Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,670
- 13,150
Hapo ndipo huwa sielewi kabisaaaaa 'unamfukuza mtu kazi kwa kosa fulani kesho unamwajiri kazi kubwa zaidi' Sasa hapa nani anakomolewa aliyefukuzwa akaajiriwa au aliyefukuza akaajiri?!Magufuri mjanja...lazima atamfuta machozi mda si mrefu kwa kumpa posti kubwa kama kuwa mkuu wa hospital ya muhimbili kitengo cha mifupa kwani aliepo bado anakaimu.