#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

MAELEZO YA USHAHIDI KUHUSIANA NA KUSHAHIBIANA KWA MASHAMBULIO MAWILI YA MWISHO, YAANI LILE LA MWAKA 2020 NA HILI LA MWISHO SIKU YA KRISMAS 2021

NAMNA MASHAMBULIO HAYA YALIVYOTOKEA

MAELEZO KUHUSIANA NA SHAMBULIO LA TAREHE 26/04/2020:


Inadhaniwa kuwa ilikuwa Ijumaa tarehe 17/04/2020 au au Jumamosi ya tarehe 18/04/2020 ambapo kwa mara ya kwanza Serikali iliwatangazia wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuwa baadhi ya makundi ya watu watalazimika kuanza kuvaa Barakoa. Still, hadi kufikia kipindi hicho tayari kulikuwa na watu ambao walikuwa wanavaa barakoa lakini ilikuwa ni optional kwao, tangazo la lazima lilikuwa bado halijatoka na ndiyo lilitoka siku hiyo kwa mara ya kwanza

Kwa hiyo tangazo hilo lilitolewa kwa mara ya kwanza kabisa liliyahusu makundi ya watu wanaoelekea kwenye mikusanyiko ya watu wengi kama vile Sokoni na kwenye daladala. Tangazo la watu kama wale wafanyakazi wa maofisini lilikuwa bado halijatoka. Kwa kuanzia tu, tangazo lilitoka linahusu makundi hayo mawili kwanza, watu wanaoenda Sokoni na wasafiri kwenye daladala

Kwa hiyo hadi J2 ya tarehe 19/04/2020, mhusika alihudhuria Ibada Kanisani akiwa hajavaa barakoa kwa sababu mpka tarahe hiyo, tangazo la watu wote kuvaa barakoa lilikuwa bado halijatolewa

ASUBUHI YA J3 YA TAREHE 20/04/2020 MHUSIKA BAADA YA KUWA AMEFIKA OFISINI, AKIWA BADO YUPO KWENYE PARKING YA GARI

Akiwa bado hajashuka kwenye gari, mtu mmoja mpita njia ambaye hata hawafahamiani na mhusika, alipokuwa akipita karibu na pale mhusika alipokuwa amepaki gari lake; mtu huyo alimwambia mhusika kuwa “KIOO CHAKO KIKO WAZI”. Mtu huyu alikuwa anamwambia maneno haya mhusika akimaanisha kioo cha garii la mhusika upande wa dereva ambacho hata yeye mhusika pia alikuwa amekiona kikiwa wazi. Kilifunguka chenyewe muda huo mara tu baada ya kuwa amefika kwenye parking
  • Baada ya mtu huyu kusema maneno hayo, aliendelea na safari yake na wala hakumsubiri mhusika aseme chochote kuhusiana na kioo hicho
  • Mtu huyu aliongea maneno hayo tu na mhusika naye hakupata nafasi ya kumjibu chochote na wala hawakuppata nafasi ya kuongea zaidi. Hata salaam hawakusalimiana
Kioo hiki kilishuka asubuhi ya J3 hiyo baada tu ya mhusika kufika kwenye parking, na alipojaribu kukipandisha juu kiligoma. Kwa kuhofia asije akaiacha gari kwenye parking kioo kikiwa wazi, aliamua kuipeleka garage ili kikafanyiwe marekebisho na mara baada ya marekebisho hayo, aliamua kwenda Mlimani City kununua barakoa kutokana na ushauri wa watu (wateja, siyo mafundi) aliokutana nao pale

  • Aliamua kwenda kununua barakoa hizo baada ya kukutana na watu kadhaa hapo garage (wateja wa kwenye gararge na siyo mafundi) wakiwa wamevaa barakoa na ambao walimsisitiza kuwa hata yeye pia nanatkiwa kuvaa
  • Pamoja na kwamba tangazo la wote kuvaa barakoa likuwa bado halijatolewa, mhusika aliona ni busara kufanya hivyo na hivyo aliamua kuanza kuvaa barakoa tokea siku hiyo
Kwa hiyo alipotoka Garage, alipitia Mlimani City ikiwa ni sehemu ambayo ilikuwa ni ya karibu zaidi na pale alipokuwa, akanunua barakoa kama kumi hivi kwenye duka la madawa halafu akarudi ofiisini

KUHUSIANA NA KIOO CHA GARI AMBACHO KILIPELEKEA MHUSIKA APELIKE GARI GARAGE

Kioo hiki kilikuwa na zaidi ya miaka kadhaa (zaidi ya mitatu) kikiwa kimegoma kufunguka na mhusika alikuwa hajapata nafasi ya kukishughulika kwa sababu mara zote alikuwa anatumia AC. Hata hivyo, J3 hiyo alipofika kwenye parking, kioo hicho kilifunguka chenyewe halafu na safari hii kikagoma kufunga, na hivyo ikambidi sasa aende garage muda huo huo asubuhi hiyo, vinginevyo gari ingekaa wazi ikiwa kwenye parking

HUKO KANISANI NAKOI SIKU YA IBADA YA J2 YA TAREHE 19/04/2020; KABLA YA J3 YA KIOO CHA GARI

Tangazo lilikuwa limetolewa kuwa J2 inayofuata ya tarehe 26/04/2020 kutakuwa na Ibada moja tu na si mbili kama ilivyo kawaida kwa J2 zingine
  • Kesho yake J3 ya tarehe 20/04/2022 baada ya tangazo la J2 Kanisani, mhusika ndipo alipopata dharura iliyopelekea aende garage kurekebisha kioo
  • Huko alikutana na wateja, baadhi wakiwa ni staff wenzake, ambao walimhamasisha aanze kuvaa barakoa, na katika muda ambao kulingana na tangzo lililokuwa limetolewa, kwake yeye kuvaa barakoa ilikuwa bado ni optional
  • Mhusika alikubaliana na uamuzi huo na alianza kuvaa barakoa tangu siku hiyo ambazo alizinuna baada ya kuwa ametoka hapo garage
“MR X” “MR X” “MR X” “MR X” ……………………………………

Siku hiyo aliporudi ofisini akiwa tayari ameshanunua barakoa, mtu wa kwanza kuongea na mhusika kuhusiana na swala la Barakoa hizo, alikwa ni “MR X”
  • Ni baada ya kuwa wamekutana kwenye chumba cha chai
  • “MR X” yeye tayari alikuwa ameshaanza kuvaa barakoa siku kadhaa nyuma, na mhusika naye ilikuwa ndiyo siku yake ya kwanza
  • “MR X” alimuuliza mhusika kuwa amenunua wapi barakoa na alimjibu kuwa ni Mlimani City
  • Zaidi “MR X” aliuliza bei na mhusika naye alimtajia, kitu ambacho kilipelekea “MR X” kumpongeza mhusika kuwa alinunua kwa bei nzuri nusu ya ile ambayo yeye “MR X” alinunulia za kwake
  • “MR X” alsema pia kuwa zilikuwa zimeshaanza kupanda kutokana na demand kwamba watu tayari walikuwa wameshaanza kutakiwa kuzivaa
ALICHOKUJA KUKIONA KWA SASA MHUSIKA KUTOKANA NA MAONGEZI YAKE SIKU HIYO NA MR X.

MR X” ALIKUWA ANATAFUTA USHAHIDI WA KUJUA MHUSIKA ALINUNUA WAPI BARAKOA HIZO ILI SIKU YATAKAPOKUJA KUMTOKEA MATATIZO, WASINGIZIWE WALIOMUUZIA BARAKOA HIZO PALE PHARAMACY YA MLIMANI CITY, NA HIVYO “JENGO JIPYA” LISIJULIKANE KAMA NDIYO CHANZO CHA MATATIZO YA MHUSIKA

Kwa hiyo hapa “MR X” alikuwa anatafuta mbinu ya kuhakikisha kuwa watakaohusika, just in case of anything, ni wale waliomuuzia barakoa na huku wale wa kwenye ‘JENGO JIPYA” wakiendelea kubaki salama

Ni kwa sabau “MR X” alikuwa anajua nini kitampta mhusika kwenye J2 inayofuata kwa sababu lazima ataenda Kanisani akiwa amevaa Barakoa

Baada ya MR X kuhakikisha kuwa mhusika ameshanunua Barakoa na amezinuna wapi, chances ni kwamba aliwasiliana na wenzake kule Kanisani ili J2 mhusika apate nafasi ya kukaa kwenye “JENGO JIPYA” na si mahali pengine, ambapo mpango huo ulifanikiwa

SIKU YA J2 YA IBADA MOJA YAWADIA, MHUSIKA ATINGA KANISANI KWA MARA YA KWANZA AKIWA AMEVAA BARAKOA
  • Ilikuwa ni ile J2 ya tarehe 26/04/2020
  • Mhusika alipata nafasi ya kukaa kwenye ‘JENGO JIPYA”na siku hiyo ilikuwa imeshapita miaka kadhaa nyuma tangu mara ya mwisho mhusika alipokanyaga kwenye jengo hilo
  • J2 hiyo, hakuwa na namna bali alilazimika kukaa kwenye jengo hilo kutokana na uwingi wa waumini kwenye Ibada ya siku hiyo
  • Hata kabla Ibada haijaanza, mhusika akawa tayari ameshatandikwa koo, alianza kukohoa kohoa na ikampelekea ahakikishe kuwa muda wote amevaa barakoa
Zaidi ni kuwa J2 hii mhubiri wake alikuwa pia yule anayejua MAFUNGU YA KISHETANI

……………………..inaendelea
 
HITIMSHO

Shambulio hili la tarehe 26/04/2022 lilitokea kanisani na chanzo cha shambulio hili ilikuwa ni “JENGO JIPYA” na si BARAKOA alizonunua mhusika pale Mlimani City

Zaidi ni kuwa sahmbulio hili lilitokea
  • Siku ya Ibada moja
  • J2 ambayo mhusika alikanyanga ndani ya JENGO JIPYA, baada ya kuwa hajakanyaga humo kwa miaka kadhaa
  • MR X alijua juu ya shambulio hili na ndiyo maana alikuwa makini sana katika kujua mhusika alinunua wapi barakoa hizo
SHAMBULIO LA HIVI KARIBUNI SIKU YA KRISMAS TAREHE 25/12/2022

Hili nalo pia limetokea
  • Siku ya Ibada moja
  • Siku ambayo IBADA ILIHAMIA GHAFLA KWENYE “JENGO JIPYA”, KWA MARA YA KWANZA na kwa ughafla wa aina fulani kwa sababu taarifa za uhamaji huo hazikuwa zimetangazwa kwenye J2 ya Ibada iliyokuwa imepita nyuma yake
  • Mhusika akiwa amekaa kwenye JENGO ambalo mara zote hapo awali, alikuwa hakai humo wakati wa Ibada
Zaidi kuna details zingine ambazo nazo pia ni very strong supporting evidence, possibly kuliko hata zilizotolewa humu lakini details zake mhusika anaziwthhold forever

Hii ni kutoaka na ukweli kuwa, kuna evidence zingine anaweza akazitoa halafu zikamchafua zaidi yeye (mhusika) kuliko hata yule ambaye ni defaulter
. Mambo mengine anaamua kuyaacha kwa sababu anayehusika na design yote hii ni KIONGOZI MKUU WA KANISA A, ila kwa sasa anakuwa kwenye advantageuos side kwamba kama mhusika akieleza kila kitu kuhusiana na mtu huyu kwenye tukio hili, chances ni kwamba hata yeye mhusika anaweza akajikuta amechafuka (Kwa waumini wa Kanisa A; ASOMAYE NA AFAHAMU)

Matukio yaliyomtokea hivi karibuni KM-A, yanampa KM-A nafasi ya mtu kushindwa kueleza kila kitu kuhofia kukiuka maadili kama yalivyo kwenye jamii zetu

Anachoweza kusema tu ni kwamba, mastermind wa shambulio la siku ya Krismas, alikuwa yeye mwenyewe KM-A

LAKINI MPAKA HAPA SASA:

WATU WANAWEZA KUMUULIZA SWALI MHUSIKA: KWAMBA: MBONA IBADA ZOTE ZILIZOFUATA BAADA YA ILE YA KRISMAS, NAZO PIA ZIMEENDELEA KUFANYIKIA ‘JENGO JIPYA” LAKINI MHUSIKA HAJAPATA TENA SHAMBULIO LA KOO?

Jibu ni kwamba mhusika hawezi tena kupata shambulio la koo kwa sababu Kanisa limeshaanza kutumiwa na waumini wote, na wengi wao wana upako wa hali ya juu sana na hivyo hakuna tena mapepo yatakayoweza kukaa humo permanently. Tofauti na ilivyokuwa siku mhusika alipopata shambulio la kwanza, nyumba hiyo ya Ibada ndiyo ilikuwa inatumika mara ya kwanza.
Baada ya Ibada hiyo ya kwanza, nyumba hiyo haitumiki tena "kwa mara ya kwanza", bali "inaendelea kutumika"

Pepo lile lililokuwa likitumika kumshambulia mhusika, lilikuwa limeegeshwa humo kwa kipindi kirefu na halikuwahi kutoka, na sasa hivi halipo tena, limeshakimbia upako wa waumini na halitarudi tena.
Japo nyumba hiyo bado haijawekwa wakfu, lakini upako wa waumini wanaokuja kuabudu mahali pale ni wakfu tosha kwa sasa

Labda kwa nyongeza tu ni kwamba mhusika kwa sasa ameshapata picha nyingine kwamba kipindi kile cha mwaka 2020 Ibada zilipohamia kwa mara ya kwanza ndani ya JENGO JIPYA na hatimaye tena kusitishwa kwa madai kuwa kulikuwa na mwangwi; kitu ambacho hakikuwa kweli, kuna uwezekano kuwa ilihofiwa pepo huyo angeweza kutoweka kipindi hicho. Kwa hiyo Ibada zilisitishwa kwa kisingizio cha mwangwi ili ku-prolong uwepo wa pepo huyo.

Pepo huyo amekuwa akikaa humo miaka mingi nyuma, na ndiyo maana alikuwa na tendency ya kumshambulia mhusika kila anapotokkea amepita au kukanyaga humo

Baada ya kuwa amesitisha kuwa anakanyaga kwenye JENGO JIPYA kama alivyotoa maelezo yake hapo mwanzo, mhusika alianza tena kukanyaga kwenye JENGO JIPYA, baada ya Ibada zile mbili za mwanzo zilizowahi kufanyika mwaka 2020

Baada ya Ibada hizo, mhsika alianaza kukanyaga humo na alikuwa hapati madhara yoyote

Madhara yamekuja kujitokeza tu baada ya kuwa amekaa humo wakati wa Ibada, kama alivyowahi kukaa humo mara ya mwisho mnamo April 2020 wakati wa Ibada
Muhimu ni kwamba, mara zote mashambulio ya koo ya mhusika, huwa yanatokea JUMATATU, siku ambyo jana yake anakuwa alikuwa yupo Kanisani. Mashambulio haya hayajawahi kutokea siku nyingine tofauti na hiyo

Mungu Ahimidiwe milele, pepo huyo kwa sasa hayupo tena, na hatakuwepo tena milele.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KWA AJILI YA KUKUMBUSHIA BAADHI YA MATUKIO MUHIMU YA NYUMA, MR X

Kwenye shambulio lile la J2 ya tarehe 26/04/2020; J2 hiyo ndiyo siku ile ambayo
  • KM-A aliItisha mkutano wa dharula wa wanaume wote Kanisani hapo mara baada ya Ibada kuisha ( Ibada ilikuwa ni moja)
  • Mhusika alipokuwa kwenye kusanyiko hilo la wanaume, alistukia ghafla pembeni yake yupo MR X ambaye katika uhalisia hakuwa amemuona kabisa hata wakati wa Ibada
  • Mwenyekiti wa chama cha wanaume alikaribishwa na kusimama mbele na kuanza kuwaponda wanaume kuwa ni wazembe na hawahudhurii Ibada Kanisani
Baada ya kusikia upumbavu huo, mhusika alinyanyuka na kwenda kuwasha gari lake akaondoka kwenye kiakko hicho

In essence, Ibada za wanaume Kanisa A huwa hazipo, hakuna ratiba ya Ibada ya wanaume Kanisani hapo na ndiyo maana viongozi wa Kanisa A wanaweza kufanya madudu kama wanavyppenda wenyewe. Kungekuwa na siku rasmi ya kusanyiko la wanaume, huu upumbavu unaoendelea hapo Kanisa A usingekuwa unafanyika

Ukiona wanaume wa Kanisa A wameitwa wakusanyike, ujue ni kwa ajili ya michango ya pesa

Sasa wanaume wengine huwa hawana hela na kwa hali hiyo huwa hawaoni haja ya kwenda kukusanyika katika kusanyiko ambalo hawatakuwa na mchango wao wa kipesa
 
UPDATE: THURSDAY 20TH JANUARY 2022

TUKIO LA MR X NA YULE MSTAAFU AMBAYE BADO ANA MAMLAKA YA KUSHUGHULIKA MASLAHI YA WALE AMBAO BADO HAWAJASTAAFU:
WAWILI HAWA WAFANIKIWA KUKUTANIA OFISINI KWA MHUSIKA JANA PASIPO MHUISKA KUWA AMETARAJIA


Kwa kifupi tu ni kwamba, kwenye wiki hii MR X amekuwa na pilika pilika, na katika kiwango kilicho tofauti sana. Mhusika hata haelewi nini kinaendelea kwa upande wa MR X

Zaidi ni kuwa jana hadi alifanikiwa kumleta mstaafu. Msattafu huyu ni yule ambaye aliwahi kumleta kipindi cha nyuma ambapo (mstaafu) alikuja akiwa ana mpango wa kushughulikia swala la maslahi ya mhusika. Siku hiyo MR X alienda ofisini kwa mhusika kumwita mhusika kwa ajili ya kikao ambacho kiliendeshwa na mstaafu huyu

KWA KIFUPI SANA KUHUSIANA NA UHUSIANO WA MHUSIKA NA MSTAAFU HUYU

Hapo kabla mhusika na mstaafu huyu waliwahi kuwa na uhusiano ule wa kawaida tu kama vile kukutana njiani na kuongea maongezi ya kawaida kama wafanyakazi wa mahali pamoja. Hii ilikuwa ni kabla ofisa huyu hajastaafu, na baada ya hapo hawakuwa na ukaribu wowote ule na hawakuwahi kuonana tena EXCEPT BAADA ya siku ile ambayo mhusika aliitwa na MR X kuhudhuria kikao cha maswala ya fedha

Baada ya mhusika kuwa amehudhuria kikao hicho siku hiyo na hatimaye kubaini kuwa hakikuwa na mlengo sahihi; kuanzia siku hiyo mhusika akawa sasa ana tabia ya kumkwepa mstaafu huyu pindi anapokuwa ameonekana mazingira ya ofisini.

Baada ya kikao hicho cha awali kuwa kimepita, kuna safari nyingine kama tatu hivi ambazo mstaafu huyu aliwahi kufika mazingira ya ofisini na kumkuta mhusika akiwa sehemu fulani kwenye korido (mbili), na nyingine ya tatu alimshitukiza akiwa ndani ofisini kwake. Kwa safari hizo mbili za mwanzo, mhusika amekuwa akimkimbia mstaafu huyu (kwenye korido) na kurudi ofisini kwake na bahati nzuri inapokuwa imetokea hivyo, mstaafu huyu amekuwa hamfuati ofisini

Still, kuna siku moja (ya tatu) ambayo mstaafu huyu alifika ghafla ofisini kwa mhusika na baada ya kufungua mlango, alichungulia na kumsalimia mhusika huku akimwambia “NILIPITA TU KUKUSALIMIA”

Jana kwa bahati nzuri mhusika alikuwa ameacha mlango wazi, ambapo mstaafu huyu alifika tena (mara ya nne sasa) na kumsalimia mhusika huku akimwambia maneno yale yale kama ya awali akisema “NILIPITA TU KUKUSALIMIA”

Mhusika pasipo kujua, kumbe hata jana pia walikuwa na APPOINTMENT na MR X ambaye yeye alikuwa darasa jirani na ofisi ya mhusika

Baada ya dakika kama kumi hivi, MR X alitoka darasani na kuja kumchukua mstaafu huyu wakaondoka

OMBI LA MHUSIKA KWA MSATAAFU HUYU

Mhusika alishakosa amani kabisa na mstaafu huyu na hivyo anaomba kama inawezekana, asiwe anafika ofisni kwa mhusika kwa ajili ya kumsalimia

Mhusika hana nia ya kumfukuza mtu huyu ofisini kwake kwa sababu ni mtu ambaye alikuwa ni SENIIOR muno kwake na anamheshimu muno. Mbali na mhusika kumheshimu mtu huyu, hata wafanyakazi wengine ndani ya taasisi, wakiwemo hata viongozi wakubwa kabisa wa taasisi, wanamheshimu muno mtu huyu kwa sababu alikuwa ni kati ya watu ambao wanakuwa na zile qualities ambazo watu tulio wengi huwa hatuna

Mhusika anamuomba sana mstaafu huyu asifike tena ofisini kwake (mhusika). Ombi hili amelitoa pia kwa MR X kwa kumweleza kuwa akamweleze ugeni wao wawe wanaumaliza wao wawili pasipo kumshirikisha mhusika. Japo MR X hajakubali kwa madai kuwa ataonekana na yeye kama anamzuia kufika ofisini kwake (MR X), lakini nina imani ujumbe huu utamfikia mstaafu huyu

Ni mstaafu lakini ni mmoja wa wale watu ambao wanaheshimika muno na kila mtu ndani ya taasisi ikiwa ni pamoja na uongozi wa juu wa taasisi

JAPO kweli ni ngumu kwa MR X kumweleza hoja ya mhusika, lakini kuna haja akajitahidi akamweleza hilo ili ugeni wao wawe wanaumaliza wao wawili pasipo kumhusisha mhusika

Ni bahati nzuri kwamba mhusika aliongea na MR X akiwepo na mtu mwingine wa tatu ambaye naye alishriki kuyasikiliza maongezi yao

NB: Mhusika alitamani sana kuiweka post hii jana hiyo hiyo lakini kwa bahati mbaya alikuwa hawezi ku-access mtandao huu wa jamiiforums

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
HALI ILIVYO HADI SASA KWENYE GARI LA MHUSIKA MPAKA MUDA HUU, VIFAA VINAENDELEA KUBADILISHWA
Wameshabadilisha tena driving mirror na kuweka nyingine, rangi tofauti na rangi iliyo kwenye dashboard. Driving mirror hiyo ina kama ki-button cheusi kwa chini. Ile ya awali iiliyokuwepo haikuwa na ki-button hicho
Wamebadilisha pia vishikio vyote vya kwenye milango yote, vile ambavyo abiria huwa wanashikiza mikono yao wakiwa wamekaa wakati wa safari ndefu. Wmeweka vyenye rangi sawa na ile ya driving mirror
Zaidi ni kuwa wamebadilisha hadi kishikio kile cha upande wa dereva, wakaweka kichafu ambacho kilishashikwa shikwa na mikono hadi kikachafuka
Kile kilichokuwepo awali, mhusika alikuwa hajawahi hata siku moja kuendesha gari akiwa amekishika, na wala hakkikuwa kichafu. Mhusika huwa hawezi kuendesha gari kwa mkono mmoja huku mwingine akiwa ameshika kishikio hicho cha mlangoni kwa sababu za kifisiolojia. Mara zote kiti cha dereva huwa anaki-set mwisho kabisa umbali ambao si rahaisi tena akaendesha gari akiwa ameshika hicho kishikio

Watabadilisha vingi, madili hayo ya walinzi usiku. Unadhani wao watakula nini?
 
UPDATE: TUESDAY 25 JANUARY 2022

KWA WAUMINI WA KANISA A:


MNAOMBWA MJIKUMBUSHE KUHUSIANA NA UJUMBE HUU MUHIMU ULIOWAHI KUTOLEWA NA MTUMISHI WA MUNGU KWENYE SEMINA ILIYOFANYIKA JANUARY 2013 (MIAKA TISA (9) ILIYOPITA

Sikilizeni maneno ya Mtumishi wa Mungu kwenye clip hiyo hapo chini kuhusina na “THE DOCTRINE OF SALVATION

 
Na wasomaji wengine wote wa uzi huu humu jukwaani: Sikilizeni maneno ya Mtumishi wa Mungu kwenye clip hiyo hapo juu kuhusiana na “THE DOCTRINE OF SALVATION
 
UPDATE: FRIDAY 04 FEBRUARY 2022

"MAKOFI" AMBAYO HUWA YANAPIGWA KANISA A BAADA YA KUWA IMEFANYIKA SALA NA KABLA YA NENO “AMINA” KUWA LIMETAMKWA

ALICHOKIBAINI MHUSIKA MPAKA MUDA HUU


Makofi hayo huwa yanapigwa ili kuzuia sala isihitimishwe kwa maneno ‘TUNAOMBA/ NI KATIKA JINA LA YESU”

Kwa hiyo, makofi yakishapigwa, badala ya kuhitimisha sala kwa kutamka maneno “TUNAOMBA/ NI KATIKA JINA LA YESU” halafu baada ya hapo ndiyo waumini watamke neno AMINA, maneno hayo (ya kuhitimisha sala kabla ya waumini kutamka neno AMINA), huwa yanakuwa replaced na MAKOFI, na baada ya MAKOFI sasa ndiyo linafuata neno ‘AMINA’

Kwa hiyo MAKOFI huwa yanasimama badala ya maneno ya kuhitimisha sala ambayo mara zote huwa yamachukua mfumo wa maneno “……..KATIKA JINA LA YESU”
 
Kwa hiyo kabla ya sala kuwa imehitimishwa kwa neno AMINA, cha muhimu ambacho huwa kinalitangulia neon hio ni AIDHA MAKOFI AU maneno yenye mfumo “……..KATIKA JINA LA YESU” (na siyo vyote viwili)

Tuseme pale yanapokuwa yametumika MAKOFI, maneno “……..KATIKA JINA LA YESU” huwa hayatumiki, and the vice-versa is true

Baada ya hapo sasa ndiyo sala huhitimswha kwa waumini wote kutamka neno “AMINA”

Sala isiyokuwa na MAKOFI yaliyotajwa hapa, yaani ile ambayo huwa inahitimishwa kwa maneno “……..KATIKA JINA LA YESU”, huwa NI LAZIMA inaambatane na makofi baada ya neno AMINA (ambayo ndiyo kawaida ilivyo); wakati ile ambayo inakuwa na MAKOFI kabla ya neno AMINA (ambayo siyo kawaida), huwa siyo lazima iambatane na MAKOFI mengine baada ya neno AMINA

Kwa hiyo MAKOFI huwa yanapigwa ili KUZUIA SALA KUHITIMISHWA kwa maneno “……..KATIKA JINA LA YESU”
 
Kwa hiyo, kwa ufasaha zaidi tunaweza kusema kuwa MAKOFI ambayo huwa yanapigwa kabla ya sala kuhitimishwa kwa NENO AMINA, huwa yana kazi moja tu, nayo ni KU-BY PASS maneno “……..KATIKA JINA LA YESU”
 
USHAURI MUHIMU SANA KWA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A) NA WENGINE AMBAO WAMESHAANZA KUMFUATISHA

Viongozi wote wanaohusika na “SCAM” hii AIDHA (kuanzia muda huu) wanatakiwa wawe wanatumia hitimisho sahihi la sala kwa kutamka maneno ‘TUNAOMBA/ NI KATIKA JINA LA YESU” badala ya MAKOFI, AU wawapishe wengine madhabahu hiyo ili iweze kutumika kama inavyotakiwa kutumika (kwa usahihi)

Hapo awali, kuhitimisha sala kwa mtindo huu kulikuwa kunafanywa na KM-A tu lakini kwa sasa ameshapata wafuasi wengi zaidi, idadi inazidi kuongezeka kila siku

Wasipofanya hivyo, Madhabahu hiyo itakuja kuwachinja, shingo zao zitakuwa halali ya Madhabahu hiyo, NI KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI, AMINA

Pia kuna kuna yule mtumishi mmoja mwingine ambaye yeye amebuni utaratibu wa kuwa anahitimisha sala yake kwa KUTAJA UTATU MTAKATIFU, kama njia ya kukwepa kutamka JINA LA YESU pindi anapokuwa anahitimisha sala; huyu naye anashauriwa pia ajaribu kufuata muongozo sahihi wa imani inayoliongoza Kanisa A na si vinginevyo

Ikumbukwe kuwa huko nyuma, KIONGOZI MKUU WA KANISA A alishawahi kutumia siku nzima ya Ibada akifafanua kuwa kuhitimisha sala kwa kutaja UTATU MTAKATIFU siyo sahihi kwa sababu BIBLIA imetamka bayana kuwa YESU alisema tuombe kwa JINA LAKE na si kwa kutaja UTATU MTAKATIFU.

Tumshukuru sana KM-A kwa somo hilo lilikuwa la muhimu mno, watu wengi bado hawana ufahamu huo aliotuletea siku hiyo

Na nadhani sababu kubwa ya YESU kuagiza kuomba kwa kutumia JINA LAKE ilikuwa ni rahisi tu kwamba, kipindi alipokuwa bado yupo duniani, ROHO MTAKATIFU alikuwa bado hajamwagwa kwa watu wote isipokuwa kwa watu waliokuwa wanapewa KAZI MAALUMU tu
 
NYONGEZA MUHIMU SANA:

KILE KINACHOPELEKEA SALA KUHITIMISHWA KWA MAKOFI BADALA YA KUHITIMISHWA KWA JINA LA YESU


Ni kwamba sala isipohitimishwa kwa MAKOFI, itabidi ihitimishwe “‘KWA JINA LA YESU”, kitu ambacho kitapelekea mapepo yakimbie, yasiwepo tena Kanisani

Ikumbukwe kuwa kwenye Ibada zote ambazo sala huwa inahitimishwa kwa MAKOFI, huwa kuna mapepo yameegeshwa kitaalamu Kanisani

Mapepo hayo huwa yanaegeshwa kwenye baadhi ya siku za maombi, na zile za mikesha, na ndiyo maana kwa KANISA A, MAOMBI NI DORMINANT KULIKO MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU na SOMO LA UANAFUNZI NA MAANDIKO HUWA HALIPO, LILISHAFUTWA KIMYA KIMYA

MUBARIKIWE TENAA NA BWANA
 
MHUSIKA AMEAHIRISHA KUINGIA WASHROOM SABABU YA MTU MGENI AMBAYE AMEFIKA GHAFLA (NDANI YA JENGO) NA AMBAYE ANAONEKANA KUWA ALIKUWA YUKO CALCULATED KUMFUATA HUMO

Mgeni huyu ni yule kijana mhitimu wa mwaka jana na mwandishi wa kitabu ambaye mhusika aliwahi kuongelea taarifa zake kuanzia kwenye post hii hapa #808 . Leo tena (muda huu) yupo maeneo ya ofisini, safari hii ndani ya jengo, na alipofika tu wamegongana na mhusika sehemu ya sakafu ya kwanza pale zilipo Kamera. Baada ya kugongana na mhusika ametamka maneno "NGOJA NIKASAINISHE CLEARANCE KWANZA" halafu akaondoka kwa kasi
Haya maneno yanaashiria kama alikuwa na appointent na mhusika.
Kitendo cha kugongana na mhusika pale, kijana huyu tayari ameshatengeneza stori ambayo mhusika anaweza akatumia masaa kuielezea.
Kwa ujumla alikuwa yuko calculated kwa sababu kitendo cha mhusika kutoka ofisini kwake, ambapo jirani yake yupo MR X, ilijulikana kuwa anapandisha juu washroom
Na kweli mhusika alikuwa anaelekea washroom sakafu ya pili lakini ameahirisha baada ya kufika huko halafu huyu kijana naye akawa anaonyesha dalili za kuingia huko
Kijana alipandisha juu akaenda akaingia darasa la wanafunzi, kama vile anamsubiria mtu. Ile mhusika alipopandisha juu tu, kijana yule aliwaacha wanafunzi wenzake na kuja kusimama nje, kama vile alikuwa anamsubirira mhusika aingie washroom halafu na yeye amfuate humo
MHUSIKA AMEAHIRISHA KUINGIA WASHROOM AKARUDI OFISINI KWAKE
KIJANA LEO YUPO NA ANAONEKANA AMEKUJA AKIWA NA PILIKA PILIKA ZAIDI TOFAUTI NA SIKU ILE YA MWANZO WALIYOGAONGANA NA MHUSIKA ALIPOKUWA ANACHOTA MAJI

Taarifa kamili za tukio hili zitawajieni siku yoyote kuanzia kesho
 
NDANI YA SIKU MOJA TU YA LEO J3 YA TAREHE 07 JANUARY 2022; MHUSIKA AMEKUTANA GHAFLA (PASIPO KUTARAJIA) NA KUONGEA NA WAGENI WATATU NDANI YA JENGO LA OFISI NA WOTE WAKIWA NA MABEGI

Zaidi ni kuwa leo ana mhusika bahati ya kubwa sana ya kugongana na wageni wenye mabegi tu
Asubuhi kabisa kuna mtu aliingia ofisini kwake akiwa na begi; huyu alikuwa mtu wa mikopo ya Benki

Baada ya huyo, mhusika mud siyo mrefu uliopita mhusika alipotoka kuelekea washroom, aliamua kupozi kwanza pale sehemu ya korido kwenye kamera. Hapo napo pia amemkuta mtu mgeni ana begi.

Huyu mgeni yeye amedai kuwa alikuwa anamsubiria mtu ambaye ana appointment naye. Mtu aliyekuwa anamsubiri ni yule SENIOR MSTAAFU-3 ambaye mhusika alipoennda KETUMBEINE na ENGARESERO mwaka 2007, ilidhaniwa kuwa ndiye ameenda naye, wakati alienda na Boss X.
Huyu ambaye ilidhaniwa kuwa alienda na mhusika meaneno hayo, ndiyo yule aliyekuwa anasubiriwa na mgeni huyu

Zaidi ni kuwa mgeni huyu amedai kuwa hapo kabla aliwahi kuwa mwajiriwa wa Idara na alianza kazi mwaka 1982 na kwamba MASENIOR WOTE WA HAPO OFISINI ANAWAFAHAMU na amewataja kwa majina

Mhusika amejaribu kumshauri aende akamsubirie mwenyeji wake kwenye chumba cha chai, lakini mtu huyu akaona siyo hoja na akaamua kuondoka akasema atakuja siku nyingine.Mgeni huyu naye pia laikuwa na kibegi kidogo hivi vya kushikilia mkonononi kama TABLET

Mbali na huyo, kijana mhitimu wa mwaka jana naye pia ana kibegi cha aina hiyo hiyo kama kile cha mgeni wa SENIOR MSATAAFU-3 aliyedhaniwa kuwa alienda ENGARESERO
Mbali na wageni, wenyeji nao pia wanaonyesha pilika pilika kwa hiyo maelezo ya mhusika kuhusiana na kijana huyu yanaweza yakawa yako very precise
 
Maelezo ya nyongeza kuhusiana na kilichoelezwa hapo juu kwenye post hizi mbili za mwisho yanafuata muda siyo mrefu. Stay tuned
 
UPDATE: 08 FEBRUARY 2022:

YALIYOJIRI JANA J3 YA TAREHE 07 FEBRUARY 2022: KIJANA MHITIMU AMBAYE TAARIFA ZAKE ZILIWAHII KULETWA HUMU NA MHUSIKA, AWASILI TENA MAZINGIRAYA OFISINI NA KUMKUTA MHUSIKA AKIWA ANAPUMZIKA KWENYE VERANDA


Huyu ni kijana ambaye taarifa zake ziliwahi kuletwa kwenu kuanzia kwenye post hii #808
  • Kijana huyu alimkuta mhusika akiwa amesimama kwenye veranda ya ghorofa ya kwanza
  • Wakati kijana huyu anawasili, mhusika hakuwa peke yake kwenye veranda hiyo,
  • Alikuwepo pia mtu mwingine mgeni ambaye taarifa zake zimeelezwa hapo juu
  • Mhusika alimkuta mtu huyu akiwa amesimama kwenye vernada hiyo
  • Baada ya kumkuta, mhusika alimsalimia tu na hakuongea naye, na baada ya hapo alienda akasimama mbali kidogo na pale mgeni huyo alipokuwa
  • Baaadaye ya sekunde kadhaa kupita, mgeni huyu alimfuata mhusika pale alipokuwa, na kuanza kumweleza kuwa alikuwa yuko pale akimsubiri mwenye wake SENIOR MSTAAFU-3
  • Mhusika alimshauri mgeni huyu akamsubirie mwenyeji wake juu chumba cha chai, lakini mtu huyu hakuona haja ya kufanya hivyo
MUDA SIYO MREFU baada ya haya yote kuwa yametokea, kijana mhitimu naye allingia na kuonyesha dalili kama anataka kuelekea pale alipokuwa mhusika halafu ghafula alikata kona akisema NGOJA KWANZA NIKASAINISHE CLEARANCE FORM

KABLA KIJANA HUYU WA CLEARANCE FORM HAJAWASILI MAZINGIRA YA OFISINI MCHANA HUO

  • MR X alikuwa tayari ameshatumia masaa kadhaa, akiwa chumba jirani na ofisi ya mhusika, akiwa anafanya kazi zake humo
  • Walikuwepo pia baadhi ya staff ambao walikuwa wanaingia humo na kutoka isipokuwa alikuwepo binit mmoja ambaye muda mwingi alikuwa pamoja na MR X wakiwa wanashirikiana pamoja kufanya kazi
  • Zaidi kuna muda ambao mhusika alibahatika kuingia humo na kumkuta kijana mwingine ambaye alionyesha dalili kuwa ni mwanafunzi, akiwa ameshikila CLEARANCE FORM huku akionyesha dalili kuwa alikuwa anasubiri kusaniwa form hiyo
Kwa hiyo kijana huyu anayehusika wa taarifa hizi alipofika mazingira ya ofisini, alisema anakwenda kusainisha clearance form kwanza, isipokuwa hakuelekea uelekeo kule ambako mhusika alikuwa amewaona wanaosaini form hizo, na badala yake alipandisha juu ambako ndiyo ulikuwa pia ni uelekeo wa mhusika

Kwa hiyo akiwa pale kwenye veranda, mhusika alikuwa anaelekea juu, isipokuwa alikuwa ameamua kupumzika kwa muda tu pale, baada ya kuwa ametumia kipindi kirefu akiwa amekaa kwenye kiti ofisini

BAADA YA KIJANA KUPANDISHA JUU

Mhusika alisita kwanza kupandisha juu, akiwa anasubiria kijana Yule atoke kwanza kule juu. Mhusika alikuwa na uhakika kuwa kijana huyu lazima tu atashuka chini kwa sababu aliokuwa amewaona wanasinisha clearance form, walikuwa floor ya chini ya ile aliyokuwa amepandisha

Baada ya mhusika kuwa amesubiri kama dakika kama tano hivi bila kumuona kijana huyu akishuka chini, hatimaye naye aliamua kupandisha juu hata kabla ya kijana huyu kuwa ameshuka chini

Ikumbukwe kuwa kabla hajapandisha juu, mhusika alikuwa yuko pamoja na huyu mgeni mwingine aliyemkuta kwenye veranda hiyo ya sakafu ya ghorofa ya kwanza. Baada ya mhusika kuwa amemshauri tena kwa mara nyingine mgeni huyu kuwa anaweza kupandisha juu ili akakae chumba cha wageni, mgeni huyu alighairi na kuamua kuondoka akisema kuwa atakuja siku nyingine

…………………….inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUPANDISHA JUU GHOROFA YA PILI

Ile anamaliza tu kupandisha ngazi, alimuona kijana mgeni akiwa kwenye mojawapo ya darasa ambalo mlango wake huwa umeelekeana na ngazi zinapondisha kwenye ghorofa ya pili
  • Mlango wa darasa hilo ullikuwa wazi na kijana huyu alikuwa amekaa nyuma kabisa akiwa amejichanganya na baadhi ya wanafunzi wachache waliokuwa wamekaa darasani humo
  • Kijana alikuwa amekaa kuelekea uelekeo wa mlango na hakupata shida kumuona mhusika pindi alipokuwa ameshakanayaga sakafu ya ghorofa ya pili
  • Kijana alimuona mhusika na mhusika naye pia alimuona kijana huyu
  • Muda huo huo kijana alinyanyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa kwenye darasani humo na kutoka nje
  • Baada ya mhusika kumuona kijana huyo akitoka nje ghafla, naye (mhusika) aliamua kutoingia washroom na badala yake alielekea tea room/ common room (CR) ambamo kulikuwa na kundi la baadhi ya staff wenzake wakiwa wanapata chakula cha mchana humo
CR hii ndiyo pia sehemu ambayo mhusika alimshauri mgeni wa SENIOR MSTAAFU-3 kwenda kupumzika akiwa anamsubiria mwenyeji wake

Mhusika likaa humo CR kwa muda wa takriban dakika 5 hivi na hatimaye aliamua kuondoka
  • Alipotoka nje alimuona kijana mgeni akiwa bado yuko nje, mithili ya mtu anayesubiria mtu aliye na appointment naye
  • Alikuwa amesimama kwenye kinga za veranda ya sakafu, umbali kidogo kutoka mlango wa ofisi ya mkuu wa Idara
  • Baada ya kuona vile, mhusika alipitia ofisini kwa mkuu wa idara, hakuingia ndani bali alichungulia tu kwa kufungua mlango kuangalia kama kulikuwa na ujumbe kwenye pigeon hole yake.
Baada ya kuona hapakuwa na ujumbe wowote, aliamua kushuka chini PASIPO KUINGIA WASHROOM, akimwacha kijana yule akiwa amesimama pale kwenye kinga za veranda

Ikumbukwe kuwa wakati wote huo, MR X alikuwa yuko chini, kwenye chumba jirani na ofisi ya mhusika

……………………..inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUSHUKA CHINI OFISINI KWAKE, AKIMWACHA KIJANA MGENI AKIWA AMESIMAMA KWENYE KINGA ZA VERANDA GHOROFA YA PILI

Baada ya kurudi na kuwa ametumia dakika kadhaa ofisini kwake:
  • Baadaye alimuona MR X akitoka na kupandisha juu
  • Baada ya MR X kupandisha, dakika kadhaa baadaye KIJANA MGENI (KJMG) naye allishuka chini sasa, akaja moja kwa moja na kuingia tena ofisi mule alimokuwa MR X
  • MR X alikuwa ameacha mtu mle na mhusika hakumbuki vizuri kama alikuwa ndiyo yule binti waliyekuwa naye toka awali au alikuwa ni mtu mwingine
  • KJMG hakutumia muda mwingi sana ofisini humo; baadaye alitoka hata kabla MR X hajarudi
  • KJMG alipotoka, muda siyo mrefu alirudi tena kwa mara ya pili na kuingia humo humo kwa mara ya pili
  • Baada ya dakika kadhaa kupita, KJMG alitoka na ndiyo ukawa mwisho wa mhusika kumuona hadi muda alipokuwa anaondoka ofisini kurudi nyumbani
Mhusika aliondoka ofisini kwenye mida ya saa kumi na moja (11) na dakika kama ishirinin hivi (20) na hadi muda huo HAKUWA AMEBAHATIKA TENA KUPATA MUDA WA KUINGIA KWENYE WASHROOM YOYOTE ILE

HITIMISHO:
Ikumbukwe kuwa kitendo cha mhusika ku-sense kwamba kulikuwa na mazingira hatarishi ya yeye kuingia washroom, kitendo hicho kilikuwa hakimruhusu tena yeye kuingia humo siku hiyo. ANGETHUBUTU KUFANYA HIVYO TU, LILIKUWA NI KOSA LA KARNE NA ANGEKUWA NI KATI YA WATU WAPUMBAVU MNO KUWAHI KUTOKEA DUNIANI

NB: MHUSIKA KWA SASA ANASUBIRIA MALIPO YA MADAI YAKE AMBAYO ALISHAYAOMBA TANGU MWANZONI MWA MWEZI JANA, JANUARY 2022

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Hadithi isiyoisha ni kama ISIDINGO au DAYS OF OUR LIVES.

Corona inaishia ila hadithi inaendelea !!

Unayajuaje haya yote!!?

Unawachunguza kwenye cctv au au unawafatilia nyuma nyuma!?

Je huko uliko huna muda wa kuwa busy na mambo yako!?

Hadi kufatilia maisha ya watu na mitikasi yao!?

Je wewe ni afisa kipenyo!?
 
Back
Top Bottom