Mkataba wa miradi ya Mchuchuma na Liganga wasainiwa!

Huu mradi una faida kwa Taifa ndio mana watu walitaka kuhujumu kama wanavyofanyaga kwingine. Sasa wameshindwa kuhujumu basi tuwe na Imani kwamba mradi huu utaleta faida kwani 10% hakuna aliyepata. Na Wachina wameonyesha plan zao sio mchezo Ludewa itakuwa the best town in the country. Watu wote watakaopisha mradi watajengewa nyumba. Halafu kauli mbiu yao ni Urafiki halafu Biashara sio hawa wachimbaji tulionao ambao jamii zamaeneo husika hata maji tuu shida, shule shida Zahanati ndio shida kabisa.
 
Chrisant Mzindakaya amesaini kwa niaba ya serikali imeonyeshwa katika taarifa ya habari channel ten, Makamu wa Rais alikuwepo kwa ajili ya kushuhudia mkataba ukisainiwa.
Mwenyekiti wa bodi wa shirika la UMMA ana mamlaka hayo kisheria? Tangu lini wenyeviti wa bodi zetu wakawa wenyeviti watendaji?
 
Mzindakaya hajapata chochote na hakuna aliyehongwa kabisa kwani wachina kungekuwa na hongo hakungekuwa na mizengwe kama ilivosemwa. Kama huko kwingine kuna tuhuma basi lakini mradi wa Liganga hajala. Lakini pia big up kwa Mhe. Filikunjombe kwani alipigana kufana kupona kupambana na akina Jairoz wasihujumu huu mradi.
 
Unategemea kuwa huyo fisadi Mzindakaya atakuwa ameelewa nini kimeandikwa katiika mkataba huo? Msisahau huyu mzee ndiye anaedaiwa na wizara ya maliasili fedha nyingi kutokana na kitalu cha uwindaji alichikomandia; pia ana mkopo wa mabillioni toka benki kuu [alipewa kiharamu na marehemu Ballali ndio maana akawa anamtetea bungeni]eti wa kusindika nyama ambao ni bogus, sasa amejikomba kwa Vasco kampa huo uenyekiti wa NDC kazi ambayo ndio anaifanya kuwa ni ya full time badala ya kuongoza vikao vya bodi tu!!

Ukiangalia kwa haraka tu, jina la Mwenyekiti wa Board ya hiyo kampuni ya kichina anayesaini mkataba na Serikali yetu limechakachuliwa. Wakati Michuzi wanaonyesha jina la Mtu huyo kama Liu Canglong, website ya kampuni hiyo inaonyesha jina tofauti kabisa. Hapo ndipo penye maswali: angalia list ya wakurugenzi hapa
[h=3]Summary[/h]
[h=2]Qian Yang[/h]562011Chairman of the Board
[h=2]Yue Mou[/h]52Vice Chairman of the Board
[h=2]Yingfu Hu[/h]462011Chief Accounting Officer
[h=2]Yanjun Wang[/h]381999Secretary of the Board
[h=2]Shouming Yang[/h]472008Chief Engineer
[h=2]Jianjun Huang[/h]472009General Manager, Director
[h=2]Leqiong He[/h]492004Deputy General Manager
[h=2]Dawei Wang[/h]422011Deputy General Manager
[h=2]Xi Yang[/h]522011Deputy General Manager
[h=2]Hongliang Chen[/h]502011Director
[h=2]Jun Liu[/h]292011Director
[h=2]Youle Zhou[/h]58Director
[h=2]Zhiyao He[/h]702008Independent Director
[h=2]Chaozhu Li[/h]2011Independent Director

NameAgeSinceCurrent Position
 
What are the conditions in this pact? Important to know if something fishy has taken place. Wachina nao si watu
Newvision sio siri umasikini ni kitu kibaya sana!. Eti kwa vile hatuna mtaji ndio tumelazimika kukubali kupokea 20% ya net profit na investor atachukua 80% kwa sababu hatujachangia hata senti moja!.

Umiliki wa Mchina ni asilimia 100%!. Sisi tutapewa 20% ya faida!.

Wanabodi hiki ni kilio kingine kitakachofiatia hapa ni Wachina wataweka oparation cost za juu sana, watajilipa super salaries at the end of the day wataonyesha they were oparating on losses hivyo mradi hauzalishi faida and Watanzania will get nothing zaidi ya umeme!.

Hawa wanasheria wetu waneshindwa kuithaminisha iron ore deposits na hayo makaa ya mawe kama Tanzania imput ili shares ziwe 51% majority kwa Mchina nasi tushike 49% ili tuwe na maamuzi!.

Masikini Tanzania, umasikini wa fikra umetupelekea kugawa almasi zetu tulizokuwa tunachezea bao na kupokea gololi huku tukishangilia mlo wa siku moja na njaa ya milele kama mazuzu!.
 
Ukiangalia kwa haraka tu, jina la Mwenyekiti wa Board ya hiyo kampuni ya kichina anayesaini mkataba na Serikali yetu limechakachuliwa. Wakati Michuzi wanaonyesha jina la Mtu huyo kama Liu Canglong, website ya kampuni hiyo inaonyesha jina tofauti kabisa. Hapo ndipo penye maswali: angalia list ya wakurugenzi hapa
Summary


Qian Yang
562011Chairman of the Board
Yue Mou
52Vice Chairman of the Board
Yingfu Hu
462011Chief Accounting Officer
Yanjun Wang
381999Secretary of the Board
Shouming Yang
472008Chief Engineer
Jianjun Huang
472009General Manager, Director
Leqiong He
492004Deputy General Manager
Dawei Wang
422011Deputy General Manager
Xi Yang
522011Deputy General Manager
Hongliang Chen
502011Director
Jun Liu
292011Director
Youle Zhou
58Director
Zhiyao He
702008Independent Director
Chaozhu Li
2011Independent Director

Duh! Wabongo mtapenya kweli hapo maana huo muundo wa kampuni ni kichinachina tupu hakuna diversity. Sijawahi kuona a huge mining company ya namna hii for the entire time I have been in this industry.......... anywayz ngoja tusubiri tuone!
 
sisemi chochote hapa.

maana baada ya kelele za mikataba iliyopo sasa nilitegemea kitu kama hiki (in red), kumbe mtz anaendelea kuwa mtz!

then unashangaa kama sisi historia haitutendei haki maana we are 'growing backwardly/negatively"!
Kwa wale wanaopitia masuala ya sheria wanaweza kusahau mikataba ya akina Chifu Mangungu na wengineo.
Historia ya karibu inaonyesha kuwa mwaka 1967 kulikuwa na kesi moja huko Arusha ya Sluis Bros (EA) Ltd. v. Mathias & Tawari Kitomari H.C.D. 425 ambapo hii kampuni ya Uholanzi iliingia mkataba na wakulima kutumia ardhi yao na wenyewe kuleta pembejeo.
Lakini mkataba inasemekana uliandikwa kwa lugha ya Kiingereza ambayo hawa wakulima hawakuifahamu na walidhani watagawana kitakachopatikana/zalishwa.
Waliposhistushwa mwishoni kuwa walipaswa kugawana 'net profit' ndio wakakataa na kwenda mahakamani na wakashinda kesi.

Inakuwaje hii reference iko kwenye sheria za Tanzania tangia wakati huo lakini mwaka 2011 nchi ikiwa imesheheni wasomi wa kila aina na wanaharakati tofauti na mwaka 1967 inarudia makosa ambayo wakulima waliyakataa miaka 45 iliyopita!?
Newvision sio siri umasikini ni kitu kibaya sana!. Eti kwa vile hatuna mtaji ndio tumelazimika kukubali kupokea 20% ya net profit na investor atachukua 80% kwa sababu hatujachangia hata senti moja!.

Umiliki wa Mchina ni asilimia 100%!. Sisi tutapewa 20% ya faida!.

Wanabodi hiki ni kilio kingine kitakachofiatia hapa ni Wachina wataweka oparation cost za juu sana, watajilipa super salaries at the end of the day wataonyesha they were oparating on losses hivyo mradi hauzalishi faida and Watanzania will get nothing zaidi ya umeme!.

Hawa wanasheria wetu waneshindwa kuithaminisha iron ore deposits na hayo makaa ya mawe kama Tanzania imput ili shares ziwe 51% majority kwa Mchina nasi tushike 49% ili tuwe na maamuzi!.

Masikini Tanzania, umasikini wa fikra umetupelekea kugawa almasi zetu tulizokuwa tunachezea bao na kupokea gololi huku tukishangilia mlo wa siku moja na njaa ya milele kama mazuzu!.
 
Lets not jump the gun they don't have the knowledge in this sector. Why where they shortlisted in the first place? 10% Lazima imetembea kweli Bongo Tambarare. This project is doomed from the get go!! Being Poor is Expensive

Sichuan Hongda (Group) Co., Ltd.


Founded in 1979, Sichuan Hongda (Group) Co., Ltd. owns two branch factories and a listed company, Sichuan Jinglu Group Co., Ltd. (000510.SZ).

By the end of 2008, the group had total assets worth almost 4 billion yuan and net profit worth more than 589 million yuan. Its main products include ordinary superphosphate, fertilizer, industrial sulfuric acid, potassium nitrate, ammonium chloride, electrolytic zinc, zinc oxide, bags and ore mining and real estate development.



  • Headquarter Address:
  • No. 2 Jinli Road East, Chengdu City, Sichuan
  • Main Telephone:
  • (86-28) 86159058
  • Website:
  • Executives:
  • NamePositionGenderAgeIn Office Since
    Bao WeichunChief Financial Officermale461999
    Liu CanglongChairman of the Board of Directorsmale541979
Sichuan Hongda Co., Ltd is principally engaged in the manufacture and distribution of zinc ingots and chemical products. The Company's major products are zinc ingots, monoammonium phosphate, lead-sulfide concentrates, zinc oxide, zinc-sulfide concentrates, calcium hydrogen phosphate, liquid ammonia, calcium superphosphate and organic phosphate fertilizers, among others. It distributes its products in domestic and overseas markets. As of December 31, 2010, the Company had nine subsidiaries, which involved in the manufacture and distribution of nonferrous metal, chemicals, mineral products and construction materials, property development, project investment, as well as import and export trading.

Source: http://markets.ft.com/research/Markets/Tearsheets/Business-profile?s=600331:SHH
 
Hiyo akili au matope,rasilima zetu, wao watachukuache 80%, hata hapa ndc hakuna wasomi nini?
 
Serikali itapata 20% na mchina 80% kwa kuwa gharama zote za uwekezaji atatoa mchina.nikasema duh hii imekaa kinyonyaji zaidi na kuwafaidisha wao kuliko wazawa
Shida kubwa tuliyo nayo kwa sasa ni kujiuza, tena kwa bei ya magadi badala ya bei ya sukari.
Kuruhusu wachina kugharamia kwa asilimia 100 kuna uwezekano mkubwa wa Tz kukosa nguvu katika maamuzi yoyote yanayohusu mradi hata kama yanahatarisha usalama wa taifa.
Hapa gawio la 20% litategemea huruma ya wachina kukubali wamepata faida vinginevyo wanaweza kutangaza hasara hadi hapo madini ya chuma na makaa ya mawe yatakapoisha.
Inabidi kujipanga vilivyo kuhakikisha tunaunda task forces za kuwahujumu wawekezaji waliotumia mwanya wa ujinga wetu kuingia mikataba ya kinyonyaji ili kuhakikisha faida kubwa inabaki kwetu kwa gharama yoyote ile.
Utumwa wa fikra na nafsi uondoke miongoni mwa watanzania na ikibidi tuwaondoe kwenye nafasi za maamuzi wenzetu ambao bongo zao zimehasiwa na utandawazi.
 
Hapo sasa ndio tuambia jambo la kuambiwa changanya na mawazo yako na ufaahamu wako, hivi nani aliwambia madini yaoza kule ardhini? kwa hili la 20%? ni aibu sanaaaaaa, najuta kuwa mtanzania
 
Na Wachina wa sasa sio wale wa enzi za Mwenyekiti Mao. Tumewarudishia URAFIKI madudu yanayofanyika kiwandani mle ni wao wenyewe wanajua.
 
Back
Top Bottom