mkaribisheni basi MPIGILIE...

mpigilie

JF-Expert Member
Sep 14, 2011
310
136
Natamani ningeanza mda mrefu ingawa najua sijachelewa sana kwenye hili jukwaa la wenye hoja zenye ujazo mithili ya uzito wa tatizo la mgao wa giza.
Ni hayo tu,tutakutana zaidi jukwaani... Mungu awabariki mpate maisha marefu kama msururu wa mafisadi tz.
 
Back
Top Bottom