#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KWA KIFUPI SANA
Kinachomsababishia shida kubwa sana mhusika ofisini kwake kwa muda huu ni kuwa mwezi wa 9 mwishoni alirudi kutoka likizo na kukuta barua ya majibu ya madai kuhusiana na barua yake aliyowahi kuiandika APRIL 2021,. Barua hiyo ya majibu iko very negative na vilevile ameshindwa kujua iliaindikwa na nani. Ilitarajiwa kuwa mhusika angeweza kushughulika na barua hiyo kipindi hicho cha mwezi 9, lakini yeye hakufanya hivyo na badala yake aliamua kusubiria wanafunzi warudi kwanza ndiyo naye aanze tena kushughulika na hatua zingine MPYA za kudai maslahi yake hayo. Hatua hiyo ya mhusika kuamua kutokushughulika na swala la maslahi yake mwezi wa 9 na wa 10 na kuamua kuyashughulikia muda huu ndiyo hiyo inayompa mda mgumu hadi sasa.. MAELEZO YA KINA NA KWA KIREFU ZAIDI YATAFUATA BAADAYE
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA KIFUPI SANA
Kinachomsababishia shida kubwa sana mhusika ofisini kwake kwa muda huu ni kuwa mwezi wa 9 mwishoni alirudi kutoka likizo na kukuta barua ya majibu ya madai kuhusiana na barua yake aliyowahi kuiandika APRIL 2021,. Barua hiyo ya majibu iko very negative na vilevile ameshindwa kujua iliaindikwa na nani. Ilitarajiwa kuwa mhusika angeweza kushughulika na barua hiyo kipindi hicho cha mwezi 9, lakini yeye hakufanya hivyo na badala yake aliamua kusubiria wanafunzi warudi kwanza ndiyo naye aanze tena kushughulika na hatua zingine MPYA za kudai maslahi yake hayo. Hatua hiyo ya mhusika kuamua kutokushughulika na swala la maslahi yake mwezi wa 9 na wa 10 na kuamua kuyashughulikia muda huu ndiyo hiyo inayompa mda mgumu hadi sasa.. MAELEZO YA KINA NA KWA KIREFU ZAIDI YATAFUATA BAADAYE
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 02 DECEMBER 2021

AMBACHO KIMEKUWA KIKIENDELEA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA MPAKA MUDA HUU

MHUSIKA AMESITISHA KU-PRINT BARUA YAKE KWANZA


Baada ya wanafunzi kuwa wamerudi, mhusika naye akaanza pilika pilka za kutayarisha barua nyingine kwa ajili ya madai yake, ili aipeleke ngazi za juu
Baada ya kuwa ameikamilisha, akataka ku-iprint
Sehemu anayotumia ku-print mara zote huwa ni ofisini kwa Mkuu wa Idara
Siku ya kwanza alipotaka ku-iprint, kukatokea mazingira ambayo yalimpa shida kidogo; hivyo yakapelekea asitishe zoezi hilo kwa muda kutaka kujua kuwa kama mazingira hayo yalikuwa ni coincidental tu au yalikuwa yamekusudiwa
Baada ya kuwa amefika ofisni akiwa anahitaji ku-print
  • Mwenye ofisi akamuomba atoke kidogo, halafu yeye abaki pale ofisini peke yake akiwa anaprint barua yake
  • Hapo kabla, katika kipindi chake chote ambacho mhusika amekuwa akifika ofisini hapo kwa ajili yak ku-print barua zake zote, ilikuwa ni mara yake ya kwanza kwa siku hiyo kukuta mtu mmoja tu ofisini hapo, na vile vile, mara ya kwanza pia kwa mwenye ofisi kupata udhuru ya kuondoka muda huo wa na hivyo kupelekea kumuomba mhusika abaki peke yake pale ofisini
  • Kawaida ofisi ile huwa ina watu watatu ambao wanakuwepo muda wote, na siku hiyo wale wengine wawili hawakuwepo mazingira yale, ila walikuwepo around
  • Kutokana na hali hiyo, mhusika alistuka akaamua kuacha ku-print na kuondoka ofisini pale
Kutoka siku anasitisha zoezi hilo la ku-print barua hadi leo,ni takribani wiki nne zimepita hadi muda huu

Baada ya hapo, mhusika akaamua sasa kuanza kufanya utafiti kimya kimya ili aweze kujua kama tukio hilo la kutaka kuachwa peke yake ofisini kwa Mkuu wa Idara (MWI) ilikuwa ni coincidence ya kwaida tu ama la

Tangu kipindi mpaka hadi leo hii anapoandika ujumbe huu, mhusika ameshajiridhisha pasipo shaka kuwa haikuwa coincidence isipokuwa lilikuwa la kupangwa, na wanaohusika amejiridhisha pasipo shaka kabisa kuwa ni wafuatao
  • Mkuu wa Idara (MWI)
  • Kaimu Mkuu wa Idara (KMWI) aliyekuwa ameachiwa kukaimu Ukuu wa Idara wiki iliyopita ya kuanzia tarehe 22-28 Novemba 2021
  • Huyu KMWI ndiyo yule aliwahi pia kukaimu Januari 2021, kipindi ambacho barua za mhusika (alizokuwa anaandika kwenda ngazi za juu), zilikuwa zinarudishwa kwa madai kuwa zilikuwa zimekosewa anuani, kitendo kilichopelekea mhusika kuandika zingine tena April 2012 baada ya wanafunzi kuwa wamerudi kutoka kwenye break ya Pasaka
  • Katibu mhutasi wa Mkuu wa Idara- huyu stori yake ni ndefu kidogo na itafuata hapo baadaye. Ni yule aliyewahi kumshauri mhusika mabadiliko ya anwani kwenye barua zile za Januari 2021
  • Mr X; Kwa kifupi tu ni kuwa huyu yeye kama mhusika akiendekeza kutoa taarifa za kila jambo zito analofanya, ukweli ni kuwa atakuwa anashinda anaadika kuhusu yeye na hataweza kufanya hata kazi zingine. Mhusika kuwa kimya kuhusiana na mtu huyu, haimaanishi kuwa Mr X yuko inactive, hapana. Yuko active sana na possiobly safari hii ndiyo ameshafanya tena kitu kingine kikubwa cha pekee sana, possibly kuzidi hata vile ambavyo alishawahi kufanya huko nyuma.. Amefanya akiwa anashirikiana na Senior Mstaafu wa kiume mwingine ambaye alikuwa tayari ameshaondoka mazingira ya ofisini kwa takribani mwaka mzima, ila kwa sasa mtaafu huyo amerudi tena kwa muda kama Part Timer. Stori za Mr X nazo zitafuata baadaye
  • Boss X: huyu yeye hakuna alichofanya cha moja kwa moja, ila mienendo yake na ile ya Mr X inamu-implicate kuwa anahusika, ushahidi wa kimazingira. Huyu yeye kawaida huwa siyo rahisi sana kumkamata kwa issue ya moja kwa sasa, ilikuwa zamani
Ofisi ya mkuu wa Idara ndiyo imegeuka kuwa “catch point ” kwa sasa. Ukweli ni kuwa kuna watu Idara hiyo wasipodhibitiwa, kuna siku watakuja kufanya kitu kizito na cha kushangaza sana.

Tatizo analoliona yeye mhusika ni kwamba possibly kuna watu tayari walishakuwa implicated na ushahidi concrete wa mambo kadhaa ambayo mhusika tayari alishawahi kuyatoa humu jukwaani, na hivyo kwa sasa wanajaribu nao kutengeneza mazingira ya kuugeuza ushahidi huo ili uweze kumu-implicate yeye mhusika ili waweze kupata nafasi ya kusema kuwa “ni yeye ndiyo alikuwa anaplan kufanya mambo haya halafu anaanza kutusingizia sisi”

Kama alivyowahi kudokeza hapo awali, kinachopelekea yote haya kutokea muda huu, ni baada ya mhusika kuacha kushughulika na pilika pilika hizi za madai yake, mara baada ya kurudi ofisini kutoka likizo ya mwaka mwishoni mwa Septemba 2021 na kukuta majibu ya barua zake alizowahi kuandika mnamo April 2021, wakati huo wanafunzi wakiwa bado hawajarudi kutoka likizo

Yapo mengi, machache yake yatawajieni angalau kwa kifupi.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 03 DECEMBER 2021

KWA KIFUPI SANA: ALICHOFANYA MR X AKISHIRIKIANA NA MSTAAFU WA KIUME NAMBA MBILI (MWKME-II)


Ilikuwa ni kwenye wiki ile ya kuanzia tarehe 15-21 Novemba 2021-12-03

Mpaka kufikia J3 ya tarehe 15/11/2021, mhusika alikuwa ameshamaliza maji yote ndani, na maji yalikuwa hayatoki tena. Kwa ujumla pump ya maji iliyowekwa haifanyi tena ile kazi yak u-pump maji isipokuwa cha kushanganza ni kwamba kuna wakati maji yanatoka bila ya pump kuwa inafnaya kazi na mhusika ameshindwa kuelewa ni kwa nini, na mpaka jana maji yametoka pasipo pumop kuwa inasukuma. Anyway pump hii nayo ina mada yake pekee na itahitaji reference ya mafundisho yaliowahi kutolea Kanisani na Kiongozi Mkuu kuhusina na milango mitano ya fahamu; yaani kuona kugusa, kusikia, kunusa,…n.k.

Tukirudi kwenye mada yetu

  • Hadi kufikia J3 tajwa hapo juu, mhusika alikuwa ameishiwa maji ndani kwa sababu yalikuwa hayajatoka takrinabi wiki tatu nzima
  • Ili mhusika aishiwe maji kwenye hifadhi yake ya ndani, zinahitajika angalau wiki 2 hadi tatu pasipo maji kuwa yametoka nyumbani kwake
  • Wakati mhusika anaishiwa maji ndani kwake, siku kadhaa nyuma ndiyo ulikuwa umetanganzwa mgao wa maji, ila ulikuwa bado haujaanza
Kwa hiyo mgao wa maji ulitanganzwa mhusika akiwa tayari anaelelekea kuishiwa maji nyumbani kwake, kwa sababu zilikuwa tayari zimeshapita takribani wiki tatu nyuma yake pasipo mhusika kuwa na maji nyumbani kwake.

Kwa hiyo kilichosababisha mhusika akose maji nyumbani kwake siyo mgao wa maji kwa sababu mgao ulitangazwa ukamkuta akiwa tayari hana maji. Aidha hata kabla mgao wa maji haujaanza, (kwa sababu ulitangazwa halafu zikapita siku kadhaa ndiyo ratiba ya mgao wa maji ikatoka na mgao ukaanza), mhusika alikuwa tayari ameshaishiwa maji nyumbani kwake

…………………inaendelea

J3 YA TAREHE 15/11/2021: MHUSIKA AANZA KUTEMBEA TENA NA MADUMU YA MAJI KWENYE GARI
 
…………………inaendelea

J3 YA TAREHE 15/11/2021: MHUSIKA AANZA KUTEMBEA TENA NA MADUMU YA MAJI KWENYE GARI

J3 tajwa mhusika aliamukia kwenye ofisi inayohusika na maji, huku akiwa amebeba madumu mawili kwenye gari. Lengo lake ilikuwa ni kwenda kuuliza kwa nini maji yamekatika tena nyumbani kwake takribani wiki tatu sasa. Kingine kilikuwa ni kuchota maji kwenye bomba ambalo huwa lipo nje ya maeneo ya ofisi hizo, lna ambalo huwa linatoa maji kwa wingi

  • Alipofika ofisi ya maji na kuwakuta wahusika, walimweleza kuwa kuna tatizo la maji, na kwamba hata yale madumnu aliyokuja nayo hayatapata maji (Ukweli ni kuwa maji yalikuwepo ila yalifungwa kwa sababu hawakutaka mhusika achote maji mahali pale siku hiyo kutokana na sababu atakazozielza hapo baadaye)
  • Baada ya kusikia hayo, mhusika alita hoja kuwa kuwa pamoja na hayo, mgao ulikuwa bado haujaanza na hata ukianza, siku maji yakigawiwa, si inabidi yatoke; wakati kwake yalikuwa hayatoki kabisa muda wote
Baada ya hapo, mhusika wa ofisi ya maji alimwelekeza mwenye shida kwenda kujaza tena fomu ya “agizo la kazi” ili swala lake liwezxe kufanyiwa kazi.

MHUSIKA AELEKEA KWENYE OFISI YA KUJAZA AGIZO LA KAZI NA KUKUTA IKO WAZI HAINA MTU NDANI, NA HATIMAYE KUSHAURIWA AINGIE NDANI NA KUJAZA FOMU AKIWA PEKE YAKE OFISINI HUMO

Mhusika aliondoka ofisini hapo na kuelekea ofisi nyingine husika na kile alichokuwa ameelekezwa kufanya. Ofisi aliikuta haina mtu ndani yake iko peke yake.

Mhusika aliishia mlangoni na hapo hapo alibahataika kumuona mwenyeji binti fulani hivi na kumuuliza wenyeji wa ofisi walikuwa wapi

Binti alimuomba mhusika ampe muda kidogo ili ajaribu kuwaangalia wako wapi halafu atamjulisha. Baada ya hapo binti huyu alipotea kimoja, hakuonekana tena.

Baadaye tena alijitokeza mtu mwingine alikuwa juu ghorofa ya kwanza. Mhusika alipojaribu kuongea naye kwa sauti ya juu kidogo kwa sbabu yeye (mhusika) alikuwa chini, mtu huyo alimshauri mhusika aingie tu pale ofisini na ajaze fomu hiyo halafu aiache pale wenye ofisi wataikuta. Mhusika alimjibu mtu huyo kuwa hawezi kuingia ndani ofisni kwa watu, pasipo wao wenyewe kuwepo

Baada ya maongezi hayo, mtu huyo alishuka chini ground floor wakaongozana na mhusika na akaenda akampa fomu ya kujaza. Mhusika alichukua fomu hiyo akatoka nje akaijaza akiwa amekaa kwenye kibaraza /kikorido cha sehemu ya mapokezi

KWA JINSI MHUSIKA ANAVYOMFAHAMU KUHUSIANA NA MTU HUYU ALIYEMHUDUMIA SIKU HIYO

Mtu huyu siyo mfanyakazi wa Taasisi
, ila ni mfanyakazi wa taasisi nyingine ya usafi ambayo ina tenda ya kufanya usafi kwenye Taasisi ambayo mhusika anafanyia kazi

  • Mtu huyu wanafahamiana na mhusika kwa sura, japo si kwa majina
  • Wawili hawa walishawahi kuongea mara kadhaa, katika mazingira ya maeneno ambayo mhusika anaishi
  • Angalau kwa mara chache mtu huyu huwa anafika nyumbani kwa OFISA WA NYUMBA kwa ajili ya kumsaidia ofisa huyo, baadhi ya kazi za aina mbali mbali nyumbani kwake.
Kwa hiyo ujio wa namna hii wa mtu huyu katika mazingira ambayo mhusika, anaishi, ndiyo ule uliopelekea wawili hawa wakawa wanafahamiana angalau kwa sura tu

Baada ya kujaza fomu, mhusika aliiacha kwenye dirisha la kaunta kama alivyokuwa ameelekezwa na kuondoka kuelekea ofisini kwake. Maji hakufanikiwa kuchota kwa sababu aliambiwa kuwa hayakuwepo na bomba lilikuwepo maeneno yale lilikuwa halitoi maji siku hiyo

……………………….inaendelea
 
BAADA YA KUTOKA OFISI ZINAZOHUSIKA NA MAJI

Aliamua kupitia njiani kwenye bomba jingine lililoko nyuma ya jengo la Posta, karibu kabisa na mazingira ya ofisini kwake, na ambapo ndipo sehemu aliyowahi kuwa anachota maji kipindi kile cha awali alipowahi kukosa maji kwa mara ya kwanza. Hapo napo pia aligonga mwamba, alikuta bomba halitoi maji

Baada ya kukosa maji mahali pale, alinyoosha moja kwa moja sasa kuelekea ofisini

BAADA YA MUDA WA KAZI KUISHA SIKU HIYO

Akiwa yuko njiani kuelekea nyumbani, mhusika aliamua kupita ili kukagua tena pale kwenye bomba la posta kuona kama pengine lilikuwa limeshaanza kutoa maji, lakini kwa bahati mbaya lilikuwa halitoi maji mpaka muda huo. Baada ya kuona hivyo, mhusika alinyoosha moja kwa moja kuelekea kwenye gari lake alipokuwa amepaki pembezonin mwa barabara.

Mhusdka akiwa ameshageuka tayari anatembea kurudi alikokuwa ameacha gari, baada ya kuwa amepiga hatua kama sita au saba hivi, alisikia kwa nyuma sauti ya mtu ikimwita kwa jina lake la ubini. Alipogeuka, aliona sura ya mtu ambaye anamfahamu sana, japo si kwa jina. Mtu huyu alikuwa ni mmoja wa wanafunzi waliomaliza chuo mwaka huu wa 2021 mwezi wa 7, na hapa ndipo ushiriki wa Mr X kwenye sakata hili la maji utakapokuja hapo baadaye (ndani ya maelezo haya); kuonekana kuanzia

…………………………..inaendelea
 
BAADA YA KUTOKA OFISI ZINAZOHUSIKA NA MAJI

Aliamua kupitia njiani kwenye bomba jingine lililoko nyuma ya jengo la Posta, karibu kabisa na mazingira ya ofisini kwake, na ambapo ndipo sehemu aliyowahi kuwa anachota maji kipindi kile cha awali alipowahi kukosa maji kwa mara ya kwanza. Hapo napo pia aligonga mwamba, alikuta bomba halitoi maji

Baada ya kukosa maji mahali pale, alinyoosha moja kwa moja sasa kuelekea ofisini

BAADA YA MUDA WA KAZI KUISHA SIKU HIYO

Akiwa yuko njiani kuelekea nyumbani, mhusika aliamua kupita ili kukagua tena pale kwenye bomba la posta kuona kama pengine lilikuwa limeshaanza kutoa maji, lakini kwa bahati mbaya lilikuwa halitoi maji mpaka muda huo. Baada ya kuona hivyo, mhusika alinyoosha moja kwa moja kuelekea kwenye gari lake alipokuwa amepaki pembezonin mwa barabara.

Mhusdka akiwa ameshageuka tayari anatembea kurudi alikokuwa ameacha gari, baada ya kuwa amepiga hatua kama sita au saba hivi, alisikia kwa nyuma sauti ya mtu ikimwita kwa jina lake la ubini. Alipogeuka, aliona sura ya mtu ambaye anamfahamu sana, japo si kwa jina. Mtu huyu alikuwa ni mmoja wa
wanafunzi waliohitimu masomo mwaka huu wa 2021 mwezi wa 7, na hapa ndipo ushiriki wa Mr X kwenye sakata hili la maji utakapokuja hapo baadaye (ndani ya maelezo haya); kuonekana kuanzia

…………………………..inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMESALIMIANA NA MTU HUYU

Katika maongezi yake mtu huyu alidai kuwa amelazimika kuja ameneo hayo ya taasisi kwa sababu kuna kitabu cha maswala ya kiroho ambacho ameandika na alikuwa amekileta mahali fulani (mhusika asingependa sana kupataja).

  • Baada ya hapo mtu huyu alimuomba mhusika kama anaweza kukiona kitabu hicho ambacho alikuwa nacho kwenye begi dogo alilokuwa amebeba mgongoni
  • Mhusika alitoa udhuru wa kutokukiona kitabu hicho kwa kumpa sababu iliyomridhisha mtu huyu
Muda mfupi baada ya kuachana, mtu huyu alitamka maneno mengine tena akasema “nitakuja ofisini”, na mhusika naye akamjibu kwa mkato akisema “karibu”, huku mhsika akishangaa kidogo moyoni mwake kwa nini mtu huyu anataka tena kuja ofisini kwake



BAADA YA MHSUIA KUWA AMEACAHA NA MTU HUYU

Baada ya kuwa wameachana, mhusika alianza kujiuliza kutaka kujua kama kukutana na mtu huyu kulikuwa ni kwa kawaida au ilikuwa ni calculated move, given the fact kwamba kulikuwa na chances zilizokuwa zinajulikana kuwa angeweza kupita tena kukaguia maji kwenye bomba hilo kwa sababu asubuhi yake alikuwa amepita pale, na ukizingatia kuwa wakati anaondoka ofisini alikuwa bado hajafanikiwa kupata maji

Alipojaribu kujiuliza swali hilo, bado likawa linampa shida kwenye timing ya mtu huyu, kwamba atakuwa alijuaje muda wa mhusika kutoka ofisini na kufanikiwa kufanya hiyo timing?

Hata hivyo,hatimaye aliporudi kwenye mazingira ya siku hiyo ofisini alifanikiwa kubaini mambo kadhaa yafuatayo

Kwamba tangu amerudi kutoka likizo mwishoni mwa Septemba 2021, kwenye chumba jirani na kilicho mkabala na ofisi yake na ambacho kina vioo kiasi kwamba mtu akiwa humo anaweza kuonana ana kwa ana na mhusika kwa sababu hata yeye (mhusika) ofisi yake ina vioo pia

  • Kabla ya siku hiyo, muda wote hakuwahi kuondoka ofisini chumba hicho kikiwa na mtu ndani
  • Hapo awali, mara zote watu walikuwa wanaingia humo na kutoka kabla mhusika hajatoka ofisini kwake
  • Yaani kuanzia wiki ya tarehe 27 Septemba 2021 mpaka wiki iliyoishia tarehe 14 Novemba, hapakuwahi kuwemo mtu kwenye chumba hicho katika muda ambao mhusika alikuwa anaondoka mazingira ya ofisini
  • Tofauti na ilivyokuwa hapo kabla, siku hiyo kwa mara ya kwanza mhusika alimwacha binti ndani ya chumba hicho wakati anaondoka, na ambaye ndiye alifunga geti kubwa ambalo ni shared kwa ofisi hizi mbili.
Kwa hiyo tangu atoke likizo, ilikuwa ni mara ya kwanza siku hiyo mhusika kuondoka ofisini bila kufunga geti kuu la ofisi hizo mbili kwa sababu kwa mara ya kwanza, aliacha ofisi jirani ikiwa na mtu ndani

…………..inaendelea
 
TUKIRUDI TENA KWENYE MADA ILIYOPO MEZANI

Baada ya mhusika kuachana na mwandishi wa kitabu, alisogea mbele kidogo, akapaki tena gari pembeni mwa barabara karibu na kituo cha daladala, akaelekea kwenye kantini moja kubwa ya chakula ambapo kwa uhakika alijua kuwa kulikuwa na maji. Hapo napo hakuambulia kitu, walidai kuwa nao pia hawana na wamekuwa wakichota maji nje ya hapo. Walimwelekeza mhusika kwenda kuchota sehemu ambayo ilipelekea aanze kuona kuwa mwishowe ataonekana kama ana pilika pilika za kutafuta kitu kingine ambacho ni tofauti na maji. Baada ya hapo alinyoosha moja kwa hadi nyumbani. Hiyo siku ikawa imepita, hakuopata maji

Siku nyingine mbili zilizofuata za J4 na J5, alichota maji mazingira ya ofisini, ndani ya jengo ilimo ofisi yake, japo huwa hapendelei sana kuchota maji hayo

Alhamis ikapita na hatimaye ikawadia Ijumaa ya tarehe 19/11/2021 na hapa ndipo sasa Mr X anapokuja ku-pop-in. Kwa MR X haya mambo kwake yeye ni natural, ni inborn, yana-flow menyewe tu kutoka kwenye damu

ILIKUWAJE?

Ijumaa hiyo, MR X akawa ana darasa kwenye kile chumba ambacho J3 ya wiki hiyo, mhusika alikiacha kwa mara ya kwanza kikiwa na mtu ndani yake, binti. Darasa lilikuwa likimshirikisha pia Senior Msataafu wa Kiume-II (SMME-II) mwingine

KABLA YA KWENDA MBALI ZAIDI: MACHACHE KUHUSIANA NA HUYU SMME-II

Huyu SMME-II yeye alikuwa hayupo tena mazingira ya ofisini tangu January 2021 na kwa taarifa alizokuwa amewahi kuzipata mhusika baada ya kuwa amemiss mazingira ya ofisini ni kuwa alikuwa ameshaacha tena kufanya kazi kwa mkataba

Ijumaa hiyo mhusika akiwa yupo ofisini kwake mlango wa ofisi yake ukiwa uko wazi anapata hewa ya kutoka nje huku akiwa anafanya kazi, SMME-II alifika maeneo yale akiwa anataka kuingia ofisi ile ya jirani,ambayo walikuwa na darasa kwa pamoja na MR X muda mfupi uliokuwa unafuata.

  • Ofisi hiyo ilikuwa imefungwa na hivyo SMME-II ilibidi asimame kwa muda mlangoni akiwa anasubiria funguo alizokuwa ameagiza aletewe
  • SMME-II hakuingia ofisini kwa mhusika, ila mhusika alikuwa amemkaribisha akae kwa muda wakati akiwa anasubiria funguo
  • Katika maongezi yao wawili hawa, mhusika alimweleza SMME-II kuwa hajamuona kwa kipindi kirefu
  • SMME-II yeye akajibu kuwa kila Ijumaa amekuwa akiwepo kwenye darasa hilo anafundisha isipokuwa mhusika ndiyo huwa anakuwa hayupo ofisini kwake na hicho ndicho kinachopelekea wasioanane, na hapa ndipo kosa lilipoanzia
Kwa kawaida mhusika

  • Akiingia ofisini huwa hatoki, hata lunch huwa haendi
  • Ijumaa pekee aliyowahi kukosa ofisini tangu arudi kutoka likizo ya mwaka 2021, ni moja tu. Ni ijumaa ambayo gari lake lilikuwa na shida na alilazimika kwenda kukaa gereji kwa muda muda mrefu kiasi
  • Ijumaa hiyo aliyowahi kukosa kazini, ni kipindi kirefu nyuma kabla wanafunzi hawajarudi kutoka likizo
  • Tangu wanafunzi warudi kutoka likizo, hakuna Ijumaa nyingine ambayo mhusika amewahi kutokuwepo ofisini
Baada ya hoja hii kuwa imemchenga mhusika, hakuona haja ya kuiendeleaza kwa majadiliano, walishia pale.

Baada ya muda funguo zililetwa, SMME-II na MR X wakaendekea na darasa lao lilillokuwa chumba cha jirani, mhusika akiwa anaendeklea na kazi zake, mlango wa ofisi yake akiwa ameendele kuuacha wazi sawia kama vile ulivyokuwa wakati mhusika na SMME-II walipokuwan wanaongea

DARASA LA AKINA MR X LIKIWA LINAKARIBIA KUISHA:MTU (MHITIMU MWINGINE WA MWAKA 2021????) MWINGINE AWASILI OFISINI KWA MHUSIKA AKIWA NA BEGI DOGO

Mhusika akiwa yupo ofisini kwake mlango wa ofisi ukiwa bado uko wazi, binti ambaye sura yake siyo ngeni machoni kwa mhusika, alifika ofisini hapo na kuomba aache begi lake pale kwa muda. Mhusika alimkatalia tena kwa lugha ambayo ni ya msisitizo kidogo, na binti yule aliondoka na begi lake.

Baada ya kuondoka ofisini kwa mhusika, binti huyu aliingia chumba jirani walomokuwa na darasa MR X na SMME-II, japo kwenye darasa hilo yeye hakuwemo siku hiyo. Yeye alikuja tu kutoka nje moja kwa moja na kunyoosha hadi ofisini kwa mhusika na kuomba aache begi lake pale na kwa sababu ambazo hakuzitaja

KWA KIFUPI: NAMNA MHUSIKA ALIVYODHANI KUMFAHAMU BINTI HUYU HAPO KABLA

Kwa kumbukumbu zake, mhusika yeye alidhani kuwa binti huyu naye pia ni mhitimu wa Julai 2021. Still, kama hakuwa mhitimu wa Julai 2021, basi kwa vyovyote vile alitakiwa atakuwa yuko mwaka wa mwisho

  • Na kwa sababu yuko mwaka wa mwisho, basi alitakiwa kuwemo kwenye darasa lile walilokuwa wanafundssha akina MR X kwa sababu lilikuwa ni la watu wa mwaka huo
  • Yeye hakuwemo kwenye darasa hilo
Na kwa sababu hakuwemo kwenye darasa hilo, basi yawezekana mhusika akawa yuko sahaihi kuwa huyu naye pia ni mhitimu wa mwaka 2021, au si ila alitamani kumpa picha mhusika kuwa alikuwemo kwenye darasa hilo, na kwamba alitokea humo na kuingia ofisini kwa mhusika

Baada ya mhusika kumkatalia binti huyu kuacha begi lake. Ndiyo sasa aliingia kwenye darasa la lakina MR X, ambapo hapo kabla hakuwemo kwenye darasa hilo.

Wakati huo darasa hilo lilikuwa tayari limeshafikia na baadhi ya wanafunzi walikuwa wameshaanza kuondoka. MR X naye alikuwa tayari ameshaanza kujitayarisha kuondoka, mlanfgo ukiwa umefunguliwa, MR X akiwa amesimama mlangoni

………………..inaendelea

KWA KIFUPI: NAMNA MHUSIKA ALIVYODHANI KUMFAHAMU BINTI HUYU HAPO KABLA
 
KWA KIFUPI: NAMNA MHUSIKA ALIVYODHANI KUMFAHAMU BINTI HUYU HAPO KABLA
Kuhusiana na huyu binti, zaidi ni kuwa:
  • Anatoka sehemu moja, mkoa mmoja na yule kijana mwingine mwenye begi lile le kwanza, ambaye ni mwandishi wa kitabu na possibly wanaongea lugha moja ya kuzaliwa
  • Kwa sura, amefanana sana na yule binti aliyewahi kuwa jirani yake na mhusika; binti ambaye alikuwa ana kawaida ya kukutana na mhusika kwenye parking za gari halafu baada ya hapo yanaanza kutokea matukio, na possibly wanaongea lugha moja ya kuzaliwa na binti huyo pia
BINTI MWENYE BEGI ARUDI TENA KIKOMMANDOO OFISINI KWA MHUSIKA AKIWA ANATAKA KUACHA TENA BEGI LAKE PALE

Baada ya binti huyu kuingia kwenye chumba lilimokuwa darasa la akina MR X, alikaa pale kwa muda mfupi na hatimaye alirudi tena ofisini kwa mhusika. Hata hivyo kuna maandalizi yalifanywa na MR X wakati alipokuwa amesimama mlangoni kwa ajili ya kumu-cover binti huyu na Kamera iliyopo kwenye korido.

Kawaida mhusika anapokuwa yupo ofisini kwake, na hasa anapokuwa ameacha mlango wa ofisi yake wazi, kuna Kamera ipo kwenye korido ambayo huwa inamumulika moja kwa moja

Kukwepa sasa binti huyu asionekana na Kamera, MR X alifungua mlango wa chumba cha darasa alilokuwa anafundisha, mlango huo ukawa uko PERPENDICULAR na korido, na kwa hali hiyo MR X pamoja na mlango pamoja na mtu mwingine wa plil aliyekuwa amesimama pamoja na MR X mlangoni kama “wanapiga stori” walikuwa sasa wameiziba Kamera isiweze kumuona vizuri mhusiika, na pia kum-kava binti ili atoke chumba alichokuwa ameingia kwa muda na kurudi tena haraka haraka ofisini kwa mhusika

HITIMISHO:

MR X akiwa amesimama malngoni siku hiyo huku akiwa amefungua mlango na wakiwa wanaongea na mwenzake, binti huyu alitoka haraka haraka kwenye chumba cha darasa hilo na kuingia tena ofisini kwa mhusika na kuomba tena kwa mara nyingine aache begi lake pale ofisini kwa mhusika huku akiwa tayari analiweka kwenye mojawapo ya meza iliyo karibu kabisa na mlango; MR X na mwenzake wakiwa wanasikia alichokuwa anaomba, na Kamera ya kwenye korido wakiwa wameiziba kwa kutumia mlango pamoja na viwiliwili vyao

Safari hii mhusika ilibidi awe mkali kidogo na binti aliweza kuelewa msisitizo uliokuwepo kwenye ulimi wake. Bada ya hapo, binti aliondoka na begi lake kwa kasi ya kuridhisha kidogo
Zaidi ni kuwa
  • Mhusika hana uhakika kama binti huyu kweli bado hajahitimu masomo, anaweza kuwa alikuwa amekuja kujichanganaya tu na wengine kama alivyokuwa amejichanganya yule mwandishi wa kitabu siku mhusika alipokuwa anatafuta maji
  • Still, kitendo cha kwamba kweli anaweza kuwa bado hajahitimu, bado hakimwondolei tuhuma hizi
  • Tofauti na binti yule aliyekuwa jirani yake na mhusika, binti huyu ni mrembo kiasi na muda si mrefu wachumba watajitokeza kwake. Kwa hiyo MR X na warembo wake aendelee tu pengine kuna siku wanaweza kufanikisha wakawapiku wale wa Ulaya.
  • Anavyoona yeye mhusika, kile alichosema kijana mwandishi wa kitabu kuwa “nitakuja ofisini kwako”, ndiyo hicho kilicholetwa na binti, possibly baada ya mwandishi wa kitabu kuwa amepta udhuru
“Siku allipokuwa anatafurta maji inasemekena kuna watu walimuona anaongea na mtu ambaye hatimaye (mtu huyo) alihitimisha maongezi yao kwa kutamnka maneno “nitakuja ofisini kwako”. Kwa hiyo inawezekana huyo mtu alipata udhuru na katika kujarikbu kukwepa kutimiza ahadi, badala yake alimtuma binti huyo apeleke mzigo huo ofisini kwa mhusika”

Halafu ujinga anaochukia sana mhusika, ni kutegeshewa kitu kizuri ambacho kimeambatana na upumbavu wa kutosha ndani yake!

Ukitaka kuyaandika yote ya MR X, huwezi tena ukapata muda wa kufanya mambo mengine”

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU:
Inaonyesha kama; iwapo binti huyu angefanikiwa kuliacha begi hilo ofisini kwa mhusika, angeondoka kimoja na asingerudi tena na hivyo kila kilichokuwemo kwenye begi hilo kingehesabika kuwa ni mali ya mhusika, MR X akiwa ni shahidi wa nguvu zote. Hiki ndicho kitu kinachopelkea mhusika adhani kuwa huyu binti anaweza kuwa ameshahitimu masomo yake
 
BREAKING NEWS: TAARIFA MPYA NA MUHIMU SANA
GHIP
YA LAINI YA SIMU YAKE IMESHABADILSHWA

CHIP YA LAINI YA SIMU NA AMBAYO MUDA WOTE AMEKUWA AKIITUMIA KWENYE IPAD YAKE MHUSIKA, IMESHABADILISHwA. ZOEZI HILI LITAKUWA LILIFANYIKA KWENYE J2 MOJA AMBAYO MHUISIKA ALIKUWA KANISANI.
VILE VILE OLD LAPTOP ALIYONAYO NYUMBANI IMEKUWA DISABLED KUPOKEA CHAJI, HAITAMBUI CHARGER NA HIVYO HAIPOKEI TENA UMEME. HII ALITAKIWA AIPELEKE KWA FUNDI.

ZAIDI NI KUWA LAPTOP NYINGINE YA KISASA, DELL INSPIRON AMBAYO AMEKUWA AKIITUMIA KWA MATUMIZI YA OFISINI, IMEKUWA HACKED NA HIVYO KUPELEKEA KUJAA HARD DISK.

KWA UJUMLA TU KWA SASA HAITUMII TENA, AMEKOSA LICENCE KEY, NA BADALA YAKE AMEPEWA KOMPYUTA NYINGINE MPYA OFISINI, NDIYO ANAYOTUMIA KWA SASA, AINA YA HP.

LAPTOP YA OFISINI ILIVYOJAA, ALIiFORMAT HARD DISK NA KWA NIA YA KU-LOAD UPYA OPERATING SYSTEM, ANAJUA KILA KITU, JAPO KEY BADO HAJAPATA. KWA KIFUPI TU NI KUWA ALIHITIMU AU ALIWAHI KUSOMA CCNA NA ANAJUA KUFANYA HAYA MAMBO MADOGO MADOGO KWENYE KOMPYUTA KWA KIWANGO AMBACHO SI WATU WENGI SANA WANAWEZA KUFANYA.

BAADA YA LAPTOP MPYA KUPATA SHIDA, KUNA KIJANA PALE OFISINI AKAWA ANATAMANI SANA AMPELEKEEE LAPTOP HIYO OFISINI ILI AIFANYIE KAZI. MARA ZOTE ALIKUWA ANAMSHAURI MHUSIKA AMPELEKEE LAPTOP YEYE (HUYO KIJANA) AKIWA YUPO OFISI NYINGINE. UTARTIBU ULIOTAKIWA KUFANYIKA NO KWAMBA MHUSIKA ACHUKUE LAPTOP AIPELEKE OFISINI KWA KIJANA, WAKATI KIJANA YEYE AKIWA HAYUPO OFISINI KWAKE: HUKU OFISINI KWAKE KUKIWA NA MTU MWIINGINE WA PLI, OFFICE MATE WAKE, AMBAYE KWA SASA AMESHAHAMA TENA OFISI HIYO, AMEHAMIA OFISI NYINGINE. HUTU NDIYE AMBAYE ALIKUWA ANASABABISHA OFISI HIYO IENDELEE KUWA WAZI. MAELEZO YA KINA ZAIDI YATAWAJIENI JUMATATU TAREHE 06 DECEMBER.

CHIP ANAYOTUMIA KWENYE IPAD YAKE ILISHABADILISHWA SIKU NYINGI
 
SIKU ALIPOKWENDA KUCHOTA MAJI J3 YA TAREHE 15, IPAD ALIISAHAU KWENYE GARI, HAKUSHUKA NAYO. MAELEZO ZAIDI YATAFUATA BAADAYE KUHUSIANA NA TUKIO HILI
 
UPDATE: MONDAY 06 DECEMBER 2021

KWA KIFUPI SANA: HISTORIA FUPI YA CHIP YA LAINI YA MHUSIKA AMBAYO IMESHABADILISHWA

SETTINGS ZA LINE YAKE ZILIKUWA ZIKIBADILIKA MARA KWA MARA HADI IKAPELEKEA AFANYE ULINGANIFU WA SETTINGS HIZO NA JIRANI YAKE AMBAYE WANAISHI BLOCK MOJA


Ni kwamba ilikuwa kila akijiunga na kifurushi cha maongezi au cha Bandwidth, baada ya muda kifurushi hicho kinapotea na kinakuwa replaced na kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi. Hapo ilikuwa ni ndani ya mwaka wa fedha wa 2019/2020

Baada ya kuona hivyo, alilazimika siku moja kumuomba jirani yake ambaye naye alikuwa anatumia mtandao sawa na wa mhusika, walinganishe settings au options za vifurushi za line zao
  • Walipolinganisha waligundua kuwa vifurushi vyao viko tofauti kwa Service Provider (SP) yule yule mmoja
  • Vifurushi vya jirani yake mhusika vilikuwa vina settings/ opitions sawa na zile ambazo mhusika alikuwa nazo awali, ambazo kwa sasa hakuwa nazo tena, zilikuwa tayari zimeshaondolewa
  • Ikumbukwe kuwa hawa watu ni jirani na wanaishi block moja, milango jirani and both having an option “Location Services Enabled” on their smartphones
Picha pekee aliyoipata mhusika baada ya kuona mabadiliko ya options hizi ni kwamba pengine alikuwa anafukuzwa kijanja kwenye mtandao huo ili ahamie kwenye mtandao mwingine, ambao alitakiwa akanunue line (CHIP) ya SP mwingine. Mpaka hapa mhusika akawa anajiuliza, kwa nini anatakiwa akanunue CHIP nyingine ya simu?

Kuna kipindi pia aliwahi kuombwa abadilishe chip yake achukue ya 4G, wakati ile aliyokuwa nayo na yenyewe ilikuwa ni 4G, mhusika hata hakuelewa maana ya ushauri huo

BAADA YA KUONA KUWA OPTIONS ZAKE ZA VIFURUSHI ZIMEBADILISHWA NA KUWA TOFAUTI KABISA NA ZILE ZILIZOKUWEPO AWALI
  • Mhusika aliimua kuingia kwenye baadhi tu ya settings/ options na kuzipiga picha kwa kutumia smartphone nyingine
  • Baada ya hapo alichukua picha hizo na kwenda nazo Mlimani City kwa SP
  • Majibu aliyopewa kule yalimfanya aishie sikuhiyo ku-querry anything about changed options/ settings
Still, mhusika hakuweza kuchukua uamuzi wa kununua CHIP ya SP mwingine, aliendelea kutumia ile ile ya awali hadi majuzi alipokuja kugundua mambo mengine mapya na mageni ambayo atayaongelea kwenye maelezo yake yatakayofuata hapa muda siyo mrefu

OPTIONS ZAENDELEA KUBADILIKA ZAIDI NA ZINGINE HATA KUWA DISABLED; MOJAWAPO IKIWA NI ZILE ZA MASWALA YA KUTUMA PESA MITANDAO MINGINE

Kabla ya mabadiliko, kama ilivyo kwa wengine, mhusika naye pia alikuwa na uwezo wa kutuma pesa kwenda mitandao mingine; na kabla hajakubaliina na muamala, MAJINA MAWILIYA YA MTU ALIYEKUWA ANAMTUMIA pesa YALIKUWA YANAONEKANA. Baada ya mabadiliko, SETTINGS ZA YEYE KUTUMA PESA KWENYE MITANDAO MINGINE ZIKAWA DISABLED, akawa hawezi tena kutuma pesa kwenda mitandao mingine, isipokuwa tu labda atume pesa hiyo kwa mtu mwenye mtandao mwingine kama message au kama SMS

Hata hivyo kwa hali ilivyo sasa, SETTINGS hizi zimekuwa HALF-ENABLED, kwa sasa anaweza tena kutuma pesa kwenye mitandao mingine ISIPOKUWA, JINA LA MTU ANAYEMTUMIA LINAONEKANA MOJA TU KABLA HAJAUKUBALI MUAMALA, NA SIYO MAWILI TENA KAMA ILIVYOKUWA HAPO AWALI

MIAMALA MIWILI ALIYOIFANYA HIVI KARIBUNI AMBAYO KUNA UMUHIMU WA KUIONGELEA

Mimala hii miwili ina sifa zifuatazo

MUAMALA WA KWANZA: MANUNUZI YA SETUP FILES ZA WINDOWS SOFTWARE
Kwenye muamala huu wa kwanza, mhusika alituma pesa kwenye mtandao sawa na wa kwake isipokuwa jina lililoonekana kwenye muamala halikuwa la yule aliyekuwa akimtumia pesa na ambaye ndiyo alikuwa ametoa maelekezo ya pesa kutumwa kwenye namba hiyo
  • Pesa aliyotuma mhusika ilikuwa ni TZS 17,500/=
  • Ilikuwa ni kwa ajli ya kulipia gharama ya SOFTWARE FILES ambazo mhusika aliuzinuna kutoka kwa mtu huyo
  • Mojawapo ya jina lililotoka kwenye muamala huo lilikuwa ni NEWTON
  • Muamala ulikuwa ni LOCAL, yaani wa ndani ya nchi
MUAMALA WA PILI: MCHANGO WA HARUSI KWA MWALIMU (WA KANISANI) WAKE NA MHUSIKA ALIYEFUNGA NDOA TAREHE 07 NOVEMBER 2021

Actually, siku anatuma pesa kwa ajili ya mchango huu, ndiyo siku aliyogundua kwa mara ya kwanza kuwa SETTINGS za line yake kutumia pesa kwenye mitandao mingine zilishakuwa DISABLED


Mchango huu aliutuma kwenye namba aliyokuwa nayo mwalimu wake

Baada ya kugundua kuwa hawezi tena kutuma kwenda mitandao mingine, pesa hiyo aliituma kama SMS na ambayo mwalimu wake alifanikiwa kuipata
  • Pesa aliyotuma ilikuwa TZS 63,000/=, na aliituma siku ya J5 tarehe 27/10/2021 saa tisa (15:00 hrs) kamili
  • Mhusika anaomba akiri kuwa pesa hii aliituma kwa mtu ambaye anamfhamu, isipokuwa ilikwe kwenye namba ambayo yeye mwenyewe hakuweza kujua ni inamilikiwa na nani
  • Kwenye muamla huu, mhusika alitegemea taarifa za mwalimu wake zaidi kwa sababu mwalimu alikuwa tayari ameshamhakikishia kuwa namba hiyo ilikuwa ni ya nani
  • Ni kwamba mwalimu alikuwa akiitumia namba hiyo kukusanya michango ya harusi yake tu , na kwa ridhaa ya mwenye namba hiyo
  • Kabla mhusika hajafanya muamala huo, wawili hao walianza kwa kuwasiliana kwanza kwa maongezi ya simu, na waliwasiliana tena baada ya mhusika kuwa ametuma ujumbe wa SMS
  • Baada ya hapo hawakuwasilliana tena hadi ilipofika J2 ya tarehe 31/10/2021/ Kwenye J2 hiyo baada ya wawili hao kuwa wameonana tena kanisani, mwalimu wake na mhusika alithibitisha kuwa alipokea kiasi hicho cha fedha
HITIMISHO

Mhusika ameamua kuiongelea miamala hii miwili kwa sababu ndiyo miamala pekee ambayo ameifanya hivi karibuni na huku yeye mwenyewe akiwa hana ule uthibitisho wa WATU HALISI AMBA LINE ZAO ZILIHUSIKA KWENYE MIAMALA, isipokuwa tu akiwa anaj uhakika wa akina nani walipokea fedha hizo alizotuma.

Kutokana na ukweli usio na shaka yoyote kuwa LINE ya mhusika iko HACKED, mhusika anachelea asije akwa anaonekana kwenye system kuwa amekuwa akifanya miamala mingine kadhaa hata kwenda na kwa WACHUMBA, wakati hajawahi kufanya hivyo

Kuhusiana na swala hili la laini ya mhusika, hapo awali alikuwa anadhani kuwa ni settings za line tu ambazo zilikuwa zikibadilishwa, lakini mpaka muda huu ushahidi wa kimazingira alionao ni kwamba hata CHIP anayotumia si ile ambayo alikuwa nayo toka mwanzo.

Still, hata kama chip hiyo itakuwa ni ile ile aliyokuwa nayo mwanzo, bado mhusika anazo sababu za msingi za kudai kuwa CHIP hiyo tayari imeshabadilishwa, ukizingatia maelezo aliyoyatoa hapa huku ukiongezea na ushahidi mwingine wa ziada ambao kwa sasa bado hajauongelea humu jukwaani.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
SIKU ALIPOKWENDA KUCHOTA MAJI J3 YA TAREHE 15, IPAD ALIISAHAU KWENYE GARI, HAKUSHUKA NAYO.

Muda siyo mrefu akiwa yuko kwenye piplika pilika za kutaka kujaza fomu ya agizo la kazi, alikuja mtu na kumuomba mhusika akapaki vizuri gari lake, kwa sababu alikuwa ameziba njia; kuna watu walikuwa wanahitaji kupita

Ni kweli hakuwa amepaki vizuri sana lakini kwa nafasi aliyokuwa ameacha barabani kulikuwa na uwezekano wa gari ndogo aina ya Landcruiser Hardtop kuweza kupita na bila matatizo yoyote. Kwa kipindi hicho mhusika aliiona sababu ya kuitwa kwake kule ili akaweke gari vizuri, genuine; ila kwa sasa ameshapata mawazo kuwa ilikuwa ni njia ya mojawapo ya kumfanya akaichukue ile IPAD aliyokuwa ameisahau kwenye gari ili awe nayo huku kwenye mazingira ya ofisini alikokuwa anajaza agizo la kazi

Mhusika alienda akapisha njiani na gari hilo alilolipisha baadaye aliliona likiwa juu ya shimo la gereji kwa mbele kidogo, muda alipokuwa anaondoka maeneo yale
 
I AM TRYING TO TRANSFER A FILE TO MY SMARTPHONE SO I CAN HAVE SOMETHING POSTED HERE TODAY, POSSIBLY NOW. SOMETHING IS WRONG WITH MY PC'S INTERNET CONNECTION TODAY. SOMETHING VERY IMPORTANT IS READY AND IS SUPPOSED TO BE POSTED HERE TODAY.
 
UPDATE: TUESDAY 07 DECEMBER 2021

BAADHI TU YA MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI BAADA YA MHUSIKA KURUDI OFISINI KUTOKA LIKIZO YAKE YA MWAKA 2021

TUKIO LA KWANZA: KUSHINDWA KUMUONA MKUU WA IDARA (MWI) OFISINI KWAKE BAADA YA MHUSIKA KUOGOPA KUFANYA HIVYO


Mhusika alirudi ofisini kutoka likizo, J3 ya tarehe 27 Septemba 2021

Alipofika ofisini kwa MWI alikuta barua ambayo baada ya kuisoma, aliona kuna haja ya kumuona MWI ili aweze kupata ufafanuzi kutoka kwake, wa mambo kadhaa kuhusiana na barua hiyo

Mhusika alimuomba Katibu Muhtasi wa MWI (KMMWI) ili ampangie nafasi ya kuonana na MWI, aidha siku hiyo au ndani ya wiki hiyo

Ombi lake lilikubaliwa

Baada ya hapo, mhusika hakuweza kupewa majibu ya ombi lake isipokuwa, zilianza kutokea coincidences za MWI na mhusika kuwa wanaonana kwenye mazingira ya nje (ndani ya jengo), aidha kwenye korido au kwenye veranda, na katika mazingira ambayo yalionyesha dhahiri kabisa kuwa

Mhusika na MWI wangeweaza kuongea kuhusu appointent hiyo wakiwa kwenye veranda au kwenye korido

Baada ya pale, mhusika na MWI wangeweza kuongozana wakiwa wawili kuelekea ofisini kwa MWI, possibly hata bila ya uwepo wa KMMWI

Kwa hiyo kilichokuwa kinakwepwa hapa ni maongezi ya mhusika na MWI kufanyika katika namna ambayo yangeonekana kuwa:

Mhusika aliomba appointment ya kuonana na MWI.

KMMWI kumpa appointment ya kuongea na MWI

KMMWI kumwita mhusika na kumruhusu aingie ndani ofisini kwa MWI ili wafanye maongezi

Picha iliyokuwa inatakiwa kuonekana ni kwamba mhusika alitakiwa aoenekane kuwa ni yeye mwenyewe tu alichukua jukumu la kuimfuata MWI ofisini kwake pasipo ruhusa wala appointment kupitia kwa KMMWI

Baada ya mhusika kuona hali iko hivyo, aliamua kuacha kufuatilia ombi lake hilo, kwa kujua kuwa pengine ipo siku atapewa appointment hiyo.

Baada ya kuwa zimepita takribani wiki tatu hivi, KMMWI pamoja na MWI wakatengeneza mtego mwingine tena mpya wa kumsababisha mhusika ajipeleke mwenyewe ofisini kwa MWI.

SET UP YA MTEGO WENYEWE
Wahusika wa mtego huu walikuwa ni MWI pamoja na KMMWI

Ilikuwa siku moja, asubuhi moja ya J3 ambayo hakumbuki tarehe yake, mhusika aliwasili maeneo ya ofisini

Baada ya kupandisha ghorofa ya kwanza, akiwa anaelekea ofisini kwake, kabla hajakifikia kitasa cha mlango wa ofisi yake akiwa bado yuko kwenye korido alisikia sauti kwa nyuma ikimwita. Alipogeuka alikutana uso kwa uso na KMMWI. Hapo sasa ikabidi asimame asiendelee mbele kuelekea ofisini kwake na kuanza kuongea naye, wakiwa kwenye korido

KMMWI alimuuliza mhusika kama katika kipindi cha hivi karibuni, amepokea barua yoyote ile ya PROMOTION

Mbali na kuuliza swali hilo, KMMWI alikuwa ameshika pia barua nyingine mkononi mwake

Na kwa sababu barua aliyokuwa ameipata mhusika baada ya kutoka likizo KMMWI naye pia alikuwa anaijua, lakini kwa wakati huo tena KMMWI alikuwa ameshika barua nyingine mkononi na ambayo alikuwa haelekei kuitoa kwa mhusika wakiwa kwenye korido

Bila kuingia ofisini kwake, mhusika aligeuza njia wakawa wameongozana na KMMWI kuelekea ofisini kwa MWI ili akaione barua hiyo

Baada ya kufika ofisini kwa MWI, KMMWI alimpa mhusika barua ile ile ya mwanzo ambayo aliikuta baada ya kutoka likizo ya mwaka 2021. Mhusika alishangaa sana

Baada ya hapo mhusika alimjibu KMMWI kuwa barua hiyo anayo ndiyo ile aliyoikuta baada ya kutoka likizo

Wakati huo MWI alikuwa ndani ofisini kwake na mlango wa ofisi yake alikuwa ameuacha wazi

KMMWI aliongezea kwa kusema “si ulihitaji kuongea na MWI, basi huyo hapo ingia uongee naye”

Mhusika aliimjibu KMMWI kwa kumwambia kuwa alichokuwa anataka kuongea naye MWI tayari ameshakipatia ufumbuzi kwa sababu ni siku nyingi tayari zilikuwa zimeshapita tokea siku alipoomba kuongea naye

HILI TULIITE TUKIO LA KWANZA


TUKIO LA PILI:

MHUSIKA AANDIKIWA BARUA NA KAIMU MWI YA KUKARIBISHWA KWENYE KIKAO CHA NDANI CHA IDARA


Kwenye wiki ya kuanzia tarehe 21-28, MWI wa siku zote alisafiri na hivyo kukaimisha mamlaka yake kwa ofisa mwingine. Huyu KAIMU MWI ndiye yule yule aliyewahi kukaimu Januray 2021, katika muda ambao barua za mhusika zilikuwa zikirudishwa kwa madai ya kukosewa anuani

KAIMU MWI huyu, alikuwa hajawahi kukaimu tena nafasi hiyo tangu alipokaimu January 2021, unless kama alifanya hivyo tena katika kipindi kile ambacho mhusika alikuwa yuko likizo

Ilipofika siku ya Ijumaa ya tarehe 26/11/2021, KAIMU MWI alifika ofisni kwa mhusika na kumuuliza kama amepata barua yake

Mhusika alisema hajafahamu kama ana barua na hajaipata

Baada ya hapo KAIMU MWI alimjulisha mhusika kuwa J4 ya tarehe 30/11/2021 wiki inayofuata kutakuwa na kikao kifupi idarani na yeye mhusika anatakiwa pia kuwepo

Zaidi KAIMU MWI alisema kuwa amemwandikia barua mhusika kuhusiana na kikao hicho na hivyo ataipata kupitia kwa KMMWI

Maongezi yao yaliishia hapo, na baadaye mhusika alipandisha juu na kukuta barua hiyo ikiwa imewekwa kwenye pigeon hole yake. Barua hiyo haikuwa na minutes za kikao, na wala haikuwa wazi sana ni nini hasa kitafanyiak J4 hiyo

Hatimaye J4 hiyo ilifika na kikao kikafanyika na kuisha salama.

Mambo kadhaa aliyoyaona baada ya kikao hicho kuwa kimefanyika

Kawaida vikao vya aina hiyo huwa vinafanyika MWI naye akiwepo, lakini yeye hakuwepo, japo alikuwa tayari amesharudi ofisini

Huyu aliyekuwa anakaimu yeye alikuwepo kwenye kikao. Hata hivyo kukaimu kwake kulikuwa tayari kumeshaisha; kuliishia siku ya Ijumaa tarehe 26/11/2021

Baada ya kikao, aliyekuwa KAIMU (kwa wakati huo hakuwa anakaimu tena) aliamua kupita pita kwenye baadhi ya maabara, kulikuwa na watu aliamua kuwapitisha humo

Mhusika yeye hakuwa mmojawapo wa watu hao, japo kulikuwa na dalili zote zilizoonyesha kuwa hata yeye ingependeza aungane nao kwenye zoezi hilo. Kwa hiyo mhusika hakushiriki kwenye zoezi hilo

HITIMISHO:

Hapakuwa na haja ya KAIMU MWI kumwandikia barua mhusika kwa ajili ya kuhudhuria kikao ambacho mara zote huwa anahudhuria hata kwa kupewa taarifa za mdomoni tu, taarifa za mdomoni tu kutoka kwake KAIMU MWI zilikuwa zinatosha. Mhusika hana huo u-special unaoweza kumlazimu hadi KAIMU MWI amwandikie barua kwa ajili ya kuhudhuria kikao na mabcho ni cha ndani tu. Mara zote barua za aina hiyo huwa zinatokea mara chache zikiwa zinahusiana na kazi, inapotokea labda anatakiwa afanye kazi ambayo ni special assignment na ambayo ina deadline fulani

Swala la kumwandikia barua mhusika, inaonyesha kama kulikuwa na kitu kingine cha ziada ambacho barua hiyo ilikusudiwa kuwa tahadhari ambayo ingekuja kutumika kama ushahidi hapo baadaye, just in case of anything

Pia ughafla wa maamuzi wa mhusika kushirikishwa kwenye kikao hicho, ndiko kulikompelekea KAIMU MWI afike tena ofisini kwa mhusika kumjulisha ana kwa ana juu ya kikao hicho, pamoja na kuwa alikuwa tayari ameshamwandikia barua. Hii ni kutokana na ukweli kuwa ubunifu wa mpango wa mhusika kushiriki kwenye kikao hicho ulikuwa ni wa ghafla na ambao possibly hapo awali, mpango huo haukuwepo

Mhusika anaona mengi sana, japo anaweza kuandika baadhi yake tu; machache; na asingependa kuliongelea sana swala hili kwa sababu kikao kilihusisha pia na watu wengine kadhaa kutoka nje ya taasisi.

Posted from smartphone, bullets are missing!

MUBARIKIWE TENA NABWANA
 
Tangu january 2021, ilikuwa mara ya tatu kwa mhusika kumkuta mkuu wa idara yupo ofisini kwake, siku alipochukuliwa kwenye korido ili akaonane naye.

Mara zote huwa wanapishana kwenye korido, mhusika akiwa anapndisha juu, mkuu wa idara naye akiwa muda mfupi ametoka ofisini kwake anaelekea kwingine
 
Coming up next kwa kifupi sana:

Matukio mawili muhimu ya kaimu mkuu wa idara ambaye taarifa zake zimeelezwa hapo juu

La kwanza lilitokea january 2021

La piili march 2021 siku ya sikukuu ya wanawake duniani
 
Back
Top Bottom