Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
- Thread starter
- #41
Mother Confessor sehemu ya 05 tayari
Sehemu ya 05 tayariWe jamaa bwana. Nilianza kwa kuamini ulichokiandika
Sehemu ya 05 umeiona?Mm nitakuwa naisoma hii stori hapahapa tu sio whatsapp mkuu
'Gear yourself to solutions in every problem'
Nimeiona mkuu,,uko fasta hyo skill ya speed typing kwenye kompyuta uko vizuri sanaSehemu ya 05 umeiona?
PamojaNimeiona mkuu,,uko fasta hyo skill ya speed typing kwenye kompyuta uko vizuri sana
'Gear yourself to solutions in every problem'
Shusha mzigoNiendelee au
Duh!!!!Mfyuuu....karudie na binam ako mzaa nyanyako shemeji wa bibi ako,.kilembwe cha babu ako
This is SimbaWe jamaa bwana. Nilianza kwa kuamini ulichokiandika
Kwa mchanganuo huu,akiuliza tena nambie.Ni Mdogo wake shangazi yake na mama wa kambo wa mjomba ake baba Mdogo aliyekua amemuoa mjukuu wa bibi yao na babu
Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk
Mama kuna mwanao ameanzisha uzi huko, wewe kama mzazi wake tunaomba utupe ushuhuda.Huyo mwandishi ni mtoto/ndugu wa mtunzi na mwandishi H.H Katalambula???
MapopoTakbiiiiiir
Uzi upi??Mama kuna mwanao ameanzisha uzi huko, wewe kama mzazi wake tunaomba utupe ushuhuda.
Maendeleo hayana chama