Mzinza wa town
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 347
- 368
Kumekuwa na baadhi ya wabunge wamekuwa wakitoa hoja ya Raisi kuongezewa muda. This is crazy! For what special Magufuli regime can do that wouldn't be done in next regimes? Kwani hakukuwa na watu waliotaka Mkapa au Kikwete aongezewe muda?
Jamani wabunge wa CCM msiendelee kutuudhi.
PAYE 19+%,
Loan board 15%,
Vikokotoo,
Etc.
Jamani oneni aibu basi
Jamani wabunge wa CCM msiendelee kutuudhi.
PAYE 19+%,
Loan board 15%,
Vikokotoo,
Etc.
Jamani oneni aibu basi