Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,278
- 92,339
Kuna mtu alikuwa anatibiwa India huku akilala 5 star hotel, hana ubavu wa kutunishiana msuli na jiwe hana usafi huo.Bora umerudi Mkuu....kwa hiyo yale mapendekezo yalipokewa jana pale getini badala ya ndani ya bunge Serikali haibanwi kwa lolote kwenye utekelezaji wake?
Kwa hiyo Magufuli atakachokifanya ni kuchagua vifungu atakavyovutiwa navyo kufanyia kazi.
Hata ile ripoti yote akiamua kuitekeleza kabatini ni yeye, hakuna kifungu kinachombana.
Hivi kamati za bunge hufanya kazi za kibunge au serikali.?
Lini Rais amewahi kuunda tume, mapendekezo yake yakapelekwa bungeni.....?
Kwa nini tunafika hatua ya kumwamini mtu binafsi badala ya mfumo.?
Tatizo la Tanzania ni ccm, kwingine kote tunazunguka, nadhani umemsikia msomi Bashiru ameweka wazi yeye sasa hivi hawezi kuongelea katiba mpya. Utaratibu ni uleule si vizuri kuongea ukiwa mezani unakula.
Ndugai anaijuwa vyema kazi yake ila ukumbuke yupo mezani kwa bwana kwenye kalamu.