mipango hatari....so kwa wakati huo pia akapoze machungu na kamjamaa kingine au sio
Braza upo!!mipango hatari....so kwa wakati huo pia akapoze machungu na kamjamaa kingine au sio
Nipo ....Braza upo!!
Long time no see!!
TOUCHED!Sikia dada yangu,huyo ni mmeo wala usihofie ule uongo. Kuna wakati wanaume huwa tunalazimika kudanganya baada ya kujua huyo mtu uliyenaye anataka kusikia nn! Yaani km mwanamke nampenda,na nnajua kuna vitu hapendi nitasema uongo kwenye hiyo category. Nikuhakikishie huyo mtu wala usihangaike na talaka,talaka ni makaratasi tu,mtakuwa mnachelewa tu kuanza kutengeneza familia. Kumbuka ndoa ya kanisani haina talaka. Mimi nilioa mwaka 1997,lkn kufikia mwaka 2005 ndoa yangu ilikuwa jehanam. Lkn nilivumilia kulinda heshima ya watoto wangu. Mwaka 2008,nilipata mtu na nikaanza naye urafiki nikiwa ndani ya ndoa. Sikuwa nimemuacha mke wangu,na muda mwingi niliutumia sana kwa mke wangu ingawa ukweli ndoa haikuwepo. Mwaka 2010 nikabahatika kupata mtoto na huyo rafiki yangu,huyu wa ndoa hata kujamiiana tulikuwa tumeacha. Tulibaki hivyo,na hakujua km nimezaa nje na nilikuwa kila ijumaa jioni naenda kwa mpenzi wangu narudi jpili. Mwaka 2013 niliumwa jicho na kufanyiwa upasuaji,nilikuwa nahitaji mtu mwenye upendo nami kunihudumia. Hapo ndo ulikuwa mtihani. Nilichagua kwenda kwa mke wangu wa ndoa baada ya kutoka hospital. Lkn kilichonipata Mungu anajua,siku 3 baadae nikaita taxi nikatimkia Kwa mpenzi wangu. Na siku iliyofuata nikampigia simu mke wangu nikaweka wazi uhusiano wangu na kwamba tayari tulikuwa na mtoto wa miaka 3. Hakuweza kustahimili zile taarifa,kesho yake akapeleka canter akabeba kila kitu cha ndani na watoto wangu akawaacha hapo. Sikumfanya chochote,kesho yake nikaenda keko nikanunua fenicha zote mpya. Na maisha yanaendelea na yule aliyekuwa mpenzi wangu,ndo mke wangu hadi leo. Na huwezi amini yaani hapa naona km nimekutana naye jana tu. tunapendana ile mbaya na tayari tuna mtoto mwingine now ana miaka 4. Baada ya maelezo haya marefu,leo ukienda usirudi tena kule kwako..
Mimi ni mwanamke
Nipo kwenye mahusiano ya kuishi pamoja kupika na kupakua na mwanaume Mwenye miaka 45 kwa muda wa miaka 3 Huku tulipanes Mipango yakuoana. Wakat tunaanza alidai Ana watoto 2 (ke na me) mama tofauti ila hajawaoa. Na mtoto mkubwa anaishi na shangazi yake. Anadai alichelewa kuoa kutokana na ugumu wa maisha aliyokulia na pia alihaso sana hadi Leo kufikia alipo.
Kuna kipindi niliwahi kupata tetesi kwamba améoa ila alikataa katakata. Juzikati alipata msiba wa moja ya mzazi wake ikabidi aende ila alikataa mimi nisiende. Baada yayeye kuondoka nikapanga Safari nikamfwata ila nilipofika stand akanipotezea hakuja kunipokea.
Niliamua kutumia mbinu zangu hadi kufika kwao na kukuta msiba.
Nilishangaa kukuta ameoa tena ndoa ya kanisani. Tulipokaa na kuzungumza alijitetea kwamba walishaachana kwa kuwa hawakuwa na maelewano na ni kama ndoa haikuwepo. Walishasuluhishwa ikashindikana. Ila Bado mwanamke alikuwa hajahamisha Mali zake kutoka kwenye nyumba ya mwanaume (aliikuta alipoolewa).
Pía alijitetea alinificha kwa kuwa aliogopa nitamwacha.
Mipango iliyopo: amesema anatoa talaka kisha mengine yaendelee kama yalivyopangwa.
Sasa wazoefu na wasio wazoefu naomba mnishauri nifanyejee?? Maana siko vizuri.
Nyongeza:
Tuliwekwa kikao mimi yeye mkewe na ndugu zake. Nikamuuliza alikuwa wapi mbona ckuwahi kumsikia Hata cku moja wala kumuona? Mkewe alikiri kutokuwa vizuri na mumewe na pía ashapata mwingine. Na watu wote walikiri kwamba ile ndoa kiuhalisia ilibaki vyeti. Na ndio wakashauri talaka ili kila mtu awe huru.
Bwana ameomba msamaha sana na anatishia Hata kujiua.
Ukweli utanisamehe bure ila ya leo ni ya kweli kabisa. Kama nadanganya MUNGU ANIHUKUMU. Watu8 NAKUHESHIMU MNOO.
Ninawasoma japo mambo ya utafutaji yamenibana. Huduma za kila Siku ninapatiwa (matumizi), kifupi ananithamini kwa kiasi cha ubinadamu wake... Siwezi kusema amekamilika ila mbali na hayo matatizo anajitahidi.
Naendelea kucheua maoni yenu wote. Nina Imani siku mmoja nitawaletea maamuzi na nitakapofikia. Ninawashuru na Nawaomba sana msisite kunishauri
Which I think itapelekea talaka between them.Update:
Japo alikiri kwamba hayupo na huyu bwana na pia ashapata mwingine kwa ushauri wa baadh ya ndugu Mke aliyeachwa amefungua kesi mahakamani kwamba ametelekezwa na mumewe.
Which I think itapelekea talaka between them.
Au bado anamtaka?
Ok, pole!Ameamua kumsumbua tu na pia anataka wagawane mali ambazo mume anadai hawakuchuma pamoja.
Haya mambo yanasumbua sana kilichokukuta kinakaribia kufanana na kilichonikuta ila mimi niliamua kuwaacha wauane ama wapendane is up to wao.Update:
Japo alikiri kwamba hayupo na huyu bwana na pia ashapata mwingine kwa ushauri wa baadh ya ndugu Mke aliyeachwa amefungua kesi mahakamani kwamba ametelekezwa na mumewe.
Update:
Japo alikiri kwamba hayupo na huyu bwana na pia ashapata mwingine kwa ushauri wa baadh ya ndugu Mke aliyeachwa amefungua kesi mahakamani kwamba ametelekezwa na mumewe.