? Tiririka tafadhali.
ATCL na Tanzania Tourism Board eti wanataka kuza utalii. Mikataba km hiyo huwa inaingiwa na Ndege za Nje kuleta watalii toka duniani kuja Tanzania. Ila huu ni akili zilezile za kuviziana hapa Tanzania.

Serikali inahitaji mkataba wa nini na idara zake,zenye maslahi ya umma?Kesho tena tutasikia mamlaka za anga na viwanja vya ndege zikiingia mkataba mwingine na adhabu kwa watu wengine.Itakuwa tumechelewa sana kuona huuu ushetani.
 
Watanzania tuamke,serikali iamke sasa ianze fanya kazi na watu wenye akili timamu.

Tuache jidanganya ktk issue za kitaifa.Dunia inakwenda mbele kwa kasi hatuwezi wakuta km hatutojikaza na kufanya mambo yenye matoeo ya kweli.

Kujidanganya ktk mamboo ya hovyo kwa vile vyombo vya dola na waandishiw etu ni dhaifu kiasi cha kitu chohcote serikali inaweza get away with that very easily ni mbaya sana.

Haitokuwa tofauti na wavulana wajinga wanaoshinda chumbani wakijichua,badala ya kufanya kazi na kutafuta mwenza kwa njia sahihi.
 
HUu mkataba very soon utakuwa wazi ni jipu na siasa mbaya km kawaida ya ccm.
 
Huwezi kuelewa wewe
CCM zaidi ya hujuma na kuendesha nchi ktk magazeti hakuna kitu wanaweza au kujua. Sasa hivi wanakimbizana kivuli chao dhidi ya kanda fulani.Wanwatafuta kuanzia ktk mabank, TRA, ktk Media, mashamba, Sasa ni ndege, ktk siasa. Wasichojua wanamaliza rasilimali ktk ujiga badala ya kuzitumia ktk mafanikio.Wenzao walijfunza vitu n anidhamu ya hizo kazi wanazofanya,ili wafanikiwe.Hivyo vitu huwezi mnyang`anya mtu hata iweje.Bado ataanza moja na kufanikiwa na aliyepewa hatoweza viendesha.
 
nasikitisha sana hii nchi, ATCL wanahitaji kufanya kazi kiushindani na si kuanza fanya hujuma ktk soko huria. Kitendo ch ahii mikataba (ipi??) ni kuwanyima sector binafsi nafasi ya kushindana na kuweza endesha biashara kwa mafanikio. Ktk soko huria upendeleo na ipaka kwa wengine ni kudhulumu haki ya wengine na wateja pia kupata huduma bora km matokeo ya ushindani. Napinga sana haya makubaliano (yepi??) ambayo si muda mrefu yataonekana km ilivyoanza mambo ya kulazimisha watu (watu wepi?) waunganishe na TBC ambayo ipo hoi ktk kila idara. Huu ni ushetani mbaya sana kwa walaji na wawekezaji.

Mataba huu (Upi??) ni ni njia mojawapo ya kulazimisha TTB (Ni Nini hii TTB??, Kirefu chake ni nini na ina kazi gani??) kuminya wengine, na baadae zitaanza hujuma ktk route.

LINI HII SERIKALI ITAACHA KUONA WAWEKEZAJI BINAFSI NI MAADUI WA SERIKALI NA IDARA ZAKE ZISIZOTAKA USHINDANI? kwani ni wapi imeandikwa kuua upinzani ndio kusaidia mwingine kutoa huduma nzuri? Hizi fikra zipotezwe ktk siasa,ktk biashara na kila kitu.


Serikali inahitaji mkataba wa nini na idara zake,zenye maslahi ya umma?Kesho tena tutasikia mamlaka za anga na viwanja vya ndege zikiingia mkataba mwingine na adhabu kwa watu wengine.Itakuwa tumechelewa sana kuona huuu ushetani.

Serikali inahitaji ubunifu na si kufanya hii biashara ya kuua wengine ili ubaki wewe.Itauwa wangapi?Wataua Kenya airways?wataua Ethiopian,Emiratee etc?

ITASIKITISHA TENA KM ATAIBUKA MTU SERIKALINI NA KUSEMA WAFANYAKAZI WA SERIKALI NAO WASIPANDE NDEGE BINAFSI.HATA KM HUDUMA NA BEI NI NZURI ZAIDI KTK SECTOR BINAFSI. Hii italeta hasara mara mbili,serikali itajilipa kwa hela ile ile na hivyo mwisho wa siku itakuwa na net zero,na pia sector binafsi itanyimwa haki.

STUPID PROTECTIONISM: ktk siasa,elimu,viwanda,ndege ,media, etc.Kote serikali inafanya kazi against watu binafsi
 
km ni wewe ulipanga huu ujinga utajifanya huelewi na pia huwezi elewa km hukuelewa mwanzoni,mlipokuwa mkipanga na kudhani ni akili kubwa..
Mimi sijakuelewa kabisa ulichotaka kumaanisha ingawa sikuwepo kwenye kamati ya waliopanga huo ujinga unaosema, tulia kunywa maji halafu urudi kutuelewesha vizuri
 
ATCL na Tanzania Tourism Board eti wanataka kuza utalii. Mikataba km hiyo huwa inaingiwa na Ndege za Nje kuleta watalii toka duniani kuja Tanzania. Ila huu ni akili zilezile za kuviziana hapa Tanzania.

Serikali inahitaji mkataba wa nini na idara zake,zenye maslahi ya umma?Kesho tena tutasikia mamlaka za anga na viwanja vya ndege zikiingia mkataba mwingine na adhabu kwa watu wengine.Itakuwa tumechelewa sana kuona huuu ushetani.
Umepanic brother, mkataba mimi nilivyosikia mbona ni mzuri tu, mkataba wa kutangaza vivutio vya utalii kupitia ATCL sioni tatizo lolote labda utueleweshe madhara yake na sio kupiga makele yasioeleweka
 
nasikitisha sana hii nchi, ATCL wanahitaji kufanya kazi kiushindani na si kuanza fanya hujuma ktk soko huria. Kitendo ch ahii mikataba (ipi??) ni kuwanyima sector binafsi nafasi ya kushindana na kuweza endesha biashara kwa mafanikio. Ktk soko huria upendeleo na ipaka kwa wengine ni kudhulumu haki ya wengine na wateja pia kupata huduma bora km matokeo ya ushindani. Napinga sana haya makubaliano (yepi??) ambayo si muda mrefu yataonekana km ilivyoanza mambo ya kulazimisha watu (watu wepi?) waunganishe na TBC ambayo ipo hoi ktk kila idara. Huu ni ushetani mbaya sana kwa walaji na wawekezaji.

Mataba huu (Upi??) ni ni njia mojawapo ya kulazimisha TTB (Ni Nini hii TTB??, Kirefu chake ni nini na ina kazi gani??) kuminya wengine, na baadae zitaanza hujuma ktk route.

LINI HII SERIKALI ITAACHA KUONA WAWEKEZAJI BINAFSI NI MAADUI WA SERIKALI NA IDARA ZAKE ZISIZOTAKA USHINDANI? kwani ni wapi imeandikwa kuua upinzani ndio kusaidia mwingine kutoa huduma nzuri? Hizi fikra zipotezwe ktk siasa,ktk biashara na kila kitu.


Serikali inahitaji mkataba wa nini na idara zake,zenye maslahi ya umma?Kesho tena tutasikia mamlaka za anga na viwanja vya ndege zikiingia mkataba mwingine na adhabu kwa watu wengine.Itakuwa tumechelewa sana kuona huuu ushetani.

Serikali inahitaji ubunifu na si kufanya hii biashara ya kuua wengine ili ubaki wewe.Itauwa wangapi?Wataua Kenya airways?wataua Ethiopian,Emiratee etc?

ITASIKITISHA TENA KM ATAIBUKA MTU SERIKALINI NA KUSEMA WAFANYAKAZI WA SERIKALI NAO WASIPANDE NDEGE BINAFSI.HATA KM HUDUMA NA BEI NI NZURI ZAIDI KTK SECTOR BINAFSI. Hii italeta hasara mara mbili,serikali itajilipa kwa hela ile ile na hivyo mwisho wa siku itakuwa na net zero,na pia sector binafsi itanyimwa haki.

STUPID PROTECTIONISM: ktk siasa,elimu,viwanda,ndege ,media, etc.Kote serikali inafanya kazi against watu binafsi
Husikilizi media tangu juzi ?Unataka niwe na copy ya mikataba.Serikali ya CCM lini imetoa mikataba hata kwa wabunge? Wewe ni laana ingine ktk kuzuia watetezi wa haki ,a kuulinda uovu usioweza uthibiti.
 
haya hii hapa : TTB AND ATCL FORGE PATRNERSHIP IN PROMOTING TRAVEL AND TOURISM » Tanzania Tourist Board

TTB AND ATCL FORGE PATRNERSHIP IN PROMOTING TRAVEL AND TOURISM
Tanzania Tourist Board (TTB) and Air Tanzania Company Ltd (ATCL) have signed a two year Memorandum of Understanding (MoU) in which the two institutions have forged partnership in promoting Travel and Tourism in an event that ATCL inflight magazine was also launched.
Addressing reporters at the MoU signing ceremony held at the TTB head office in Dar es salaam, the Chairman of the Board of Directors of TTB Judge (Rtd) Thomas Mihayo noted that Tanzania Tourist Board and Air Tanzania Company Ltd have agreed to cooperate in a number of issues including TTB to carry out special training for ATCL staff including pilots and cabin crew on how to promote and market destination Tanzania to passengers aboard, providing ATCL the opportunity to showcase their services in the tourism shows that TTB will be participating and organizing to mention just a few. “ATCL and TTB are interlinked institutions when it comes to the development of tourism” pointed out Judge Mihayo. He further said that ATCL will include destination Tanzania films in the inflight TV entertainment list.
Earlier in his statement the Chairman of the ATCL Board of Directors Eng. Emmanuel Korosso said that ATCL is fully committed to closely work with TTB in promoting destination Tanzania domestically and internationally since the expansion of fleet gives assurance to them that they will be flying to many international destinations in the near future.
The event was graced by some members of TTB Board of Directors, TTB Management Team and staff as well as senior staff from ATCL.

The Managing Director of Tanzania Tourist Board (TTB) Ms Devota Mdachi (sitting 2nd right) and the Air Tanzania Company (ATCL) Ltd Eng. Ladislaus Matindi (sitting 2nd left) signing on partnership MoU document. Standing behind is TTB Board Chairman Judge (rtd) Thomas Mihayo (right) and Eng. Emmanuel Korosso (left).


Air Tanzania Company Ltd Managing Director Eng. Ladislaus Matindi (left) and Tanzania Tourist Board Managing Director Ms. Devota Mdachi (right) exchanging an MoU document shortly after signing it. Looking on is ATCL Board Chairman Eng. Emmanuel Korosso (2nd Left) and TTB Board Chairman Judge (rtd) Thomas Mihayo (2nd Right).


Chairman of the ATCL Board of Directors Eng. Emmanuel Korosso and his counterpartChairman of TTB Judge (Rtd) Thomas Mihayo launching the Magazine

Some Directors of TTB follow the partnership pact signing ceremony between Tanzania Tourist Board and Air Tanzania Company Ltd.


Tanzania Tourist Board and Air Tanzania Company Ltd Board Chairmen pause for photo with the CEOs of the two institutions and members of the Management Team of TTB.
Contact Information
Contacting us by post Tanzania Tourist Board
Utalii House - Laibon street/Ali Hassan Mwinyi Road - Opposite French Embassy
P.O.Box 2485
Dar-es-Salaam
Tanzania.
Contacting us by email md@tanzaniatourism.go.tz
Contacting us by telephone
General: +255 22 2664878/9
Marketing:+255 22 2664875
Tourism Services:+255 22 2664873
Branch Offices
Contacting us by fax
Download Center

General Procurement Notice (GPN) for financial year 2016/2017
Karibu Kilwa
Tanzania a true paradise
HardVenture Tourism News
Explore Tanzania
Brochures
Posters
Newsletters
Video

Did you know!
That Freddy Uiso, is the only contestant from Africa to participate in the World Chef Championship Competition and to be nominated for World Chef Title and become the 4th winner?".
Tell Us Your Story!
S!TE TO RESUME 2017!


FacebookTwitterYouTube
 
Umepanic brother, mkataba mimi nilivyosikia mbona ni mzuri tu, mkataba wa kutangaza vivutio vya utalii kupitia ATCL sioni tatizo lolote labda utueleweshe madhara yake na sio kupiga makele yasioeleweka
Utaona wapi akili zako miaka yote hazijawahi ona wala kujifunza patterns za CCM?
 
Upo wapi wewe usiyesoma ,ila upo ktk ubishi km watanzania wengine,na wasomi uchwara wenu.
 
capacity building ya ATCL mnataka ijaje ?
Umesoma uchumi?AU kufanya biashara yoyote halali ktk maisha yako?Unajua nini wamekosa hawa jamaa na hiyo ndio njia pekee ya capacity building?Kwanini usingejiongeza na kuuliza maswali yasiyo ya kipubavu ili upate jibu lisilo la kipumbavu? Mtajiuliza maswali ya kipumbavu na kupata majibu ya kipumbavu hadi lini?
 
Back
Top Bottom