Mkasa uliomkumba 'mlevi' mmoja leo

Jerrymsigwa

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
14,065
8,327
Hii kituko kimetokea leo asubuhi mitaa ya kwetu ambapo mtu wa umri wa miaka 30 mwanaume amenusurika kufa kwa kile kinachodhaniwa ni ulevi wa kupindukia baada ya kuspend usiku mzima ndani ya jalala la chuma, kisa kilikuwa hivi;

Majira ya saa1 asbh leo gari za kukusanya uchafu kama kawaida zinapita na kukusanya uchafu kisha unaenda kuchomwa huko Pinelands ndipoojawapo ya 'bin' lililokuwa hifadhi ya mda ilipobebwa na kumwagwa ndani ya gari kubwa likiwa na mtu ndani ambae hakuwa na faham mpk pale alipoangushiwa ndani ya gari kubwa na kusababisha maumivu makali na kupiga yowe.

Dereva aliogopa na kupiga simu polisi ndipo polisi, resque team na emergence wakafika na kukuta kijana akiwa hoi ndani ya pipa la uchafu. Hii imekuwa gumzo kubwa hapa town kwani ingekuwa hakupiga kelele basi angekutana na mashine za kusaga uchafu na huenda angepoteza uhai. ImageUploadedByJamiiForums1400935635.236605.jpg ImageUploadedByJamiiForums1400935649.905779.jpg

Ulevi ni noma, weekend njema
 
Siku zake bado sana wenzake wanasagwa wanatoka vichembe vichembe, ashukuru sana hayo mayowe yake kusikika
 
Siku zake bado sana wenzake wanasagwa wanatoka vichembe vichembe, ashukuru sana hayo mayowe yake kusikika

Kweli aisee maana angekatwa katwa na vyuma huenda ataacha ulevi straight away today
 
Hii Pinelands ya kwa Madiba au..!?? Maana kuna pombe za bei rahisi sana kiasi ukipiga fuko zima peke yako basi na akili zote zinaenda likizo fastaaaaa... Kheri yake kwa kuokoka na vyuma, Inabidi aache pombe haraka mno:msela::msela::msela::msela::msela:
 
Back
Top Bottom