webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 382
Dah ni zaidi ya tusi!Bahati mbaya yule Maji Marefu hajui kutumia komputya! Yaani wewe na huyo mbunge tofauti yenu ni wewe kufahamu keyboard!
Dah ni zaidi ya tusi!Bahati mbaya yule Maji Marefu hajui kutumia komputya! Yaani wewe na huyo mbunge tofauti yenu ni wewe kufahamu keyboard!
ndugu, ni hospitali ngapi zinakosa hata ilo dripu??? hao ma daktari na tabaka letu tu , hawa endi huko India, hao waliotaka kumuu Dr. Ulimboka ndo wanajua hata akifa wao haiwahusu kwani huwa hawatibiwi hapa nchini, ndugu Ally Kanah , lazima ujiulize kwa nini madaktari wanagoma mara ya tatu sasa, serikali , mara zote mbili za kwanza imefanya kitu gani kuboresha mazingira ya kazi ?? je vitendekea kazi vinatosheleza??? kwa nini maslai ya mapiga porojo bungeni na wachapa usingizi toka gombe yawe makubwa kuliko ya hawa wanarinda afya zetu ????Nikacheck hali kwenye Hospital ipi hali yakuwa kuna watu wamepoteza maisha kwa kukosa mtu wa kumtundikia dripu tu Je ni akina mama wangapi wajawazito waliopoteza uhai kwa kukosa wakuwasaidia kujifungua?Au wewe na hao wenzenu kitu cha Appolo India nn? Ndio maana huna uchungu kwa haya wanayoyafanya akina Dk Ulimboka na wenzake?Hivi Mama yako kaumwa ghafla umempeleka pale Mwanayamala Hosp a kakosa hata mtu wa kumpa huduma ya kwanza then kapoteza Maisha hivi ungejisikiaje? Au wewe umekalia kupiga siasa na kuacha uhalisia
Du! Nimeamini watu wana roho ngumu! Sasa sijui tuwaombee waliompiga? Get serious people. If Dr did anything wrong, they'd have taken him to court. What would you feel if you found your family member in a dying case then one says we should not pray for his recovery? So sad! Hata sijui ni imani gani hiyo isiyohubiri upendo.
Jamani members wa JF naomba tupunguze Jaziba, Kuumizwa kwa Dr. Uli imeonekana ni issue ambayo inatawala katika Media nyingi. Naomba kuuliza mtu mweye takwimu ya kamili ya watu waliokufa kutokana na Mgomo ule wa awamu ya kwanza na huu unaondelea kwa sasa ndipo tuanze kujadili issue ya mtu ambaye hajafa bado Dr. Uli. Naomba kuwasilisha tujadili bila jaziba
Ndugu katika Bwana fikiri mara mbili kabla ya
Kushangilia huu udhalimu wa ma dktr
Zidi ya wasionacho
Kuwa na huruma ya kimungu hawo ma dk
Ni wanyama wanaroho ngumu sana kwa pa
moja tuiombee nchi yetu
Mkuu Mag3, hizi theories ni my own formulations. Issue ya Dr. M niliyoyasema was facts.Masikini Pasco! Naona malimbukeni mnazidi kuongezeka tu...je unakumbuka theory yako kuhusu ugonjwa wa Mwakyembe? Nashangaa hadi leo hujawaomba radhi maGT wa JF. Sasa leo unaibuka na mengine na kama kawaida wako vilaza wanakupongeza, pole sana!
Mkuu unajua ni madaktari wangapi wamepata matatizo ya kiafya sababu ya mazingira hatarishi ya kufanyia kazi?
Unajua ni mara ngapi madaktari wanashindwa kufanya kazi simply because syringes hamna?
Ni wagonjwa wangapi hufa sababu hospitali hazina vifaa? Wewe kama daktari utajisikiaje ukiambiwa nchi haina hela wakati wabunge wanajiongezea allowance by 100%?, ahadi walizopewa zimepuuzwa?
I'M NOT HAPPY WITH THE STRIKE. But let's get in the doctor's shoes and feel the pinch! Unaposema tusimuombee Dr Uli unamaanisha kuwa unafurahishwa na mateso aliyopata. Hapo ndo nahisi concussion. Kwa hiyo tuwapongeze waliomtenda hayo?
na hawa madoctor wanaokubali wagonjwa wafe kisa mgomo kwa mtazamo wako ni mafiraauni au ni vibaraka!!!Nimeamini nyie hapo juu wawili ni mashetani halisi! Mmhh unaweza sema unakaa na binadamu kumbe ni ma ibilisi! Lord have mercy!
hukuona wagonjwa wote mpaka mkawakusanye wajawazito kwenye wodi moja muwapige picha,kwani wagonjwa wanaopata tabu ni wale wanaosubiri kujifungua kwa njia salama tu!!!!
Inatupasa kumuombea mabaya zaidi Dk Ulimboka kwani hata tukimuombea apone hana msaada wowote na maisha ya wagonjwa maskini katika nchi hii
Sio makosa yako ni utikiti maji mixer makamasi GAMBAGWANDA mkubwa wewemember wote wawili hapo juuu wametumwa ni junior member....
nyambafu
Halafu itakusaidia nini? Hivyondivyo maadili ya dini yako yanavyokufundisha?Hata kama alikuwa na makosa ya kudai haki yake aliyokuwa anadai huwezi kumuombea mabaya ndugu,Hata siku moja usifanye kitu kama hicho,kumbuka ww ni binadamu una kaka,dada,baba,mama,mjomba shangazi na wengineo,kama wakifanyiwa jambo ambalo siyo na mtu akawaombea mabaya utafurahia kiasi gani? kama Ulimboka anakosa acha vyombo vya seria vinavyo fuata tarajibu za nchi zimchukulia hatua ndiyo ufurahiye na si kufurahiya kitendo cha kigaidi alichofanyiwa.Ubarikiwe na uwe na moyo wa huruma siku zote za maisha yako.Amina