Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,323
- 1,713
Dah huo mtiririko wa ndugu umenichanganya sana hadi wengine nimewasahau katikati ya mkasa.
Wanajitia mafala ili ukengeuke wakudake, wakunyonge kwa dawa za dole gumba ufe wakuzike wakuenzi kimasonia yeess kimasonia Usiruhusu wakuheshimu wao.Ukuryani,kule ukiwa na pesa plus mali kama ng'ombe, majumba wazee wanakuheshimu sana na pia ukawapa hela za pombe, wewe ni mfalme.
Hakuna sehemu isiyo na madon wa hivyo halafu usiseme ni upuuzi maana utauhitaji huo unaouita upuuzi ili uwe don.Kiabakar hatuna ma don wa kipuuzi hivy mkuu
Mkuu achana nae turud kweny post yako, Je unazijua taabu za umasikini vizuri hakuna kitu ambacho sis wakurya tunachukia na kukikataa kama umasikini watu tuko tayar kukaa meza moja na Lucifer kusain deal hatuogopi chochote maana mentality yetu ni kwamba Great men must be wealthy and powerful ukiwa una pesa nyingi halaf huna ulinzi wowote mwanamke wako uliyenae anakumaliza kivyovyote kilain maana yake When u get rich enemies start from your own feet.Mkuu Sasa wewe unabishana na kisa ambacho mtu namjua A to Z.
Halafu maisha yangu wewe umeyajuaje?
Jf bhana🙌🏼😃😃
Ingekuwa unaishi milele zingekuwa na maana.Askofu wa madini Arusha Kanumba yupo wapi zimewasaidia nini sasa hizo mali leo wapo kuzimu wanatumikishwa na shetani si bora kuwa masikini huna amani,pili TANZANIA kuwa masikini ni kujitakia yaani unashindwa hata kulima,kuvua,kufukua madini bure tu na unapata utajiri bila kudungwa chale.Mkuu achana nae turud kweny post yako, Je unazijua taabu za umasikini vizuri hakuna kitu ambacho sis wakurya tunachukia na kukikataa kama umasikini watu tuko tayar kukaa meza moja na Lucifer kusain deal hatuogopi chochote maana mentality yetu ni kwamba Great men must be wealthy and powerful ukiwa una pesa nyingi halaf huna ulinzi wowote mwanamke wako uliyenae anakumaliza kivyovyote kilain maana yake When u get rich enemies start from your own feet.
Unapochangia mada kama hizi weka mihemko pembeni wew uliona wapi mtu akitumikishwa huko kuzimu ??Ingekuwa unaishi milele zingekuwa na maana.Askofu wa madini Arusha Kanumba yupo wapi zimewasaidia nini sasa hizo mali leo wapo kuzimu wanatumikishwa na shetani si bora kuwa masikini huna amani,pili TANZANIA kuwa masikini ni kujitakia yaani unashindwa hata kulima,kuvua,kufukua madini bure tu na unapata utajiri bila kudungwa chale.
Ungekuwa na elimu ya mambo ya ulimwengu usioonekana ungeelewaUnapochangia mada kama hizi weka mihemko pembeni wew uliona wapi mtu akitumikishwa huko kuzimu ??
Ni maneno tu ya vijiwe unachukua na kuyafanya kama kweli,,
Na kitu hakihitaji kuwepo milele ili kiwe na maana tazama maisha ya watu hapa dunian utasema kuwa hayakuwa na maana kisa walikufa??
Na anawadhalilisha kweli kweli hadi tigo anawalamba Ili awape mali.Shetani akikukopesha, deni lake utalipa TU hata kwa kuchelewa!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app