Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,323
- 6,848
- Thread starter
- #1,001
BAADA YA RUFAA KUWA YA DANADANA SANA: KITU KILICHOMJIA MHUSIKA KICHWANI KWA SABABU NA YEYE PIA NI BINADAMU SIYO MUNGU
Ikumbukwe kuwa mnamo mwaka 2006, dada yake na mhusika aliwahi kufika huku Dar es salaam akitokea mkoani, akiwa ana mtoto ambaye alikuwa na tatizo la moyo. Mtoto huyo alikuwa amepewa rufaa kutoka kwenye hospitali ya mtu binafsi tu na rufaa hiyo ilimleta kwenye hospitali ya mtu binafsi mwingine tena. Maelezo kamili kuhusiana na mtoto huyu, mhusika alishawahi kuyaleta humu jukwaani siku nyingi nyuma kupitia kwenye post hii hapa #189
Mtoto huyu hakuweza kufanikiwa kupona na ilipofika Septemba 2006, mtoto alipoteza maisha
Baada ya danadana ya rufaa ya safari hii kutokea, mhusika alipata mawazo kuwa pengine inabidi awaeleze wamlete tu mtoto bila rufaa kwa sababu kuendelea kusubiri rufaa iliyokuwa ya danadana, kungeweza kupelekea mtoto hyuo kupata matatizo zaidi.
Baada ya mhusika kuwa amefikiria hivyo, akakumbuka tena swala la mtoto kwenye post hii hapa #189 na kugundua kuwa kwa kufanya hivyo, LIABILITY ya usalama wa mtoto, angei-transfer kutoka kwa mtaalamu aliyetakiwa kuandika na kutoa rufaa hiyo na angeileta kwake yeye (mhusika) mwenyewe; LIABILITUY kutoka kwa MTAALAMU kwenda kwa LAYMAN
Baada ya mhusika kujikagua kila mahali ambapo huwa anakuwa yupo, akakumbuka pia kuwa Serikali ya Mama ipo pale mlangoni ofisini kwake imejaa tele; ipo pia mlangoni nyumbani kwake napo imejaa tele, na ipo kila mahali kama hewa.
Hayupo mtu mwoga duniani, kama mhusika na hiki kitu ndiyo mara zote huwa ananitia aibu sana mimi. Huwa siipendi kabisa tabia yake hiyo ya uoga wa namna hiyo
Baada ya kugundua hilo, mhusika alipiga simu nyumbani kwao akimweleza mdogo wake (ambaye ni mama wa mtoto) kuwa ni muhimu sana kwamba inabidi asubiri rufaa ya daktari, hata kama itachukua mwezi mzima
Mama mtoto aliendelea kusubiri rufaa hiyo na ilipofika J5 wiki hii kwa bahati nzuri alifanikiwa kuipata
UP NEXT
MPANGO WA USAFIRI ALIOKUWA AMEUNDAA MHUSIKA BAADA YA KUSIKIA KUWA MTOTO ANAUMWA NA ANATAKIWA ALETWE DAR ES SALAAM
Ni usafiri wa ndege, ila mara zote alikuwa anaongelea usafiri wa Basi ambao mabasi yake huwa yanaingia saa 6 usiku hapa Da es Salaam
……………..inaendelea
Ikumbukwe kuwa mnamo mwaka 2006, dada yake na mhusika aliwahi kufika huku Dar es salaam akitokea mkoani, akiwa ana mtoto ambaye alikuwa na tatizo la moyo. Mtoto huyo alikuwa amepewa rufaa kutoka kwenye hospitali ya mtu binafsi tu na rufaa hiyo ilimleta kwenye hospitali ya mtu binafsi mwingine tena. Maelezo kamili kuhusiana na mtoto huyu, mhusika alishawahi kuyaleta humu jukwaani siku nyingi nyuma kupitia kwenye post hii hapa #189
Mtoto huyu hakuweza kufanikiwa kupona na ilipofika Septemba 2006, mtoto alipoteza maisha
Baada ya danadana ya rufaa ya safari hii kutokea, mhusika alipata mawazo kuwa pengine inabidi awaeleze wamlete tu mtoto bila rufaa kwa sababu kuendelea kusubiri rufaa iliyokuwa ya danadana, kungeweza kupelekea mtoto hyuo kupata matatizo zaidi.
Baada ya mhusika kuwa amefikiria hivyo, akakumbuka tena swala la mtoto kwenye post hii hapa #189 na kugundua kuwa kwa kufanya hivyo, LIABILITY ya usalama wa mtoto, angei-transfer kutoka kwa mtaalamu aliyetakiwa kuandika na kutoa rufaa hiyo na angeileta kwake yeye (mhusika) mwenyewe; LIABILITUY kutoka kwa MTAALAMU kwenda kwa LAYMAN
Baada ya mhusika kujikagua kila mahali ambapo huwa anakuwa yupo, akakumbuka pia kuwa Serikali ya Mama ipo pale mlangoni ofisini kwake imejaa tele; ipo pia mlangoni nyumbani kwake napo imejaa tele, na ipo kila mahali kama hewa.
Hayupo mtu mwoga duniani, kama mhusika na hiki kitu ndiyo mara zote huwa ananitia aibu sana mimi. Huwa siipendi kabisa tabia yake hiyo ya uoga wa namna hiyo
Baada ya kugundua hilo, mhusika alipiga simu nyumbani kwao akimweleza mdogo wake (ambaye ni mama wa mtoto) kuwa ni muhimu sana kwamba inabidi asubiri rufaa ya daktari, hata kama itachukua mwezi mzima
Mama mtoto aliendelea kusubiri rufaa hiyo na ilipofika J5 wiki hii kwa bahati nzuri alifanikiwa kuipata
UP NEXT
MPANGO WA USAFIRI ALIOKUWA AMEUNDAA MHUSIKA BAADA YA KUSIKIA KUWA MTOTO ANAUMWA NA ANATAKIWA ALETWE DAR ES SALAAM
Ni usafiri wa ndege, ila mara zote alikuwa anaongelea usafiri wa Basi ambao mabasi yake huwa yanaingia saa 6 usiku hapa Da es Salaam
……………..inaendelea