Kikojozi
JF-Expert Member
- Mar 24, 2009
- 331
- 1
Kama hatuko tayari kumpeleka mheshimiwa BWM mahakamani ili ukweli wa tuhuma uthibitishwe na hatua stahili zichukuliwe, basi tumuache apumzike kwa amani.
Hizi tabia za watu wazima kupoteza mda kusengenya wengine (hata kama ni kwa maslahi binafsi) ni kiashiria cha taifa la watu wenye mdumao wa akili.
Hizi tabia za watu wazima kupoteza mda kusengenya wengine (hata kama ni kwa maslahi binafsi) ni kiashiria cha taifa la watu wenye mdumao wa akili.