Kidotulotokordwak
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 286
- 43
- Thread starter
- #41
lets stop negative thinking we still have a long way to go
you still have long way to go
lets stop negative thinking we still have a long way to go
Hivi hata wewe dada yangu unaweza kuingia kwenye mtego wa kitoto kama huu?
halafu Mr Jasusi nilitaka kukupaisha kukupa angalau ujasusi wa takukuru nimegundua kuwa nao huna..... hebu jikumnushe hapa thread yako
HATA HII FEEDBACK YAKO ULOLETA NAYO NI UONGO MTUPU, IMEKAA KUFIKIRIKA TU............... Baada ya kupigwa madongo kule
wahi! Nafasi ni chache!Babu naomba tuingie mkataba wa kukaguliwa na wewe. My loya akifufufka kutoka kuzimu alikopelekwa na boksi atakutwangia.
siku zote wewe ni mgonjwa ndo maana akili yako iko ivyo
kunywa hizo Asprin umalize dozi
kumbe nabishana na mvuta bangi,duh nilikua sijui,
at least wanataka ndoa halali na sio kuwa incubator. sijui what will happen mtoto akimaliza kunyonya, wataendelea na ndoa ya upendo au ndio zitaanza visa vya 'nilikuoa nipate mtoto tuu sio mapenzi hivyo sepa zako' na what will happen if akikutana na dada atakayempenda kwa dhati. Kuna complications nyingi zinaznoweza kujitokeza, I can only wait and watch.BTW this will make a great movie/series, shegongo akipita hii thread atapata idea ya mamillioniDuh!!Kama ni kweli wapo walioandika (though siamini) basi wadada wenye njaa ya ndoa Tanzania ni janga la kitaifa.
Duh!!Kama ni kweli wapo walioandika (though siamini) basi wadada wenye njaa ya ndoa Tanzania ni janga la kitaifa.
Hatimaye ninakanyaga Ardhi ya Dodoma kuzungumza na mwenye e-mail no 3 na ndo ninaelekea hotelini,kama upo Dodoma njoo hapa Saint Gasper Hotel ili uje uwashuhudie hawa raia huku jf wanaofikiri ni utani,
kwa hiyo kila mmoja utakuwa unamzungukia!? Halafu nani kakushauri!?
Hakika ni janga la nchi, though siamin hata kwa bomb la machozi,kwan kama umegundua huyu jamaa ni mtetea hoja,na byanymeans ashinde!hata kwa uongo.
at least wanataka ndoa halali na sio kuwa incubator. sijui what will happen mtoto akimaliza kunyonya, wataendelea na ndoa ya upendo au ndio zitaanza visa vya 'nilikuoa nipate mtoto tuu sio mapenzi hivyo sepa zako' na what will happen if akikutana na dada atakayempenda kwa dhati. Kuna complications nyingi zinaznoweza kujitokeza, I can only wait and watch.BTW this will make a great movie/series, shegongo akipita hii thread atapata idea ya mamillioni
Hehehehe! wifey bana, hujui ujasusi unaendana na hii makitu?hubby unamchokoza kaka 'jasusi?'
Hatimaye mgeni wangu amefika na mwanasheria wake na mazungumzo yataaza baada ya nusu saa,kama upo dom njoo tupate kifungua kinywa ili usiniamini kwa maneno bali kwa kujionea
hahahaa jasusi una vituko, anyway una bastola hapo?