Slaa anazeeka vibaya naona.
OTIS
Aamah!!
Sasa hebu tuwekane sawa hapa Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi naye ni mjumbe kwenye hiyo kamati ya CCM?
Kwani inajalisha? Haijalishi!
Wacha uwongo wewe! angekuwa makini angeongea pumba wakati wa uzinduzi wa kampeni kule Arumeru, ati Vincent Nyerere sio wa ukoo wa nyerere! Mtu makini asingekuja na hoja mfilisi kama hiyo. Kwani kuwa na nasaba na Nyerere ni dili?Dr mkapa ni mtu makin sana hawezi kuwa na myopia vision kama weewe.mwandishi wa thread hii muongo ,maana ametoa mfano wa amosi makala kupitishwa kwa nguvu, makala amekuwa mbunge mwaka 2010 wakati mkapa ame retire 2005 ! Wapi na wspi?
unatumika vibaya kijana, lakini yakupasa kujua kuwa mwisho watakutupa kama kondom iliyotumika.Slaa anazeeka vibaya naona.
OTIS
Slaa anazeeka vibaya naona.
OTIS
Jana Dr. Slaa amedai kuwa ktk vikao vya siri vya ccm anekaririwa rais mstaafu BWM akiishinikiza tune ya uchaguzi kuitangaza ccm imeshinda uchaguzi wa Arumeru hata kama wameshindwa kwa sababu wataenda mahakamani na kesi itafia huko.
Napata picha kuwa ccm ni wezi, wanyang'anyi na wauwaji mbinu kama hii ndio iliyompa ubunge Makala baada ya mkapa kumtishia maisha mbunge wa cdm aliyekuwa ameshinda Mvomero baada ya kushindwa kumhonga
Tusikubali ushenzi huu cz wanajua fika tume na mahakama ni wateule wa mwenyekiti wao
BWM ni miongoni mwa viongozi bora barani AFRIKA,chuki zenu weka kapuuuuuuuuuuuuuuni a.k.a trashhhhhhhhhhhhhhhhhout.Kusema Vicent Nyerere si mtoto wa Mwl. JK Nyerere alikuwa sahihi.Japo kuwa ni ndugu yake ! Hilo suala limegeuzwa kama ni kosa kwa MKAPA ambaye amefanya mambo mengi makubwa na yanaonekana.Mfano barabara na madaraja yamejengwa kwa wingi wakati wa utawala wake.Tuhuma ambazo azithibitishwa si vizuri kuzitumia kuwachafua viongozi wastaafu.
Kwanini wanalazmisha ushindi?