#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KILICHOTOKEA WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA BENKI MLIMANI CITY ALHAMIS YA TAREHE 23 DESEMBA 2021; NA KAMA AMBAVYO KINAONEKANA KUWA NA UHUSIANO NA BAADHI YA MATUKIO KADHAA YA KANISANI, UKIJUMUISHA HILI LILILOTOKEA KWENYE PARKING J2 YA WIKI HII

CHRONOLGY OF SOME IMPORTANT EVENTS KUANZIA ALHAMIS YA TAREHE 23 DESEMBA 2021 (MWAKA JANA)

A: TAREHE 23 DESEMBA 2021


Siku hiyo tajwa mhusika alipokuwa yupo ndai ya Benki maeneo ya Mlimani City, alionana ghafla na muumini waliyekuwa naye Kanisa B. Muumini huyu alishusha tuhuma nzito sana kwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A), kwamba ETI ameuziwa kinyemela na uongozi wa juu wa Kanisa (ngazi ya taifa) ghorofa kubwa sana lililopo mahali pale

  • Muumini huyu alidai kuwa kitu hicho si sahihi kwa sababu kiwanja hicho si cha Kanisa hawakuwahi kukinunua bali mwenye nacho alikuwa amejitolea tu akawapa Kanisa wakajenga pale. Kwa hiyo muumini huyu alidai kuwa kiuhalisia kiwanja hicho bado ni cha mjane ambaye marehemu mume wake alikuwa ni Kiongozi wa Kanisa A, kabla ya kiongozi huyu aliyepo hivi sasa
  • Kwa mantiki hiyo muumini huyu alidai kuwa uongozi ya Taifa, umeshirikiana na KM-A kumdhulumu mjane jengo hilo; kwa sababu katika hali ya kawaida alitakiwa amilikishwe mjane kwa sababu kiwanja bado ni chake yeye (mjane)
Zaidi muumini huyu alidai kuwa kaburi la kiongozi aliyepita; yaani mume wa mjane, liko ndani ya uzio wa nyumba hiyo ya Ibada

Baada ya mhusika kusikia upumbavu huu aliamua kuleta maelezo yake ya kina humu jukwaani huku akimshauri muumini huyo akamuombe msamaha KM-A kwa kumsingizia mambo mazito ya namna hiyo

Hapa muumini huyu alikuwa amelenga kumchonganisha mhusika na viongozi wake Kanisani kuanzia kwenye Kanisa hadi ngazi ya juu ya Taifa; HILO LILKAPITA



B: SIKU MBILI BAADAYE: SIKU YA KRISMAS; JUMAMOSI YA TAREJHE 25 DESEMBA 2021


Baada ya Ibada kuisha siku hiyo, gari la mhusika likawa limekuwa grounded kwenye parking lilipokuwa limepark sehemu ile ile ambayo lilipaki tena J2 iliyopita; ambayo ni pembezoni mwa ghorofa lile ambalo KM-A alikuwa anatuhumiwa na muumini wa Kanisa B kumdhulumu mjane

  • Gari iliyokuwa imem-block mhusika, ilikuwa ni ya DEREVA WA KM-A, ambaye hata alikuwa hajulikani alikuwa wapi
  • Siku hiyo, mahali pale karibu na gari la mhusika, alipaki pia binti huyu ambaye taarifa zake zinaendelea kuwajia
  • Haikuwa mara ya kwanza kwa binti huyu kupaki karibu na mhusika; isipokuwa ilikuwa ni mara ya kwanza kwa wawili hawa kuonana kwa karibu na at least kuongea. Hapo awali, hawakuwa wamepata nafasi ya kuongea; sana sana labda salaamu tu wakiwa wanapisha
  • Mtu mwingine aliyekuwepo mahali pale siku hiyo ni KIONGOZI ambaye ni mdogo wake na kiongozi aliyehama hivi karibuni kanisani hapo na kwenda kanisa jingine
  • Huyu kiongozi alikuwa yuko kwenye pilika pilika akiwa anajaribu kumsaidia binti ili aweze kutoka na gari lake kwa sababu yeye hakuwa amezibwa as such, isipokuwa tu kulikuwa na gari ambayo ilikuwa imekaa karibu sana na yake kiasi kwamba alihitaji msaada ili aweze kutoka salama bila kukwaruzana na gari nyingine
Ndiyo maana hata funguo za gari lililokuwa limemziba mhusika zilipoletwa, na aliyezileta kueleza kuwa huwa hajui kuendesha gari manual, ilibidi mhusika apewe funguo hizo na kuanza kuisogeza gari kwa sababu huyu kiongozi yeye alikuwa yuko busy na binti akimsaidia ili aweze kutoka. Vinginevyo KIONGOZI ndiye alitakiwa aisogeze hiyo gari kwa sababu yeye na mwenye gari ni watu wa karibu zaidi; ni staff-mates, kama siyo office-mates

Mengine yaliyojiri siku hiyo hapo kwenye parking, tayari ameshayaeleza kwenye posts za mwanzo za toleo hili la wiki hii, HILO NALO LIKAPITA

C: “WIKI NNE” BAADAYE: TENA; SIKU YA J2; TAREJHE 23 JANUARY 2022 (MWAKA HUU)


Kiongozi wa chama cha wanaume Kanisani hapo, akatangaza kuwa JUMAMOSI YA WIKI HIYO; YAANI TAREHE 29 JANUARY 2022 wanaume wote wanatakiwa kuwepo Kanisani kwa ajili ya Mkutano ambao ni wa ‘KANDA’(jina halisi si KANDA, ametumia neno hili kufanya encryption)

  • Mktano wa KANDA aana yake ni kwamba ulikuwa unajumuisha waumini si kutoka nje ya kanisa tu bali pia kutoka nje kwenye mikoa mingine nje ya mkoa wa Dar es Salaam
  • Kwa makisio yake mhusika; alitarajia kuwa idadi ndogo sana ya mkutano huu wangeweza kuhudhuria wanaume angalau 700
  • Yaani hao 700 ni kwamba asilimia 90 ya wanaume hawakuhudhuria
Hata hivyo mkutano huo ulihudhuriwa na watu wapatao 70 hivi, na wengi kati ya hao wakiwa ni wale waliokuwa wametoka Kanisa A

Mbali na hayo, muumini aliyekuwa anaongoza kikao, mzee very senior na mwenye miaka 70+ mada zake zikaanza kushamuliwa KITOTO SANA na watoto wadogo tu wa miaka 40+, hadi kufikia hatua ya kuwa mzee analazimishwa kuomba msamaha akiwa mbele madhabahuni, kisa tu kuna kitu alifanya ambacho kilionekana kumkwanza motto wa miaka 40+

Sijui labda kwa sisi ambao ni wachanga sana kiroho, kwa sababu mtumishi wa Mungu yuko mbele ya madhabahu, bahati mbaya amefanya kitu kimekukwaza, unaomba mike na kuanza kuongea kumwambia aombe msamaha, mbele ya waumini?

Wakati haya yakiwa yanaendelea, viongozi karibia wote wa Kanisa A walikuwepo

  • Kiongozi Mkuu wa Kanisa A alikuwepo
  • Kiongozi aliyetoa tangazo la kuzuia uchuuzi getini J2 iliyopita naye pia alikuwepo
  • Kiongozi huyu aliyehusika na taa za gari la mhusika naye pia alikuwepo; na hata yeye pia naye aliongea ila kwa si kwa kumshambulia mzee, alijaribu tu kuzi-challenge kidogo hoja alizokuwa ame-present mzee na katika manner ambayo ilikuwa ni acceptable iliyokuwa haimvunjii heshima mzee
Baada ya kuona haya yote yanaendelea, watu hawapo kwenye mkutano halafu na baadhi ya watu wanaongea pasipo staha utafikiri wapo kwenye ukumbi wa kawaida na si kwenye nyumba ya Ibada; wanashambulia mzee wa miaka 70+ katika namna ambayo utafikiri ni wanafunzi wa chuo wamekusanyika REV SQUARE; mhusika akaanza kupata mashaka na kilichokuwa kinaendelea kwenye mkutano

Ikumbukwe kuwa kiongozi aliyetangaza uwepo wa kikao hicho alikuwa ndiyo yule yule alyewahi kuitisha vikao viwili vya muda mfupi vya wanaume kimojawapo kikiwa ni kile ambacho aliwaomba wanaume washuhudie namna walivyobarikiwa na somo la nabii aliyewahi kusimama madhabahuni na kuwatukana waumini akiwaambia “mnawageuza wake zenu nyuma”

Zaidi ni kuwa vyombo kadhaa vya MEDIA, tena zile zinazoeleweka; nao pia walikuwepo siku hiyo

……………………..inaendelea
 
…………..inaendelea

C: “WIKI NNE” BAADAYE TENA; SIKU YA J2; TAREJHE 23 JANUARY 2022 (MWAKA HUU)


Kiongozi huyu wa wanaume ndiyo yule yule aliyewahi kuitisha kikao cha dharula J2 ya tarehe 26/04/2020 (mwaka juzi), akiwatuhumu wanaume kuwa ni wazembe hawaitikii wito wa program Kanisani wakati ukweli siyo. Hapa alikuwa anatafuta namna ya kuwa-arose waliokuwa ni target yake, mojawapo akiwa ni mhusika. Kwa bahati mbaya sana siku hiyo mhusika aliondoka kwenye kikao hicho, japo hakuondoka tu hivi hivi bali aliondoka akiwa pia tayari ameshatandikwa koo

Zaidi ni kuwa pamoja na Kiongozi huyu kuwa alikuwa ndiyo mwenyeji wa kikao hicho kikubwa na ambacho hadi MEDIA zilikuwepo, yeye hakuwepo kwenye kikao hicho. Aidha hata msaidizi wake naye pia hakuwepo na uenyeji wao ulichukuliwa na kiongozi wa ngazi ya tatu ambaye ndiye alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho

WASHIRIKI KUTOKA KANISA B, (AMBAKO MHUSIKA ALIWAHI KUHAMIA) WALIOKUWEPO KWENYE KIKAO HICHO


Kwa upande wa kanisa B, alikuwepo mshiriki mmoja tu. Ikumbukwe kuwa hili ndiyo kanisa lile ambalo mhusika alikuwa amekutana na mojawapo wa waumini wake pale Benki Mlimani City, wiki kadhaa nyuma

Baada ya mkutano huo kumalizika, mhusika alijaribu kuteta kidogo na mshiriki huyu kwa kifupi kwa sababu hakuwa na muda wa kutosha sana;, hapo hapo tena alikuwa anatakiwa kwenye kikao kingine na KM-A mara tu baada ya kikao hicho kuisha

Mshiriki huyu wa Kanisa B, aliweza kumujua ni nani ambaye waliwahi kukutana na mhusika Benki Mlimani City siku ya Alhamis tarehe 23 Desemba 2021 na akamjulisha mhusika kuwa muumini huyo hayupo tena kwa sasa Kanisa A, alishahamia kwingine siku nyingi

By the way: Baada ya Kanisa A kuwa limepata sehemu nyingine nzuri na kubwa tu na ambayo wanaume wangeweza kuwa wana siku yao maalumu ya kukutana katikati ya wiki kwa ajili ya Ibada, uongozi wa Kanisa umebuni tena mbinu nyingine ya kuwafanya wasikusanyike

Wameanzishiwa Ibada za mkesha (ibada za usiku tu) kila wiki; Hiki kitendo kimefanyika possibly ili kuwaziba midomo wasije wakalalamika kuwa hawana siku ya kukutana kama ilivyokuwa hapo kabla.

NI IBADA AMBAZO MHUSIKA HAWEZI KUHUDHURIA HATA MARA MOJA


Ni baada ya lile ghorofa kununuliwa na Kanisa A na hivyo ilionekana wanaweza kudai siku yao ya kukusanyika ambayo wangeweza kuwa wanakusanyikia hata jingo hilo

Still, hata kama Kanisa lisingekuwa limepata sehemu nyingine ya nyongeza, bado hata Kanisa jipya lina nafasi ambayo wanaume wanaweza kuwa wanakusanyika, au hata kwenye Kanisa la zamani

Kwa muda huu, nafasi kwa ajli ya Ibada zimeshakuwa lukuki

Ibada za mkesha huwa hazina mahudhurio mazuri kama zile za muda wa kawaida; kwa hiyo wanaume wameanzishiwa Ibada za mkesha kwa kila wiki ambazo zinajulikana kuwa mahudhrio yake ni haifu na yakizidi sana labda watu watano hadi kumi tu.

Mhusika anshangaa kwa nini kitu hiki kimefanyika kwa sababu Ibada za mkesha huwa siyo CORE, huwa zipo kwa ajili ya ku-supplement ibada zile za wiki. Kwa hiyo kundi fulani la aina moja, tuseme kama vile akina mama, hawawezi wakawa na ratiba ya Ibada za mkesha tu bila ya zile za katikati ya wiki; hii siyo kawaida

Hili nalo mhusika analifanyia kazi na atakuja na maelezo mazuri tu muda siyo mrefu kuanzia sasa


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
D: MHUSIKA KULIONA GHAFLA GARI LA BINTI MAENEO YA SAVEI SOKONI, J2 MOJA MARA BAADA TU YA KUWA AMETOKA KANISANI

Tukio hili lilifuata mwisho mara baada ya matukio yote yaliyotajwa hapo juu kuwa tayari yameshatokea


Lilitokea kwenye J2 moja ambayo binti na mhusika walipaki sehemu moja, na walionekana kuongea wakiwa kwenye parking. Kuongea huko kulisababishwa na configuration ya magari, namna yalivyokuwa yamepaki na mhusika alionekana kama kumuelekeza binti ili aweze kutoka kirahisi. Siku hiyo binti hakuwa amemziba mhusika

Mhusika anacokiona kwenye tukio hili ni kwamba kama ngetokea wakaonana siku hiyo Savei na kuongea, halafu tuseme kukawa na mtu mwingine wa tatu aliyekuwepo kanisani siku hiyo na aliyewaona pindi walipokuwa bado wapo kwenye parking; angepata PICHA SAFI KABISA kuwa hawa watu walipokuwa pale kwenye parking Kanisani, walikuwa wanaelekezana ili waje meneno ya huku waweze kuongea

Maelezo ya tukio hili tayari ameshayatoa kwa kina kwenye mojawpo ya posts zilizoko hapo juu; na HILI SASA TULIITE TUKIO LA NNE na la mwisho (au LA TANO) ndiyo lile lililotokea wiki hii na ambalo limepelekea maelezo hayo yote hapo juu kuwepo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU
Siku ya mkutano aliouongelea hapo juu, pia ndiyo siku ambayo alipitia maeneo ya mawasiliano na akanunua baadhi ya bidhaa huko, yakiwemo majani ya chai aliyoyaongelea humu alipokuwa anarudi nyumbani

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 01 APRIL 2022

HALI YA USALAMA KAMA ILIVYO LEO NDANI YA JENGO ILIMO OFISI YA MHUSIKA


Siku hii ya leo, ndani ya jingo kuna mbinu zinaendelea za kijanja sana, ambazo haziashirii usalama kwake mhusika.

Mara nyingi mbinu hizi huwa zinafanyika IJUMAA (siku ambayo kesho yake hamna kazi) na wakati mwingine, J3 ASUBUHI hasa kwenye ule muda wa watu kuanza kuingia ofisini.

Bado hajaweza kupata trigger ya maana anayoihitaji kwa ajili ya kuziongelea kwa kina mbinu hizi ila muda siyo mrefu ataipata.

Kwa kifupi tu ni kwamba J3 aliondoka ofisini AC yake ikiwa inafanya kazi, lakini alivyorudi J4 ikawa haifanyi kazi na hadi muda huu haifanyi kazi

Alikuwa amesita kuiripoti kwa sababu hakuwa na uhakika sana kama imepata technical problem yenyewe. Pamoja na bahati ya uwepo wa coincidence ya uwepo wa mafundi wa AC leo ndani ya jengo (na ambao ni mara chache tu huwa wanakuwepo ndani ya jengo) wakiwa wanashughulika na AC, mhusika wala hakufikiria kuomba msaada kutoka kwao kwa sababu swala la AC yake kutokufanya kazi ghafla kuanzia J4 wiki hii bado hajalielewa vizuri

Mafundi hao aliwakuta kwenye mojawapo ya chumba cha ghorofa ya pili wakiwa wameandamana na mmojawapo wa staff

Mafundi amebahatika kuwaona wakiwa wanafanya kazi kwenye mojawapo ya chumba, wakiwa upande wa nje na si ndani


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 05 APRIL 2022

TAARIFA MUHIMU KUHUSIANA NA USALAMA WA GARI LA MHUSIKA NDANI YA SIKU HIZI TATU MFULULIZO KUANZIA J2, J3 NA J4 (LEO)


Jumapili iliyopita mhusika alirudi kutoka Kanisani na kupaki gari likiwa salama kabisa halikuwa na kasoro yoyote

J3 (jana) muda wa karibia saa 11: 30 jioni, wakati anatoka kazini kurudi nyumbani akiwa anaendesha kwa spidi ndogo sana isiyozidi km 60 kwa saa, GARI LIKAWA ZITO LINATIKISIKA MBELE YA BONETI KIASI CHA KUTAKA KULAZMISHA LITOKE BARABANI

Mhusika aliamua kwenda kulipaki nyumbani kwanza, na hakulipeleka gereji

Leo (J4) ameliwasha na kuliendesha kwa taratibu zaidi, na hatimaye akalipeleka gereji kwa ajili ya uchunguzi

Alivyofika gereji wamefanya majaribio barabarani wakiwa pamoja na fundi wake na kugundua kuwa TATIZO ALILLOLIONA MHUSIKA JANA JIONI WAKATI ANARUDI NYUMBANI JIONI HALIPO TENA

HITIMISHO


Mhusika analifahamu gari hili mithili ya anavyoifahamu miguu yake miwili ya kutembelea

Alichokiona yeye ni kuwa kuna kitu (something sinister) kitakuwa kilifanyika kwenye gari hili usiku wa J2 kuamkia J3 ambacho kilitarajiwa kuwa kingem-prompt mhusika kulipeleka gereji jioni ya siku ya J3 (jana) wakati anatoka kazini.

Baada ya mhusika kuacha kufanya hivyo, marekebisho mengine yakafanyika tena usiku wa J3 kuamkia J4 (leo) kulirudisha gari hilo katika hali yake ya kawaida mithili ya lilivyokuwa siku ya J2 wakati anatoka Kanisani

Anao pia ushahidi mwingine wa ziada wa matukio mengine kama mawili ya nyuma, yanayofanana kabisa na hili la sasa lakini anaona pengine itakuwa ni busara kwa muda huu kufupisha maelezo haya kwa sababu akiyarefusha, atalazimika hadi kuwataja watu ambao mwishowe itaonekana kama anawachukia na hivyo itaonekana kama huwa anaamua kujenga hoja juu yao tu ili aweze kuwahusisha na matukio. Ukweli ni kwamba kila akiwataja, huwa wamehusika. So let them enjoy a bonus; but for this time only

Matukio mawili ya nyuma aliyoyaongelea hapa, ni baadhi tu ya yale ambayo gari aliwahi kulipeleka gereji na kuonekana kweli lilikuwa hitilafu

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 07 APRIL 2022
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MMILIKI WA GARI NYINGINE AMBAYO MHUSIKA NAYE ALIKUWA AMEIZIBA; BAADA YA YEYE (MHUSIKA) KUWA AMEZIBWA J2 YA TEREHE 27/04/2022


Ikumbukwe kuwa wakati MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO MAENEO YA PARKING AKIWA ANASUBIRIA KUPISHWA NA GARI ILIYOKUWA IMEMZIBA, KULIKUWA NA GARI NYINGINE MBELE YA ILE YA MHUSIKA, AMBAYO MHUSIKA NAYE ALIKUWA AMEIZIBA GARI HIYO.

GARI HIYO ALIYOKUWA AMEIZIBA MHUSIKA, ILISEMEKANA KUWA NI YA BINTI AMBAYE ALIFIKA HAPO NA KUMUAHIDI MHUSIKA KWENDA KUMTAFUTA MWINGINE YULE ALIYEKUWA AMEWAZIBA WOTE WAWILI.

MUDA MFUPI BAADA YA BINTI AMBAYE ALIKUWA AMEDAI KUWA MOJAWAPO YA GARI ILIKUWA NI YAKE YEYE KUONDOKA, MHUSIKA NAYE ALICHUKUA NJIA ILE ILE ALIYOPITA BINTI NA ALIPOTOKEZA KWENYE SEHEMU YA UCHOCHORO ULIOKO NYUMA YA GHOROFA KAMA UNAELEKEA WASHROOMS, ALIMKUTA BINTI AKIWA AMESIMAMA KWENYE UCHOCHORO HUO PAMOJA NA KIONGOZI HUYO WA VIJANA AMBAYE NAYE ANAMILIKI GARI YA AINA ILE ILE KAMA AMBAYO BINTI HUYU ALIDAI KUWA ANAIMILIKI.

ALICHOKIONA YEYE MHUSIKA MPAKA MUDA HUU NI KWAMBA THE CHANCES NI KWAMBA HIYO GARI ILIKUWA NI YA HUYU KIONGOZI WA VIJANA KWA SABABU MHUSIKA HAJAWAHI HATA SIKU MOJA KUMUONA BINTI HUYO AKIWA ANAENDESHA GARI, NA KABLA YA SIKU HIYO MHUSIKA ALIKUWA ANAJUA KUWA BINTI HUYO HANA GARI

MBALI NA HAYO, KIONGOZI HUYU NDIYE ALIASISI MTINDO HUU WA KUWA ANAZIBA GARI LA MHUSIKA HALAFU ANAPOTEA KWENYE PARKING, MIAKA ILE YA 2017 NA 2028. ALIFANYA HIVYO KWA ANGALAU MARA MBILI, NA HATIMAYE KUPELEKEA MHUSIKA KUSITISHA IBADA ZA JIONI ZA KATIKATI YA WIKI. ALIKUWA ANAFANYA HIVYO BAADA YA IBADA ZA JIONI KUWA ZIMEMALIZIKA, BAADA YA SAA 2.00 USIKU NA HUYU NDIYE HASA ALIYESABABISHA MHUSIKA KUACHA KUHUDHURIA IBADA ZA JIONI KANISANI. NI KWA SABABU ALIKUWA ANAFANYA HIVYO AKIWA AMEPANGA MPANGO NA WATU WENGINE WA HATARI AMBAO WALIKUWA WANAMFUATILIA MHUSIKA NJIANI WAKATI ANARUDI NYUMBANI.

HUYU MTU NI KIONGOZI KANISANI LAKINI KWA NAMNA AMBAVYO YEYE NHUSIKA, HNIUWA ANAMUONA MATENDO YAKE YALIVYO, NI KAMA JAMBAZI TU AMBALO LIMEKUJA KUJIFICHA KANISANI.

KIONGOZI HUYU NI YULE ALIYEKUWA ANATOA MATANGAZO YA KUWAOMBA VIJANA WOTE WABAKI KWA MUDA MARA BAADA YA IBADA KUISHA, J2 ILIYOPITA YA TAREHE 04.04.2022.

MAELEZO ZAIDI KUHUSIANA NA MTU HUYU YATAWAJIENI SIKU SI NYINGI KUANZIA LEO

MHUSIKA ALIWAKUTA WATU HAWA WANATETA NA ILIKUWA NI KATIKA MUDA AMBAO WAWILI HAO HAWAKUTARAJIA KUWA ANGEWEZA KUONEKANA MAENEO YALE

MUBARIKIWE TENA NA BWANA.
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSINA NA HUJUMA ZINAZOENDELEA KUFANYIKA
KWENYE GARI LA MHUSIKA

WAHUSIKA WAKUBWA WA HUJUMA HIZI NI MR X (OFISINI) NA HUYU KIONGOZI WA VIJANA (KANISANI)

MBALI NA HAO, YUPO PIA FUNDI WA GARI MMOJA PALE KWENYE GEREJI AMBAPO MHUSIKA HUWA ANAFANYIA MATENGENEZO. FUNDI HUYU NDIYO YULE ALIYEKUWA NAYE KWENYE GARI JUZI J4 WIKI HII WAKATI WANALIFANYIA MAJARIBIO YA KUTAKA KUONA KAMA ENGINE INAENDELEA KUTIKISIKA AMA LA

MAELEZO ZAIDI YATAFUATA BAADAYE
 
UPDATE: SATURDAY 09 APRIL 2022

ANGALIZO MUHIMU:

RATIBA YA VIPINDI VYA IBADA VYA KANISA A NDANI YA WIKI HII, UKIIHUSIANISHA NA YALE AMBAYO MHUSIKA AMESHAYABAINI. RATIBA HII ILIBADILISHWA MAKUSUDI KWA AJILI YA MKESHA MAALUMU AMBAO KIONGOZI WA VIJANA ALIKUWA NI MSHIRIKI PIA (MWENYE GARI ILIYOKUWA KWENYE PARKING)


Ikumbukwe kuwa matatizo yote ambayo viongozi wa Kanisa A huwa wanayasababisha; HUWA WANAYAREKEBISHA KWA KUTUMIA MAOMBI TU NA SI VINGINEVYO.

Whether maombi hayo huwa wanamuomba Mungu au miungu mingine, hilo sasa linabaki kuwa ni swala jingine

  • Kwa hiyo ratiba ya vipindi vya Ibada vya Kanisa A kwa wiki hii, ilifuta mafundisho ya J5 kwa kuyabdilisha kuwa maombi
  • Kawaida maombi huwa yanakuwepo kila siku Ijumaa, lakini yaihamishiwa J5
Katika hali ya kawaida kabisa, maombi hayo hayo yayolihamishiwa J5 yangeweza kuwepo sku yake ya kawaida ya Ijumaa na mafundisho pia kuendelea kuwepo J5 kama kawaida; isipokuwa swapping ilifanyika ETI ili kuweza ku-accommodate ratiba ya mkesha wa vijana usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi

Swali hapa linakuja kwamba je, mkesha wa vijana ambao ulikuwa unaanza Ijumaa saa 3.00 au saa 4.00 usiku; unazuiaje Ibada ya maombi ya Kanisa zima ambayo huwa inaanza saa 11 na kuisha saa 1.00 usiku WAKATI RATIBA HIZI MBILI HAZIINGILIANI?

Kwa hiyo maombi ya Kanisa zima yalifutwa ili kuruhusu mkesha wa vijana kufanyika; mmoja wa washiriki wa mkesha huo akiwa ndiyo yule KIONGOZI WA VIJANA AMBAYE GARI LAKE LILIPAKI MBELE YA GARI LA MHUSIKA J2 YA TAREHE 27/04/2022

KATIKA KUJARIBU KUTATUA MATATIZO YA AINA HII, VIONGOZI WA KANISA A HUWA WANATUMIA MAOMBI SIKU ZOTE, NA SI MAFUNDISHO. WANAPOKUWA KWENYE SITUATIONS ZA AINA HII, MAFUNDISHO KWAO HUWA NI SUMU KALI; SAWA KAMA SUMU YA NYOKA COBRA



KITU KINGINE AMBACHO KIMEKUWA KIKIENDELEA KWA MUDA MREFU KANISA A NA AMBACHO SI CHA KAWAIDA KUHUSIANA NA IBADA ZA AKINA MAMA NA ZILE ZA VIJANA


  • Ibada hizi mbili za akina mama na zile za vijana kwa Kanisa A ziko very restricted; watu wengine walio nje ya makundi hayo huwa hawaruhusiwi kabisa kuwepo kwenye Ibada hizo
  • Ikumbukwe kuwa hizi ni IBADA ZINAZORATIBIWA NA KUONGOZWA NA AKIMA MAMA AU VIJANA KANISANI, NA SIYO SEMINA
  • Na kama ni Ibada, basi zilitakiwa kuwa huru kuhudhuriwa na muumini wa aina yoyote yule; iwe hata wa kutoka nje kabisa ya Kanisa A
Hata hivyo kwa Kanisa A hiki kitu hakipo na hairuhusiwi na hivyo tangazo huwa linatolewa CLEAR KABISA KUWA WENGINE WANATAKIWA WASIJE KANISANI, WABAKI NYUMBANI

Ndani ya mwezi uliopita, Kiongozi liyepiga marufuku wachuuzi getini alikuwa zamu na alipokuwa anatoa tangazo la uwepo wa Ibada ya akina mama siku ya Alhmais ya wiki iliyokuwa inafuata, alitahadharisha clear kabisa kuwa wengine wote wanatakiwa wasiwepo kanisani wabaki majumbani kwao

Katika hali ya kawaida, ni BAADHI TU YA SEMINA ZA AKINA MAMA NA ZA VIJANA ambazo zinaweza kuwa restricted NA SIYO IBADA ZA MAKUNDI HAYA

Hapa mhusika anazidi kuwalilia walio juu ya uongozi wa Kanisa A akiwajulisha kuwa kinachofanywa na UONGOZI WA KANISA A kwa sasa hakihusiani kabisa na Ibada za kumwabudu MUNGU, kuna Ibada nyingine tu zinazoendela pale

Uongozi ulio juu ya Kanisa hili usipochukua hatua muafaka kurekebisha na kukomesha kabisa tabia ambayo imeshakomaa ndani ya nyumba hii ya Ibada, kuna siku watakuja kumkumbuka mhusika; MAJUTO NI MJUKUU

Kwa hali ilivyo sasa hivi KANISA A; HAYUPO KIONGOZI HATA MMOJA ANAYEPANDA JUU MADHABAHUNI KWA AJILI YA KUMWABUDU MUNGU; wana shughuli zao binafsi tu wanazozifanya kupitia madhabahu hiyo

HIYO MADHABAHU YA BWANA ITAWACHINJA WOTE; HAYUPO MMOJA WAO ATAKAYEBAKI



UP NEXT: UHUSIANO WA KIMATENDO UNAOANZA KUDHIHIRIKA KATI YA MR X NA FUNDI WA GARI LA MHUSIKA
 
MATUKIO YANAYOANZA KUASHIRIA UHUSIANO KATI YA MATENDO YA WATU WAWILI AMBAO NI MR X NA FUNDI WA GARI LA MHUSIKA

TUKIO LA KWANZA:

TUKIO LA HITILAFU YA HIVI KARIBUNI KABISA KWENYE GARI LA MHUSIKA; AMBALO MHUSIKA ALILIBAINI J3 JIONI TAREHE 04/04;2022


Ikumbukwe kuwa tayari mhusika ameshatoa taarifa kuwa J3 ya wiki hii majira ya saa 11:30 jioni alipokuwa anatoka ofisini kurudi nyumbani; alibaini mtikisiko kwenye boneti ya gari lake isipokuwa hakulipeleka garage jioni hiyo, na badala yake alilipeleka kesho yake asubuhi baada ya kuwa ameripoti ofisini kwanza

Kwa hiyo J4 asubuhi ndiyo muda ambao mhusika alilipeleka gari lake garage, na akiwa anatokea ofisini

NAMNA MAZINGIRA YA OFISINI YALIVYOKUWA J3 YA TAREHE 04/04/2022: KABLA YA J4 AMBAYO MHUSIKA ALILIPELEKA GARI LAKE GARAGE

KUHUSIANA NA MR X


  • MR X alikuwepo ofisini siku hiyo
  • Kwa mara ya kwanza tena siku hiyo, muda wote alikuwa anafanya kazi chumba kilicho jirani kabisa na ofisi ya mhusika
  • Hadi unawadia muda wa mhusika kuondoka ofisini, MR X bado alikuwa anafanya kazi chumba jirani
  • Kwa hiyo ndani ya kipindi kirefu sana cha takribani zadi ya mwezi mmoja au miwili, mhusika aliondoka ofisini kwa mara ya kwanza tena pasipo kufunga geti kubwa la ofisi hizo mbili zilizo jirani
  • MR X ndiye alifunga geti hilo siku hiyo
Mbali na hayo yote, ndani ya kipindi kirefu sana pia cha takribani miezi miwili au mitatu; likuwa ni mara ya kwanza kwa MR X kuja kukaa ndani ya ofisi hiyo na kwa muda mrefu kiasi cha yeye kulazmikka kufunga geti kubwa la ofisi hizo mbili zilizo jirani

Mara ya mwisho MR X alipowahi kukaa ndani ya chumba hicho na kufanya kazi kwa muda mrefu kiasi hicho ilikuwa ni mwanzoni mwa mwezi wa kwanza; na katika siku ambayo KIONGOZI MSTAAFU AMBAYE BADO ANA MAMLAKA YA KUSHUGHULIKIA MASLAHI YA WALE AMBAO BADO HAWAJASTAAFU, alifika ofisini kwa mhusika na kumsalimia huku (mstaafu huyo) akimweleza (mhusika) kuwa ‘nilipita tu kukusalimia tu”.

Baada ya muda kitambo kuwa umepita siku hiyo (mhusika akiwa na mstaafu huyu ofisini kwake), baadaye sasa ndiyo MR X alifika ofisini hapo na hatimaye kumchukua mgeni huyo wakaondoka wote. Siku hiyo ndiyo ilikuwa ni siku ya mwisho ya MR X kuonekana akiwa ndani ya chumba hicho akifanya kazi kwa muda mrefu. Baada ya hapo, MR X alikuwa hajawahi kuonekana tena akiwa amekaa humo na kufanya kazi kwa mda mrefu, isipokuwa kwa mara nyingine tena siku ya J3 ya wiki hii tarehe 04/04/2022

Kwa hiyo J3 wiki hii wakati mhusika anaondoka ofisini kurudi nyumbani na siku ambayo alibaini tena hitilafu ya mtikisiko mbele ya boneti la gari lake, MR X alikuwa amemwacha akiwa anafanya kazi ofisi jirani. HILI TULIITE TUKIO LA KWAMZA




TUKIO LA PILI

J4 YA TAREHE 05/04/2022 WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA ANAONDOKA OFISINI KUPELEKA GARI GARAGE ILI IKACHEKIWE NA FUNDI; ALIMWACHA MTU MWINGINE TENA AKIWA OFISI JIRANI


Mtu huyu hakuwa MR X; japo alikuwepo ofisini

Kwa mara ya kwanza, kabisa kwenye chumba hicho cha jirani alikuja akakaa humo mtu mwingine

  • Mtu huyu alikuwa ni binti mwanafunzi wa ngazi za juu ambaye ana takribani muda wa mwaka mmoja na nusu au miwili, tangu aanze kuwepo maeneo ya ofisini
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa binti huyu kuonekana akiwa anafanya kazi ndani ya chumba hicho kwa maana kuwa hapo kabla binti huyu alikuwa hajawahi hata mara moja, kuonekana akiwa anafanya kazi ndani ya chumba hicho, achilia ambali tu kule kuonekana akingia humo
Kwa hali hiyo, mhusika hakumbuki hata kule kumuona tu binti huyu akiwa ameingia ndani ya chumba hicho, tangu binti huyu aanze kuwepo maeneo ya ofisini

J4 hiyo mhusika aliondoka akapeleka gari garage na kumwacha binti huyo akiwa yuko peke yake kwenye chumba hicho jirani na aliporudi kutoka garage, alimkuta MR X naye akiwa tayari amesham join binti wakiwa wanaendelea na kazi. HILI SASA TULIITE TUKIO LA PILI



TUKIO LA TATU:
TUKIO LA GIA ZA GARI LA MHUSIKA KUGOMA KUINGIA LILILOTOKEA MWANZONI MWA JANUARY 2022

…………………..inaendelea

NB maelezo kamili kuhusiana na fundi wa gari la mhusika yatafuata baadaye
 
…………………..inaendelea

TUKIO LA TATU:
TUKIO LA GIA ZA GARI LA MHUSIKA KUGOMA KUINGIA LILILOTOKEA MWANZONI MWA JANUARY 2022

Kwa mara ya kwanza, hitilafu hii ilijitokeza siku moja ya Alhamis asubuhi, mhusika alipokuwa anatoka nyumbani kuelekea ofisini

  • Gia namba moja ilikuwa haiwezi kuingia kabisa
  • Gia zingine zote zilikuwa zinaweza kuingia ila kwa kuzima gari kwanza
  • Mhusika akawa anaendesha gari kwa kuondokea gia namba mbili, ambayo nayo ilikuwa inaingia tu baada ya kuwa amezima gari kwanza; yaani unazima gari kwanza, unaingiza gia halafu ndiyo unapiga start gia ikiwa tayari imeshaingia; ndiyo unaondoka
  • Mbali na hayo, gari ilipokuwa inatembea, gia hizi zilikuwa zinaingia kwa shida sana
  • Gia mamba moja yenyewe ilikuwa haiingii kabisa kwa namna yoyote ile
Mhusika aliendelea kuendesha gari kwa mtindo huo, hadi ilipofika J3 ya wiki iliyofuata ndipo alipoamua kulipeleka gari Gereji



KABLA MHUSIKA HAJAAMUA KULIPELEKA GARI LAKE GARAGE

Alhamis ya siku hiyo ambayo gari la mhusika lilianza kupata hitilafu, MR X alianza tena kufanya kazi full time, ofisi jirani na ile ya mhusika. Kesho yake Ijumaa pia alifanya kazi full time kwenye ofisi hiyo, na mhusika aliondoka akamwacha ofisini kwa sababu Ijumaa hiyo alikuwa ana darasa pia la wanafunzi kwenye chumba hicho jirani

Ikumbukwe kuwa wiki hiyo yote mhusika hakulipeleka gari garage, hadi ilipofika J3 ya wiki iliyofuata

J3 ilipofika, mhusika alianzia ofisini kwanza na hatimaye ndipo alilipeleka gari gereji.

  • Kama kawaida, J3 hiyo MR X alikuwepo tena kile chumba cha jirani
  • Mhusika aliondoka ofisini na kumwacha MR X akiwa chumba hicho, na hata aliporudi, alimkuta pia
FUNDI WA GARI KUBADILISHA USUKANI WA GARI SIKU HIYO

Pia, siku hiyo ndiyo ile ambayo fundi wa gari alibadilisha usukani wa gari. Mhusika alikuwa yupo amekaa kivulini anasubiria gari litengemae likiwa linafanyiwa matengenezo. Ilikuwa ni baada ya kuwa amelipandisha juu kwenye mashimo yale ya kwenye Gereji. Kwa bahati mbaya, siku hiyo mhusika aliondoka garage akiwa hajagundua kama usukani ulibadilishwa, ila alikuja kugundua kesho yake akiwa tayari alishatoka garage



J2 YA WIKI HIYO (KABLA YA J3 ILE ALIYOKUWA AMEKUSUDIA KUPELEKA GARI GEREJI) MHUSIKA AKIWA KANISANI NA GARI LILILOKUWA LIKISUMBUA GIA KUINGIA

Alipokuwa akiingiza gari ndani ya uzio wa Kanisa alibahatika kupata tena nafasi ya parking kwenye nafasi ile ile ambayo alikuwa amepaki J2 ya wiki juzi; siku ambayo gari lake lilizibwa

  • J2 hiyo pia, baada ya kuwa amepaki gari; kabla hajaondoka kwenye parking KIONGOZI WA VIJANA (tumwite KWV) alifika ghafla maeneo yale na kudai kuwa anataka kutoka na hivyo kumuomba mhusika ampishe ili atoke
  • Mhusika alimweleza KWV gari lake linaleta shida kwenye gia, lakini akaahidi kumpisha kwa sababu REVERSE GEAR ilikuwa inafanya kazi
  • Mhusika aliingia kwenye gari na kuanza ku-manuva gari kwa kurudi nyuma kwa REVERSE GEAR, lakini baadaye KWV aliamua kughairi kutoka na kumuomba mhusika aachane na pilika pilika za kumpisha.
Baada ya kusikia hivyo, mhusika aliweka gari sawa; akashuka na kuanza elekea ndani kanisani kwenye Ibada HILI SASA TULIITE TUKIO LA TATU



TUKIO LA NNE:
KIOO CHA GARI (UPANDE WA DEREVA) AMBACHO KWA MIAKA KADHAA KILIKUWA KIMEGOMA KUSHUKA, KILISHUKA GHAFLA J3 ASUBUHI MOJA MARA BAADA TU YA MHUSIKA KUPAKI GARI KWENYE PARKING ZA GARI OFISINI

Hii ilikuwa ni J3 moja kipindi cha CORONA, ambapo J2 iliyokuwa imepita (kabla ya J3 hiyo), Serikali ilitangaza kwa mara ya kwanza baadhi ya makundi ya watu kuanza kuvaa Barakoa, tangazo lililoyahusu makundi mawaili ambayo ni:

  • Wasafiri wanaotumia dala dala
  • Waendao sokoni
………………….inendelea
 
…………..inaendelea

KIOO CHA GARI KUSHUKA GHAFLA NA HATIMAYE KUGOMA KUPANDISHA JUU


Maelezo ya kina kuhusiana na tukio hili tayari alishayatoa kwenye post hii hapa #901

Ambacho hana uhahika nacho kwenye tukio la siku hii ni iwapo pia MR X alikuwepo tena siku hiyo chumba cha jirani na ofisi ya mhusika; isipokuwa uhakika ni kwamba hata siku hiyo pia MR X alijua kuwa mhusika angeenda Garage kwa sababu ndiyo siku ile ambayo mhusika alirudi akiwa amenunua barakoa; baada ya kuwa ameshawishiwa na baadhi ya staff-mates wake aliowakuta hapo kwenye gereji siku hiyo

Baada ya kuwa amerudi ofisini siku hiyo, MR X alimdadisi mhusika akiwa anataka kujua kuwa barakoa hizo alizinunua wapi!

MAELEZO YA NYONGEZA AMBAYO HAKUWAHI KUYATOA KWENYE POST HII #901

Ni kwamba siku hiyo baada ya kutoka Gereji, alielekea Mlimani City kwenda kununua Barakoa, kama alivyokuwa ameshawishiwa na wenzake aliowakuta pale gereji

Ikumbukwe pia kuwa tatizo la gari siku hiyo halikumhitaji FUNDI WA MECHANICS (tumwite FME) bali fundi wa umeme. Huyu fundi anayeongelewa humu ni FME

Baada ya fundi wa umeme kufanya kazi yake, mhusika alimlipa na kuwasha gari lake kuelekea Mlimani City, huyu mwingine wa FME alimpa tip tu ambayo ilikuwa haina uhusiano na kazi iliyokuwa imefanyika siku hiyo

MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO MLIMANI CITY

Akiwa bado yupo ndani dukani ananunua barakoa, kupitia kwenye vioo vya duka hilo alimuona FME naye akiwa tayari ameshafika maeneo yale; akiwa kama anamsubiria mtu. Walikuwa na jamaa mwingine wa pili. Mhusika alishangaa kidogo kwa nini FME kama naye alikuwa na safari ya kuja hapo Mlimani City, hakuamua kupanda gari la mhusika

  • Baada ya mhusika kutoka dukani akiwa amenunua barakoa, nje alikutana na FME na wakaongea kidogo. Mhusika alimweleza FME kuwa kumbe na yeye alikuwa na safari ya kuja maeneno yale na FME aliitikia naam!
  • Baada ya maongezi yale, mhusika na FME waliachana na mhusika aliingia upande wa pili kwenye benki moja, opposite na lile duka
Baada ya kurudi ofisini, ndiyo sasa wakaonana tena na MR X kwenye chumba cha chai, MR X akawa anadadisi kutaka kujua ni wapi mhusika alikuwa amenunua barako hizo

J2 iliyofuata baada ya mhusika kuwa amenunua barakoa, ndiyo akaja akapigwa koo; kwa sababu Ibada ilifanyikia kwenye JENGO JIPYA.

Maelezo mengine ya ziada kuhusiana na tukio hili tayari yamo humu juwaani

Ikumbukwe kuwa tangazo la Serikali kuvaa barakoa liliwahi kutolewa siku ya Jumammosi ile ya wiki iliyokuwa imepita nyuma yake

Kwa hiyo ilipofika kesho yake, yaani J2 kufuatia Jumamosi ya tangazo la barakoa, ratiba ya Kanisani ikawa imepangwa kuwa Ibada moja kwa Jumapili nyingine inayofuata na ndiyo ambayo ilikuwa ni J2 ya kwanza ambayo mhusika alitarajiwa kuonekana Kanisani akiwa amevaa barakoa. J2 hiyo mhusika alivaa barakoa na akashambuliwa koo

Shambulio la koo halikutokana na barakoa, bali lilitokana na Ibada kufanyikia kwenye jingo jipya

MUBARIKIWE TENA NA BWANA



UP NEXT:


  • MAELEZO MAFUPI KUHUSIANA NA MATUKIO YALIYOWAHI KUFANYWA KWA MHUSIKA NA KIONGOZI WA VIJANA (KWV) KWENYE MIAKA YA 2017/2018 NA AMBAYO NDIYO YALIPELEKEA MHUSIKA AKASITISHA KUHUDHURIA IBADA ZA JIONI ZA KATIKATI YA WIKI TANGU KIPINDI HICHO HADI MUDA HUU
  • MAELEZO YA KIREFU KUHUSIANA NA FUNDI MEKANIKA WA GARI (FME)
 
MAELEZO MAFUPI KUHUSIANA NA MATUKIO YALIYOWAHI KUFANYWA KWA MHUSIKA NA KIONGOZI WA VIJANA (KWV) KWENYE MIAKA YA 2017/2018

MAELEZO YA UTANGULIZI


KWV ndiye mtu hasa aliyeasisi mtindo huu wa kuwa anam-ground mhusika kweye parking, miaka hiyo ya 2017 na 2018; na alikuwa anafanya hivyo katika muda ambao ulikuwa ni wa hatari zaidi kwa mhusika; muda baada ya saa 2:00 usiku baada ya Ibada za jioni za katikati ya wiki kumalizika

Ikumbukwe kuwa kipindi hicho, KWV hakuwa na gari na alichokuwa anafanya hasa ni kuazima gari kwa watu wengine, possibly nje ya kabisa Kanisa

  • KWV alikuwa akiazima gari; gari hiyo inakuwa ni ngeni kwa kila mtu pale kanisani na hata machoni pa walinzi
  • Kwa hiyo inapotokea amemziba mtu na akatoweka maeneno ya parking, ilikuwa ni lazima mtu amsubirie mpaka atakapoamua yeye kuja pale ilipo gari yake
  • Ilikuwa haiwezekani kwa watu kumtafuta mwenye gari iliyoziba mwingine kwa sababu gari ilikuwa inakuwa haijulikani ni ya nani; panakuwa hapana mtu mwenye gari ya aina hiyo pale kanisani
  • Chances ni kwamba baadhi ya walinzi walikuwa wanakuwa na clue ya gari hizo kwa sababu lazima zilikuwa zinapita getini wanaziona, isipokuwa possibly na wenyewe walikuwa wanakuwa wako coordinated kupitia kwa Kiongozi Mkuu wa kanisa A (KM-A)
Mojawapo ya tukio ambalo KWV aliwahi kumziba mhusika na kupotea kwa muda wa dakika za kutosha Ibada ya usiku ikiwa imemalizika, shuhuda wake ni staff-mate wa mhusika; yule shemasi ambaye aliwahi kutangaza tangazo la sadaka maalumu J2 ya tarehe 18/10/2020

…………..inaendelea
 
……inaendelea

MAELEZO MAFUPI KWA MATUKIO MAWILI MUHIMU YAIYOWAHI KUMPATA MHUSIKA AKIWA BARABARANI USIKU BAADA YA SAA MBILI USIKU; KWENYE BAADHI YA SIKU AMBAZO ALIKUWA ANAKUWA GROUNDED NA GARI ZA KWV KWENYE PARKING


  • Kwenye mojawapo ya siku hizo tajwa, akiwa yuko barabani anatoka Kanisani, aliona foleni kubwa ndiyo inaanza kujengeka; mbele yake
  • Magari yalianza kwenda polepole sana na yalikuwa yakifika sehemu iliyo mbele kwenye kilima, yanakuwa diverted na mtu aliyekuwepo maeneo yale na hivyo kupita pembeni
Baada ya mhusika kukaribia zaidi, akagundua kuwa kumbe kulikuwa na Lori ambalo ndiyo lilikuwa limekwama muda mfupi tu na hivyo kuziba njia; baada ya kuwa limeshindwa kupandisha kile kilima cha bararabra ya Shekilango karibu na pale ilipokuwa Hotel 92

Kwa hiyo gari zote zilikuwa zinakuwa diverted pale mara tu zilipokuwa zimelifikia Lori hilo lakini mhusika alipofika pale, badala ya kuwa diverted, yeye alizuiwa wa kwanza, akasimamishwa halafu lori lilikuwa kwenye kilima likaruhusiwa kuanza kurudi nyuma

  • Aliyekuwa anafanya kazi ya kuongoza magari baada ya breakdown ya lori hilo, alionekana kuwa alikuwa ndiyo konda wa hilo Lorry hilo
  • Baada ya mhusika kuona hivyo, alitoka barabarani kwa haraka sana, akapita pembeni mbali na lori hilo na kuendelea na safari yake kwa sababu kulikuwa na nafasi ya kutosha tu kwenye ule upande wa kushoto wa barabrara ambako hata gari zilizokuwa mbele ya mhusika, aliziona zikiwa zinakuwa diverted na kupita huko
Katika hali ya kawaida, mhusika asingelikuta Lorry hilo likiwa limekwama hapo iwapo tu asingekuwa grounded kwenye parking pale Kanisani, amgepita hapo kabla Lori lenyewe halijafika hapo. Ni kwa sababu halikuwa na muda mrefu tangu likwame hapo; foleni iliyokuwa inaanza kujengeka baada ya Lori hilo kukwama ilikuwa inaonyesha dhahiri kabisa kuwa lori hilo halikuwa na muda mrefu pale

TUKIO LA PILI

Mhusika alikuwa ana kawaida ya kuendesha gari usiku akiwa amefungua SUNROOF, kwa ajili ya kupata hewa tofauti na ile ya AC ambayo mara nyingi alikuwa akiitumia almost kila siku kwa siku nzima. Vile vile anapenda kuangalia nyota za angani usiku anapokuwa kwenye mataa au kwenye foleni kubwa

Kwa hiyo alikuwa anapendelea sana kufungua SUNROOF yote pamoja na kioo chake, mara kwa mara usiku anapokuwa anaendesha gari.

Pasipo yeye kujua nini kilikuwa kinaendelea nyuma ya kitendo chake hicho, kumbe kanisani tayari kulikuwa na watu walikuwa wamewekwa pale GETINI KANISANI (PALE GETINI KANISA A KUNA MAMBO MENGI SANA HUWA YANAENDELEA PALE) kwa ajili ya kuangalia trend yake kama huwa anafungua sunroof mara kwa mara

Baada ya kikosi kazi kuwa kime-confirm hivyo mara kwa mara, kwenye Ibada mojawapo tena jioni, KWV akai-ground tena gari ya mhusika. Baada ya kuwa ameachiwa, akapita pale getini kweli akiwa amefungua sunroof na mamlaka za pale zikathibitisha hilo. Somewhere njiani maeneo yale yale lilipowahi kukwama lorry, alikoswa koswa kurushiwa kitu ndani ya gari (hakikurushwa, kilitaka kurushwa kikahofiwa pengine kingeweza kumkosa na kutua kwenye gari jingine) na hajui kilikuwa ni kitu gani

Haya matukio yote yalitukia katika mojawapo ya siku ambazo KWV alikuwa anam-ground mhusika kwenye parking baada ya Ibada za usiku kumalizika, yaani baada ya saa mbili usiku



UP NEXT: FUNDI MEKANIKA WA GARI LA MHUSIKA

Huyu maelezo yake ni marefu kidogo na tutaendelea naye siku nyingine kwa maelezo marefu kidogo

MUBARKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 12 APRIL 2022

HUJUMA NYINGINE KWENYE GARI LA MHUSIKA LIKIWA KWENYE PARKING ZA OFISINI LEO ASUBUHI, ZILIZOKUWA ZIMEKUSUDIWA ZIONEKANE KUWA NI SHAMBULIO LA KIROHO WAKATI SIYO


Senior Mstaafu wa Kike na baadhi akiwemo Mkuu wa Idara; wamekuwa wakitengeneza maigizo ambayo yamepelekea kufanyika kwa hujuma (physical) kwenye gari la mhusika likiwa kwenye parking za ofisni leo asubuhi; huku wahusika wa hujuma hizo wakiwa wamedhamiria mhusika azione hujuma hizo kuwa ni SHAMBULIO LA KIROHO: wakati siyo; ni hujuma za kawaida na si shambulio la kiroho!

Kwa kifupi tu ni kwamba AC iliyoharibika ofisini kwa mhusika wiki mbili sasa, ndiyo inayotumika katika kuunda mlolongo wa matukio ya hujuma hizo zikiwa zimelengwa zionekane kama shambulio la kiroho wakati siyo

Mbali na hayo, AC hiyo bado haijatengemaa hadi leo, na inashughulikiwa na mafundi ambao wamefika tu ofisini kwa mhusika na kujitambulisha kuwa wao ndiyo wanaoshughulikia AC hiyo

  • MHUSIKA WA MATENGENEZO hajawatambulisha mafundi hao, wala kumkutanisha ana kwa ana na mafundi hao; siyo kwamba hana muda hapana ila anakwepa
  • Kabla ya uwepo wa mafundi hawa, mhusika alijaribu kumfuata Mkuu wa Idara (MWI) ili waongee ofisini kuhusiana na swala hilo la AC, lakini Mkuu wa Idara hakuwa tayari kufanya hivyo
  • Alichofanya MWI ni kumchukua mhusika na kumpeleka kwa MHUSIKA WA MATENGENEZO, ambaye naye hakuwa ofisini kwake, bali kwenye chumba kingine jirani cha maabara ambacho kina mlango wa ndani uliounganika na ule wa ofisi yake (MHUSIKA WA MATENGENEZO)
  • Waliongea naye akiwa humo na mhusika hakumbuki vizuri lakini ni kama kulikuwa pia na MUUNGURUMO WA AMSHINE ndani ya chumba hicho, wakati wanafanya maongezi hayo. Hiyo sasa ilikuwa ni J4 wiki jana; AC ofisini kwa mhusika iliharibika tangu J4 wiki juzi
  • Baada ya maongezi hayo kufanyika J4 hiyo, baadaye sasa MHUSIKA WA MATENGENEZO alifika ofisini kwa mhusika IJUMAA ASUBUHI, (kabla ya saa 3:00 asubuhi; mhusika alikuwa na darasa kuanzia saa 3 mpaka saa 6) akafungua mlango na kuchungulia mlangoni na kumweleza mhusika kuwa mafundi watakuja halafu akatoka, hakuingia ndani ofisini kwa mhusika
  • Baadaye kwenye mida kama ya saa 7 mchana hivi, mtu mmoja ambaye alijitambulisha kwa mhusika kama ni fundi wa AC, alifika ofisini kwa mhusika kwa ajili ya ukaguzi na pia kuanza kufanya matayarisho ya matengenezo
  • Baada ya dakika kadhaa, fundi huyu alitoka na baada ya kupita takribani dakika 40 hivi, alirudi tena; halafu baada ya muda mfupi akatoka tena
  • Baada tena ya takribani dakika 40 zingine hivi, wakati huo mhusika akiwa anatokea washroom, waligongana tena na huyu fundi kwenye korido; safari hii akiwa anarudi tena ofisni kwa mhusika
  • Fundi huyu alidai kuwa kwenye mizunguko yote hiyo, alikuwa bado anamsubiria mwenzake afike maeneo hayo ya ofisini ili amsaidie kupandisha hiyo AC, kitu ambacho ni CONTRADICTION kwa sababu kama MHUSIKA WA MATENGENEZO alimpa taarifa mhusika kuwa mafundi watakuwepo kwa ajili ya kazi siku hiyo asubuhi kabla ya saa 3;00, kwa nini huyu mwingine alikuwa bado hayupo eneo la kazi hadi muda wa karibia saa 9:00?
Mbali na hayo, mhusika hakuwa ametambulishwa kwa huyu fundi mwingine ambaye alikuwepo tayari; lakini alikuwa amemuona mara kadhaa kwenye maabara zilizoko ground floor, upande ule iliko ofisi ya MHUSIKA WA MATENGENEZO; na mhusika wa taarifa hizi wakati huo akiwa anaendelea kufundisha darasa lake la saa 3 mpaka saa 6

Kwa hiyo, kinachoonekana hapa ni kwamba kitendo cha mhusika kuwa na darasa siku hiyo ndicho kilichokusudiwa kumtambulisha mhusika kwa huyu fundi; kwa kumuona kwenye korido hizo za ground floor alimokuwa akipita pita

BAADA YA MHUSIKA KUGONGANA NA FUNDI WA AC KWENYE KORIDO IJUMAA HIYO: ALICHOAMUA KUMSHAURI FUNDI HUYO WA AC

Baada ya maelezo ya fundi kuwa mengi siku hiyo (Ijumaa wiki jana); wakiwa humo humo kwenye korido mhusika alimshauri fundi asifanye kazi Ijumaa hiyo na badala yake aifanye J3

Jana J3 kwenye mida ya kama saa 8 hivi, fundi huyu ndiyo alifika tena ofisini kwa mhusika, safari hii akiwa na mwenzake, wakafunga AC nyingine ambayo ni mbovu, sawa tu na ile ambayo waliitoa; akiahidi atarudi tena. Mhusika alitarajia kuwa pengine mafundi hao wangeweaa kuwepo tena leo lakini hajabahatika uwaona hadi muda huu. Jana wakati wanaondoka, waliahdi kuwa wangekuwepo tena leo



USHAURI NA/ AU OMBI LA MHUSIKA KUHUSIANA NA MAFUNDI HAWA

Kwa sababu mafundi wa AC wa kampuni ya siku zote na ambayo huwa ina tenda na taasisi wapo, mhusika anaomba watumike hao. Kama utaratibu wa mafundi hao kutumika una mlolongo mrefu, basi yuko radhi atasubiria hata kama ni miezi mitatu

Hawa mafundi wengine wanaokuja kwa kuvizia vizia watu kwenye makorido na ambao hawajatambulishwa na MWI na/ au MHUSIKA WA MATENGENEZO, mhusika wa taarifa hizi anaomba wasifike tena ofisini kwake. Na iwapo itaonekana kuwa ni muhimu, na ni lazima waendelee kufika ofisini kwake, basi anazidi kusisitiza kuwa mara zote, waambatane na mtu mwenyeji kwa ajili ya utambulisho kamili na si bla bla tu kama ilivyofanyika kwa hawa wa sasa

Mhusika mara zote amekuwa akiomba kuwa watu wote wanaofika ofisini kwake kiofisi ambao hawafahamu,; awe anatambulishwa kwao kwanza halafu ndiyo mambo mengine ya kiofisi yanaendelea baada ya utambulisho

Ufafanuzi mwingine zaidi kuhusiana na swala hili utafuata baadaye; bado yapo mengi ya kuongea kwenye swala la mafundi hawa



MAELEZO MAFUPI KUHUSIANA NA SHAMBULIO KWENYE GARI LA MHSIKA SIKU YA LEO

Shambulio hili linahusiana na betri mpya ya gari na ambayo imepiga kwa shida sana tofauti na ilivyo siku zote. Wakati inafanya hivyo ilikuwa muda wa saa 4 asubuhi mhusika alipokuwa anataka kutoka kwenda benki, wakati saa 2.00 asubuhi ilikuwa iko kawaida, na siku zote imekuwa iko kawaida

Kwa kifupi tu ni kwamba mashambulio yote ambayo huwa yanatokea kwenye gari la mhusika linapokuwa lipo kwenye parking za ofisini MARA ZOTE huwa yana kawaida ya kutokea katika mazingira yafuatayo

  • Lazima gari la mhusika liwe limepaki kwenye parking zilizo mbali kidogo na jengo ilimo ofisi
  • Mbali na hiyo, kwenye upande ule wa uelekeo wa jengo ilimo ofisi ya mhusika, ni lazima gari hilo liwe limepakana na GARI NYINGINE KUBWA yenye kuweza kuliziba gari la mhsika lisionekana lote kwa mtu yeyote anayeweza kuwa yuko upande ule wa jengo ilimo ofisi ya mhusika
MARA ZOTE ili gari hili liweze kushambuliwa, hizi huwa ndiyo condition mbili muhimu sana kuwa satisfied

MARA ZOTE GARI HILI HALIJAWAHI KUSHAMBULIWA KATIKA MAZINGIRA YAFUATAYO LINAPOKUWA LIMEPAKI OFISINI

  • Linapokuwa limepaki bila kuzungukwa na magari mengine makubwa isipokuwa yale madogo tu kama vile saloon AU
  • Linapokuwa limepaki peke yake OFISINI bila kupakana kwa karibu sana na gari nyingine; yaani katika mazingira ambayo upande mmoja au pande zote mbili za gari hiyo; kwenye immediate next parking kunakuwa hakuna gari yoyote iliyopaki pale
Kwa hiyo mashambulio yote ya nyuma kwenye mazingira ya parking za ofisini, MARA ZOTE limekuwa likishambuliwa linapokuwa limepaki kwa kupakana na gari la MR X kwa sababu na yeye pia gari yake ni kubwa na hili mhusika alishawahi kulitolea maelezo humu jukwani kwenye post zilizopita

Kwa sahambulio la leo, gari la MR X halijahusika isipokuwa LA MZEE MWINGINE MSTAAFU ambaye pia ni hired kutoka organization nyingine. Huyu mzee ndiye yule waliwahi kukaa pamoja siku ile ya sikukukuu ya wanawake March 2021



Kwa hiyo kwa kipindi hiki, wafanyakazi waliopo idarani kwa sasa, na ambao wana magari makubwa ambayo yanaweza kupaki pembezoni mwa lile la mhusika na kusababisha kuliziba gari hilo kwa kiasi kikubwa ni MR X na huyu mzee

Mashambulio karibia yote yaliyowahi kutokea huko nyuma, yalikuwa yanahusisha gari la MR X kupaki karibu na lile la mhusika, na kwa umbali kidogo kutoka kwenye jengo la ofisi

Shambulio la mwisho kaisa kabla ya hili la leo, lilihusisha kutoweka gas ya AC ya gari la mhusika, na siku hiyo MR X ndiyo alikuwa amepaki na gari hiyo. Hitilafu hiyo aliibani jioni wakati anarudi nyumbani

Hata hivyo hili la gas ya AC limekuwa likifanyika mara kadhaa pia kwenye parking za nyumbani, MARA ZOTE usiku wa J2 kuamkia J3

Utafiti wa mhusika mpaka muda huu unamwonyesha kuwa zaidi ya 95% ya mashambulio haya huwa ni hujuma ambazo zinakuwa ni njama za kupangwa na mara nyingi yamekuwa yakitokea kwenye tarehe za mwisho wa mwezi au mwanzoni mwa mwezi

Swala hili la gas ya AC, ataliongelea kwa kina zaidi ATAKAPOKUWA ANAMWONGELEA FUNDI MEKANIKA WA GARI



AC ILIYOHARIBIKA OFISINI KWA MHUSIKA WIKI MBILI ZILIZOPITA MPAKA MUDA HUU BADO HAIJATENGEMAA

Labda pengine AC hiyo inatarajiwa kutengemaa siku ya ALHAMIS, ambayo kesho yake NI IJUMAA KUU;
na kama itatokea tofauti basi possibly ni kwa sababu ameisemea humu jukwaani

Kwa hint ya muhimu tu ni kwamba kwa sasa Senior Mstaafu wa Kike haonekani kama yuko kawaida tena



HITIMISHO


Kwa hili, uhakika ni kuwa Senior Mstaafu wameshirikiana na MWI, ambaye pia ni mwanae.

Senior Mstaafu huyu ndiye aliyekuwa amepaki upande wa pili wa gari la mhusika, huku mzee mwenye gari kubwa akiwa amepaki upande mwingine. Hawa watu mhusika anawajua na configuration ya namna gari hizo zilivyokuwa zimepaki ndiyo ilikusudiwa mhusika aichukulie kuwa ni sahmabulio la kiroho wakati siyo kweli; wanakuwa wamepanga hujuma kijanja

Mama ameshirikiana pia na watu wengine kadhaa na mmoja wao akiwa ni mgeni ambaye alihamia kwenye taasisi akitokea Dodoma; MHUSIKA WA MATENGENEZO. Kati ya watu watatu waliohamia hivi karibuni kutoka Dodoma, wawilil kati yao ndiyo wanaohusika na ukarabati/ matengenezo; na wa kwanza kabisa kuhamia hajafikisha hata miaka 6 tangu ahamie idarani

Maelezo mengine ya ziada kuhusiana na swala la AC ya ofisini kwa mhusika yatafuata kuanzia kesho

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
COMING UP NEXT:

SWALA LA AC ILIYOHARIBIKA HIVI KARIBUNI: HOW IT ALL BEGAN - CHRONOLOGY OF EVENTS


Kwa nyongeza tu ni kwamba J4 wiki hii aliwekewa AC nyingine ambayo nayo pia ni mbovu kama iliyokuwepo awali; haifanyi kazi. Inaunguruma tu, lakini haifanyi kazi
 
UPDATE: WEDNESDAY 13 APRIL 2022

SWALA LA AC ILIYOHARIBIKA HIVI KARIBUNI: HOW IT ALL BEGAN - CHRONOLOGY OF EVENTS


  • J3 ya tarehe 28 March 2022 alianza kufundisha vipindi kwa mara ya kwanza ndani ya mwaka huu. Mpaka siku hii, AC yake ilikuwa inafanya kazi kama kawaida
  • J4 ya tarehe 29 March 2022 asubuhi alibaini kuwa AC imeharibika; hata hivyo hakuweza kuripoti siku hiyo
  • Ijumaa ya tarehe 01 April 2022 kwa mara ya kwanza mhusika aliwaona mafundi wa AC wakifanya kazi ndani ya jengo wakiwa pamoja na mhusika au msimamizi wa matengenezo (tumwite MSMA).
Hapa anatumia maneno kwa mara ya kwanza kwa sababu kilikuwa kimeshapita kipindi kirefu mno tangu mara ya mwisho mhusika alipowaona mafundi wa aina hii wakiwa wanafanya kazi ndani ya jingo hilo.

Kati ya mafundi hao aliowaona Ijumaa hiyo, huyu mwingine aliyefika ofisini kwa mhusika J3 ya tarehe 11 April 2022 hakuwa mmoja wao

Baada ya kuonana na MSMA Ijumaa hiyo huku akiwa anao mafundi wa AC, mhusika alimjulisha MSMA kuwa AC yake nayo pia imeharibika. MSMA alimwahidi mhusika kuwa kuna baadhi zinarekebishwa na hivyo atawaleta mafundi waje wamfungie moja temporarily, pending zingine mpya ambazo ziko kwenye mchakato wa manunuzi na ambazo zitakuja kufungwa permanently.

Hiyo sasa ilikuwa ni Ijumaa ya tarehe 01 April 2022.

Wiki hiyo ikapita na kuanza wiki nyingine

  • J3 ya tarehe 04/04/2022 MSMA akawa yuko kimya, wanapishana tu na mhusika kwenye korido
  • J4 ya tarehe 05/04/2022 asubuhi mhusika akafika ofisini kwa Mkuu wa Idara (MWI); ambaye alionekana yuko kwenye hai hai za kutoka lakini mhusika alibahatika kumweleza MWI kuwa AC yake imeharibika kabla hajatoka
  • Baada yahapo, MWI alishauri muda huo huo washuke chini ground floor wakaonane na MSMA
  • Mhusika na MWI walishuka chini hadi ofisini kwa MSMA
Kitendo hiki sasa cha wawili hawa kushuka chini ground floor na hadi kufikia ile hatua ya kuonana na MSMA; kwa namna moja ama nyingine kina details ambazo si za muhimu sana lakini mhusika angependa kuziongelea

Ni kwamba MSMA yuko ofisi moja na binti mwingine mgeni aliyehamia hivi karibuni akitokea Dodoma; ambaye kwa sasa ana takribani mwaka mmoja tangu ahamie idarani

MWI na nhusika walipoingia ofisini, walimkuta huyu binti yuko peke yake isipokuwa mlango mwingine wa ndani kwa ndani wa ofisini humo ulikuwa wazi

Baada ya mhusika na MWI kuingia ndani, walipitiliza kwa kutumia ule mlango wa ndani kwa ndani; hadi kwenye chumba ambacho MSMA allikuwa anafanya kazi. Alikuwa kwenye chumba kidogo cha maabara ambacho mlango wake umeunganika ndani kwa ndani na ofisi yake

……………………inaendelea
 
……………………inaendelea

WALICHOONGEA MWI NA MSMA KUHUSIANA NA SWALA LA AC YA MHUSIKA


MWI na MSMA hawakuongea chochote kigeni isipokuwa kile kile ambacho MSMA alikuwa tayari ameshamweleza mhusika

  • Baada ya maongezi hayo, mhusika na MWI walitoka na kuelekea sehemu nyingine isipokuwa maeneo yale yale jirani; MWI alikuwa na maelekezo mengine ya ziada kwa mhusika
  • Binti waliyemkuta ofisni, hawakumuaga walipita kwenye mlango mwingine wa kutokea nje ulio kwenye chumba hicho na hivyo binti huyu hakubahatika kujua ni nini watatu hawa waliongea siku hiyo; kwa sababu maongezi yao yalifanyikia kwenye chumba kingine
Hiyo siku ya J4 tarehe 05/04/2022 ikapita

  • Ikaja siku ya J5 nayo pia ikapita; MSMA akiwa yuko kimya
  • Siku ya Alhamis nayo pia ikapita; MSMA akiwa bado yupo kimya
Hatimaye ikafika sasa Ijumaa ya tarehe 08/04/2022 (wiki jana)

Ikumbukwe kuwa kwenye window ya siku hizi kuanzia J4 hadi Alhamis ambazo MSMA aliendelea kuwa kimya; wawili hawa walikuwa wanaonana kwenye korido na kila mmoja alikuwa anakuwa yuko kimya juu ya mwenzake kuhusiana na kile walichoongea J4, walikuwa wanasalimiana na /au kuongea mambo mengine tu. Mhusika naye pia alikuwa haulizii ni nini kinaendelea kwenye ukimya huo, na MSMA naye wala alikuwa hata hampi feedback zozote mhusika kutokana na ukimya aliokuwa ameutengeneza. Hatimaye sasa ndiyo ikafika Ijumaa ya tarehe 08/04/2022



BAADHI YA MAMBO MUHIMU YALIYOJIRI SIKU HIYO YA IJUMAA YA TAREHE 08/04/2022

Siku hiyo ya Ijumaa mhusika alifika ofisini mapema asubuhi na kuanza kutayarisha darasa ambalo alikuwa nalo kuanzia saa 3:00 asubuhi mpaka 6:00 mchana

Dakika chache kabla ya saa 3:00 asubuhi, kabla hajenda darasani; MSMA alifika ofisini kwa mhusika; hakuingia ndani

  • Alifungua mlango kidogo tu na kuchungulia ndani, huku akimweleza mhusika kuwa mafundi watakuja siku hiyo, hakutaja muda
  • Baada ya hapo MSMA aliondoka; na mhusika naye akaendelea na shughuli zake
Alipokuwa anakaribia kumaliza shughuli zake, mhusika alielekea upande wa jengo kule ziliko ofisi za MSMA akiwa na kundi la wanafunzi; kuna kitu muhimu alikuwa analazimika kukifanya huko akiwa na kundi hilo la wanafunzi, kabla ya kumaliza kipindi na kuwaruhusu wanafunzi hao kutawanyika

  • Kitu alichokuwa anatakiwa kukifanya mhusika na kundi hilo la wanafunzi, ni routine na kilikuwa kinajulikana na kila mmoja kuwa ni lazima kingefanyika; na vile vile mahali ambapo huwa kinafanyikia
  • MARA ZOTE huwa kinafanyikia kwenye maabara iliyoko chini jirani na ofisi za MSMA
  • Baada ya mhusika kufika eneo hilo akiwa na wanafunzi, ndiyo kwa mara ya kwanza alibahatika kumuona fundi mwingine aliyeonekana kuwa ni wa AC; kwa sababu alikuwa na AC zilizoonekana kuwa ni mbovu akiwa ameziweka chini kwenye veranda iliyopo maeneo yale
Fundi huyu alikuwa ni mgeni kabisa machoni pa mhusika; alikuwa hajawahi kumuona hata mara moja. Mhusika anawafahamu sura mafundi wa AC ambao huwa wana tenda na taasisi na ambao mara zote wamekuwa wakifanya service za AC ndani ya jengo. Huyu wa siku hii alikuwa mgeni kabisa machoni pa mhusika, na alikuwa peke yake

MOJA KICHWANI: ...................."hawakumuaga walipita kwenye mlango mwingine wa kutokea nje ulio kwenye chumba hicho"

…………………….inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUMALIZA DARASA LAKE NA WANAFUNZI KUWA WAMETAWANYIKA

Mhusika alirudi ofisini kwake

Baada ya muda ndiyo sasa fundi huyu mpya wa AC akafika ofisini kwa mhusika akiwa peke yake na kilichoendelea baada ya hapo, maelezo yake ameshayatoa tayari kwenye baadhi ya maelezo yaliyoko kwenye post hii hapa #955; Hii ni kutokana na kile ambacho mhusika alikiona kuwa ni contradiction iliyojitokeza kwenye maelezo ya fundi huyu mpya wa AC, ukizingatia kuwa wawili hawa hawakuwa wamekutanishwa hapo kabla na hivyo hawakuwa wametambulishwa

NYONGEZA MUHIMU AMBAYO MHUSIKA HAKUIONGELEA KWENYE MAELEZO HAYO (post #955;)

Baada ya fundi huyu mpya wa AC kufika ofisini kwa mhusika na hatimaye kutoka tena halafu akarudi na hatimaye kutoka tena kwa mara pili: Kabla fundi huyu hajarudi baada ya kuwa ametoka ile safari ya pili;

  • Mhusika naye alitoka akiwa anaelekea kule ziliko ofisi za MSMA
  • Alipofika huko; alikuta mlango wa ofisi hiyo umefungwa; kitendo kilichoashiria kuwa wenye ofisi (MSMA na binti) wote hawakuwamo ndani ofisini
Mhusika aliendelea mbele kidogo akijaribu kuu-access mlango ule alioutaja hapo juu akisema

..................."hawakumuaga walipita kwenye mlango mwingine wa kutokea nje ulio kwenye chumba hicho"

Baada ya kuufikia mlango huo, kitasa cha mlango kilifunguka na MSMA alikuwemo kwenye chumba kile kile walichomkuta siku ya J4 kipindi mhusika alipokuwa ameambatana na MWI; isipokuwa binti tu ndiye ambaye hakuwemo ofisini

Hapa tayari kukajitokeza contradiction nyingine kwamba

  • As long as maabara aliyokuwamo MSMA ina mlango unaounganika na ofisi yake, hapakuwa na haja ya mlango wa ofisi ya MSMA kufungwa pamoja na kwamba binti hakuwemo ofisini
  • Sehemu aliyokuwa amekaaa MSMA kwenye kile chumba kingine, ipo katika namna ambayo si rahisi mtu akaingia kwenye ofisi hiyo huku wakati huo huo MSMA akiwa yupo kwenye chumba jirani na ambacho kina mlango unaounganika na ofisi hiyo, na ambao mara nyingi unakuwa uko wazi. Hata siku hiyo mlango huo ulikuwa wazi pia
Kilichopelekea mhusika ahitaji kuonana na MSMA Ijumaa hiyo ni baada ya kumuona fundi wa AC anafanya kazi katika namna ambayo alikuwa hajiamini na anaongea maneno ambayo yanaji-contradict

Mhusika alimuuliza MSMA kuwa “huyu fundi uliyesema asubuhi kuwa atakuja ni yupi”? MSMA akajibu kuwa “ni huyu aliyekuwa anfanya kazi hapo nje asubuhi”. Wakati maongezi haya yanafanyika, kulikuwa pia na mashine nyingine iliyokuwa ikiunguruma kwa sababu alikuwepo pia mwanafunzi aliyekuwa akifanya kazi pamoja na MSMA

Baada ya hapo, mhusika alimjulisha MSMA kuwa fundi huyu anafanya kazi akiwa kama ameogopa vile

Baada ya hapo; mhusika aliondoka ofisini kwa MSMA, na kabla hajafika mbali, ndiyo wakagongana tena sasa na fundi AC waliyekuwa wanamwongelea na MSMA; wakati wakati huo (fundi) akiwa anamsubiria yule mwenzake ili waweze kufanya kazi.

Pale pale mhusika alimshauri fundi kuwa wasifanye kazi siku hiyo na badala yake wafanye J3. Ni kwa sababu hadi muda huo uliokuwa ni saa 9 au dakika chache kulekea saa 9; fundi huyu mwingine alikuwa bado hajafika maeneo ya ofisini.

Vinginevyo kama mhusika asingemshauri fundi huyu asitishe kazi Ijumaa hiyo; basi muda huo huo ambao mhusika alikuwa narudi ofisini kwake akitokea ofisini kwa MSMA, ndiyo muda ule ule ambao fundi naye angerudi tena ofisini kwa mhusika kwa ajili ya kumsubiria mwenzake ili waweze kuendelea na kazi. Scenerio hii ingeonekana kuwa mhusika alimfuata fundi huyo siku hiyo na kumleta ofisini kwake

Kwa siku za hivi karibuni, ukimuona mtu mgeni kutoka nje ya taasisi na ambaye siyo staff-mate wa mhusika yupo ofisini kwa mhusika; ujue kuwa mtu huyo amefika mwenyewe ofisini kwa mhusika au ameletwa na staff mwingine.


Baada ya mhusika kuwa ameachana na fundi huyu, aliamua kupumzika kidogo kwa dakika kadhaa nje ya geti kuu la jengo, ground floor; na baada ya kitambo kifupi, alimuona sasa binti Yule office-mate wa MSMA akiwa anarudi ofisini. Kumbe alikuwa ndani ya jengo ila upande ule wa ground floor ulioko nje ya geti kuu. Binti huyu aliingia kupitia lango kuu na kurudi ofisini kwake

……………………inaendelea
 
BAADHI TU YALIYOJIRI SIKU YA J3 YA TAREHE 11 APRIL 2022

Mhusika alikuwa na darasa kuanzia saa 1:00 hadi saa 4:00 asubuhi

Baada ya kumaliza darasa; baadaye tena aliamua kushuka ground floor ili akaonane na MSMA kwa ajili ya maongezi mengine; kuna kitu alikuwa anahitaji msaada

  • Safari hii ilitokea coincidence iliyopelekea wakakutana kwenye korido; MSMA alikuwa anatoka
  • Still mhusika alifanikisha kufikisha ujumbe aliokuwa nao na MSMA aliahidi kuufanyia kazi
Baada ya saa 7, fundi wa AC alliingia tena safari hii sasa akiwa na mwenzake. Walitoa ile AC mbovu iliyokuwepo wakaja wakaweka nyingine mbovu; ambayo possibly ni mbovu zaidi kuzidi hata iliyokuwepo

Mbali na hivyo, waliahidi wangerudi kesho yake, yaani jana J4, wakati huo huo wakifungua na kuondoka na AC nyingine iliyokuwa chumba jirani

Hadi leo hii mhusika hajabahatika kuwaona tena mazingira ya ofisini.

HITIMISHO

Ukarabati umekuwa ukiendelea kwenye jengo hadi sakafu imepakwa vanishi ikawa inang’aa mithili imewekewa supe-glue wakati huo huo baadhi ya watu wanahangaika na mijasho ofisini hawana AC. Unapakaje vanish kwenye sakafu ya cement kama ukarabati wakati watu hawana hata AC?

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT: FUNDI MEKANIKA WA GARI
 
Back
Top Bottom