Ben awe jasiri tu badala ya kumuachia Mungu amuhukumu aseme tu wampeleke mbele ya mahakama na huko ndio aweze kujisafisha mbele ya watanzania wote ama sivyo atakufa kihoro!!
Au akiri na kutuomba radhi watanzania kuwa alikosea kutoa nafasi kwa Mramba na Mpenzi wake Anna kumtawala hadi kufikia hatua ya kumpiga na Situli. Hapo tutamwelewa na kumsamehe.