Mkapa na Kikwete: Ole wenu..Tuepushieni balaa

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
Waheshimiwa Mkapa na Kikwete,

Mmekuwa mashuja wa kupuuza vilio vya wananchi na kushughulikia kwa nguvu kubwa matakwa ya Wanyonyaji.

Mmeachia nchi yetu itekwe na majambazi wa kimataifa wa uchumi, mmekula nao mvinyo na hata jibini, lakini kushughulikia na kuweka kipaumbele matatizo ya Tanzania kwa manufaa ya Watanzania mmekuwa ni wagumu kufanya kazi hiyo.

Haya ya Uhujumu Uchumi yaliyotokea katika miaka 12 ya Uongozi wenu ambayo yamelitia aibu na kuongeza umasikini Taifa letu, si mambo ya kupuuzwa na kushughulikiwe Kesho au Keshokutwa. Yangeshughulikiwa Jana na Juzi.

Wote nyie wawili mnatuhumiwa kujihusisha na kuwa karibu sana na Watu ambao wanaonekana ni Wahujumu wa Uchumi wetu na mafisadi.

Kikwete unawekwa kundi moja na wale wanaotuhujumu madini, na urafiki wako na Sinclair, unatatiza Watanzania wengi. Umeingia madarakani kwa kusadikika pesa za hujuma zilitumika na ndio maana unakuwa mzito kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na Uhujumu wa BOT.

Tangu uingie madarakani, miaka miwili na nusu iliyopita, tumekumbwa na Kashfa ya EPA uliyorithi kutoka kwa Mkapa, Richmond, TRC, ATCL na sasa Rada ambayo nayo uliirithi kutoka kwa Mkapa.

Umeshindwa kuchukua hatua kali za kinidhamu hata kama ingekuwa ni geresha toto kwa Lowassa, Karamagi na Chenge, ambao wana tuhuma kubwa za uhujumu, lakini wanapeta kama wafalme kila kona ya nchi na kujisifu.

Mkapa wakati wa himaya yako, BOT ilifanywa kuwa kisima cha wahujumu, Tangold, Meremeta, EPA, Mwananchi Green na kashfa kibao ambazo jumla ya fedha zilizohujumiwa ukiwa Rais wa Taifa si chini ya Dola za Marekani Millioni Miatano ($500,000,000.00)

Wakati wa utawala wako, Tumenunua Rada kwa ulaghai na Rushwa, Tumeingia mkataba na IPTL kwa rushwa, tumenunua ndege ya Rais kwa rushwa, inasemekana umenunua Mgodi wa makaa ya mawe, kuanzisha kampuni, kuhodhi nyumba za Serikali, Msajili, Shirika la Nyumba na ardhi nyingi kwa kutumia rungu la Urais.

Katika utawala wako tumeuza kiholela mashirika mengi ambayo yalikuwa ni manufaa ya wananchi, na kwa Taifa, lakini yakauzwa kwa Idhini yako kiholela na kwa bei ya kutupunja.

Nawaombeni sana muwe wazi na Watanzania. Kama mlifanya uzembe, kubalini kufanya Uzembe. Kuendelea kutudharau na kutudhalilisha si haki, si sawa na si Uungwana.

Hasira ya Raia na Wananchi wa Tanzania inachemka. Nyinyi wawili mnauwezo mkubwa kusawazisha yote yaliochafua sifa ya nchi yetu na kutudumaza katika umasikini.

Naomba niwakumbushe yaliyotokea kwa yule aliyekuwa Rafiki yetu mkubwa Bwana Nicolae Ceausescu. Jiulizeni, je siku ikifika ngome ya ulinzi ikapasuka na hasira za Wananchi zikazidi kikomo, je yaliyomfika Ceausescu yatawafikia? kama yatawafikia, itakuwa ni aibu gani kwenu binafsi na familia zenu na kwa Mwalimu wenu Julius Kambarage Nyerere , Chama cha Mapinduzi na Watanzania?

Najua wengi watauliza Mchungaji kulikoni, na wengine watadai ni mchochezi. Mimi sichochei kibaya kitokee kwenu, nataka muondoke na mema na mtuepushie balaa. Haya mtakayoyasoma hapa chini na kuona huo mkanda, ni kujikumbusha, je itakuwaje ikiwa nchi yetu itafikia hapo?

Kama kero za Umasikini na Dhuluma zitaendelea na nyinyi mkaendelea kuwa watalii na kutupuuzia au kushindwa kufanya kazi zenu na kuwajibika kwa Taifa, je mnategemea mpaka lini Mtanzania ataendelea kusema hewala?

Pamoja na kuwa Mkapa ameshastaafu, na tunambiwa tumuache, lakini kuna maswali mengi ya kumhoji na uongozi wake ambao ulilea uharamia na uanaharamu wa wahujumu.

Kitendo cha Benki Kuu kuhujumiwa pesa nyingi kiasi hicho bila kudhibitiwa kwa kipindi cha miaka takriban 7 ya Utawala wa Mkapa ni jambo la kusikitisha na kutisha.

Swali ni hili, wakati uanatalii kutuombea misamaha ya madeni, ulikuwa wapi kuhakiki vitabu vya mahesabu?
http://www.youtube.com/watch?v=5D5Gnq0xzKM&feature=related

Nicolae Ceauşescu (pronounced [nikoˈlaje tʃauˈʃesku]) (January 26, 1918–December 25, 1989) was the leader of Romania from 1965 until December 1989, when a revolution and coup removed him from power. The self-called revolutionaries' representatives held a two-hour trial and sentenced him to death for crimes against the state, genocide, and "undermining the national economy."[1] The hasty trial has been criticized as a kangaroo court.[2][3][4] His subsequent execution marked the final act of the Revolutions of 1989.

By 1989, Ceauşescu was showing signs of complete denial of reality. While the country was going through extremely difficult times with long bread queues in front of empty food shops, he was often shown on state TV entering stores filled with food supplies, visiting large food and arts festivals where people would serve him mouthwatering food and praising the "high living standard" achieved under his rule. In late 1989, daily TV broadcasts showed lists of CAPs (kolkhozes) with alleged record harvests, in blatant contradiction with the shortages experienced by the average Romanian at the time.
Some people, believing that Ceauşescu was not aware of what was going on in the country, attempted to hand him petitions and complaint letters during his many visits around the country. However, each time he got a letter, he would immediately pass it on to members of his security. Whether or not Ceauşescu ever read any of them will probably remain unknown. According to rumours of the time,[who?] people attempting to hand letters directly to Ceauşescu risked adverse consequences, courtesy of the secret police Securitate. People were strongly discouraged from addressing him and there was a general sense that things had reached an overall low

Ceauşescu and his wife Elena fled the capital with Emil Bobu and Manea Mănescu and headed, by helicopter, for Ceauşescu's Snagov residence, from where they fled again, this time for Târgovişte. Near Târgovişte, they abandoned the helicopter, having been ordered to land by the army, which by that time had restricted flying in Romania's air space. The Ceauşescus were held by the police, while the policemen listened to the radio. The police eventually turned over the couple to the army. On December 25, the two were sentenced to death by a military court on charges ranging from illegal gathering of wealth to genocide, and were executed in Târgovişte. Before they were shot, Ceauşescu sang part of "The Internationale" and proclaimed that history would judge him well, whilst his wife was alternately proclaiming that she was the mother of Romania and screaming at everyone to go to hell.[8]
The Ceauşescus were executed by a firing squad consisting of elite paratroop regiment soldiers Ionel Boeru, Dorin Carlan and Octavian Gheorghiu who shot them with AK-47 assault rifles. After the shooting had stopped, the bodies were covered with canvas. The hasty trial and execution were videotaped and the footage promptly released in numerous western countries. Several days later, footage of their trial and pictures of their corpses (but not of the execution itself) were released on television for the Romanian public.

Despite his relatively low salary for an average world leader at the time, Ceauşescu was known for his luxurious lifestyle spending vast amounts of money borrowed from the west on his own lifestyle while his people were left to reap the effects of his disastrous policies. He owned over 15 luxury palaces around Romania including a riverside villa at Snagov, a lakeside resort at Cernavodă, and a mountainside lodge at Braşov. The Primaverii Palace at Bucharest (the palace was later looted and demolished after the revolution) had whole rooms filled with trappings of wealth. One such room was devoted to Elena's vast collections of fur coats and another room was filled with Ceauşescu's bespoke suits, tuxedos and hunting uniforms (many of which were never even worn). The palaces were no less equipped either as they were filled with priceless silk, porcelain, marble (some valuing over $1,000 per square metre), silverware, chandeliers, and carpets. The collections of wealth found outside the palaces equalled what was inside, such as a vast collection of cars including a Buick Electra given to him as a gift by U.S. President Richard Nixon, a Mercedes Benz Limousine from Mohammad Reza Pahlavi the last Shah of Iran, several Ferraris, Lamborghinis, BMWs, a Rolls Royce from Queen Elizabeth II of the United Kingdom, and a custom-built Trabant from East German leader Eric Honecker. The palaces also contained large guards comparable to the ones at the Palace of Versailles, Ceauşescu's collection of 'Rocket' speedboats and large yachts such as the Snagov I and Snagov II.
 
Kikwete hajali. Hana sababu:

1) Sisi emu ina sheria moja ambayo haiko vitabuni: Ukishinda tiketi ya ugombea, hiyo ni tiketi ya vipindi viwili.

2) Sisi emu inajua kwamba hata kama wangesimamisha mgomba - mti wa ndizi, that is - bado itashinda iwapo itawaambia wananchi huu mgomba uta maintain amani ya nchi. That is their trump card, and nothing else.

Kwa hiyo hata Kikwete na Sisi emu wangeharibu vipi, hawana wasiwasi.

Katika kupita katika vilima na mabonde ya maisha yangu, nimegundua kwamba binadamu ambae hana sababu ya kujali matokeo, ambae hana bosi wa kumkoromea, hana mkosoaji wa kumkalia kooni, binadamu katika mazingira hayo ni wachache wachache mno ambao wanaweza kuji ajibisha wenyewe. Nadhani hii ni asili ya binadamu. Kikwete hayuko katika kundi la viumbe wachache wanaoweza kujali kama hawana sababu ya kujali!
 
Kikwete hajali. Hana sababu:

1) Sisi emu ina sheria moja ambayo haiko vitabuni: Ukishinda tiketi ya ugombea, hiyo ni tiketi ya vipindi viwili.

2) Sisi emu inajua kwamba hata kama wangesimamisha mgomba - mti wa ndizi, that is - bado itashinda iwapo itawaambia wananchi huu mgomba uta maintain amani ya nchi. That is their trump card, and nothing else.

Kwa hiyo hata Kikwete na Sisi emu wangeharibu vipi, hawana wasiwasi.

Katika kupita katika vilima na mabonde ya maisha yangu, nimegundua kwamba binadamu ambae hana sababu ya kujali matokeo, ambae hana bosi wa kumkoromea, hana mkosoaji wa kumkalia kooni, binadamu katika mazingira hayo ni wachache wachache mno ambao wanaweza kuji ajibisha wenyewe. Nadhani hii ni asili ya binadamu. Kikwete hayuko katika kundi la viumbe wachache wanaoweza kujali kama hawana sababu ya kujali!

kama nimekuelewa unamaanisha iwapo tunataka marais wetu, in this case kikwete, wawe makini basi kuna haja ya kubadilisha katiba ili rais awe answerabla kwa chombo fulani.

kama nimeelewa sahihi, nakuunga mkono.
 
picha ya youtube na maelezo yake hapo wakioana mbona mishipa ita washituka!

Ila kweli nchi yetu inahitaji mabadiliko ya haraka,sasa ni juu yetu !
 
I have seriuose pbroblem with My President.

Moyoni na kwenye fikra zake ANA AMINI NINI?

Anaamini na kusimamia nini?

Ameshikilia nini?

Na hatimaye ANATEGEMEA NINI?

AU?

Anategemea kupata majibu ya maswali yangu kwa safari mbalimbali?

Anaamini kwenye kukaa kimya na kimya kiendeshe Taifa...

Anaamini na kutegemea ..wapige kelele finaly watanyamaza...

sijui ameona kilichomponza Rafiki yake..BENJAMINI Mkapa?

Ameona kosa na shimo alilitumbukia..Ben?...Au yuko mbioni..kufuata nyayo?

Au:

Anategemea Kipindi kijacho kukabili mambo kwa kina na mapana?
 
Azimio,

Maandiko yalisema, nitaifanya mioyo yao iwe migumu...

Hawa jamaa wamekuwa si mioyo migumu tuu, bali pia kichwa ngumu!
 
picha ya youtube na maelezo yake hapo wakioana mbona mishipa ita washituka!

Ila kweli nchi yetu inahitaji mabadiliko ya haraka,sasa ni juu yetu !

Waache waendelee kupuuzia. Waulize kina Marcos, Bokassa, Mobutu, Shah, Fujimori na wengine waliojineemesha na kuwafanya wananchi wao masikini wa kutupa.
 
Sasa imefika wakati Taifa linatekwa nyara kwa mambo ya Ushirikina na kupeana sumu ili kuficha madhambi, when will these two heads come out of molehill and clear the mess they created?
 
Kuna mengi yamesemwa/andikwa kuhusu Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Benjamin William Mkapa: "Oh, mkapa ni fisadi," "Mkapa alitumia madaraka ya Urais vibaya," "Mkapa ajitete mbele ya umma," "Blah... blah... blah..."

Lakini ukweli ni kwamba: ni Mzee Ben, na sio Mzee ruksa, wala this Kikwete guy, ambaye ameifanyia nchi hii mema na mazuri. Ikumbukwe kuwa baada ya uchaguzi mkuu wa 1995, Mkapa alipokea nchi iliyokuwa katika hali mbaya kupindukia.

Rushwa ilikuwa imekithiri. Pato la taifa lilikuwa chini. Ukwepaji kodi ulikuwa katika kiwango cha kuogofya. Na miundo mbinu ilikuwa imechoka kupindukia.

Ni chini ya utawala wa mzee Ben ndipo watanzania kwa mara ya kwanza tulipoanza kuona sera ya taifa kuhusu uchumi ikipewa kipaumbele. Miundo mbinu ikiboreshwa. Pato la taifa likikua. Na kamba dhidi ya vita ya rushwa ikikazwa.

Lakini pia katika viongozi tuliowahi kuwapata, ukimuacha Mwalimu, ni Mkapa peke yake aliyekuwa na ubavu wa kupinga kuendeshwa na nchi za Magharibi. Mwinyi alikuwa anajikojolea wahisani wakikohoa, Kikwete (sote tumeshuhudia) anacheza samba kila mara nchi za magharibi zikimuamuru afanye hivyo.

Yes, kuna mabaya amabayo Mkapa ameyafanya ktk kipindi cha miaka 10 akiwa ikulu: (1) mikataba mibaya hususani madini (ambayo hata hivyo ni mwanasheria mkuu ndiye anapaswa kulaumiwa);(2) kumuachia mke wake a—dictate badhi ya shughuli za kiserikali ( one of his weakness). (3) kujihusisha na bishara akiwa ikulu (which is a minor thing)...

Cha msingi hapa ni kujua kuwa Mkapa sio Malaika bali mwandamu. na kama mwadamu, naye pia anahadawa na tamaa ya kuwa na maisha yaliyotulia. You know, financial security and all those things, kwa ki-inglish.

Hitimisho: Hapa suala ni kwamba, Kikwete and his inner circle wameshaona kuwa wamechemsha big time, hivyo wanachokifanya ni kumchafulia mzee Ben jina ili watu wasipate fursa ya ku-compare utawala wake (mtalii Kikwete) na ule wa mzee Ben (mtu safi).
 
Yes, kuna mabaya amabayo Mkapa ameyafanya ktk kipindi cha miaka 10 akiwa ikulu: (1) mikataba mibaya hususani madini (ambayo hata hivyo ni mwanasheria mkuu ndiye anapaswa kulaumiwa);(2) kumuachia mke wake a-dictate badhi ya shughuli za kiserikali ( one of his weakness). (3) kujihusisha na bishara akiwa ikulu (which is a minor thing)...

Mbona kila mtu anadai kapokea nchi ikiwa mbovu au imeharibika! Mwinyi alidai alipopewa nchi hata haikuwa na pesa, Mkapa hivyo hivyo, Kikwete naye kadai matatizo aliyoyakuta ni ya Mkapa. Point ni kwamba kwani kama umekuta mabaya utayaendeleza au utayarekebisha? Mkapa has to get his share of the blame too!
 
Kuna mengi yamesemwa/andikwa kuhusu Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Benjamin William Mkapa: "Oh, mkapa ni fisadi," "Mkapa alitumia madaraka ya Urais vibaya," "Mkapa ajitete mbele ya umma," "Blah... blah... blah..."

Lakini ukweli ni kwamba: ni Mzee Ben, na sio Mzee ruksa, wala this Kikwete guy, ambaye ameifanyia nchi hii mema na mazuri. Ikumbukwe kuwa baada ya uchaguzi mkuu wa 1995, Mkapa alipokea nchi iliyokuwa katika hali mbaya kupindukia.

Rushwa ilikuwa imekithiri. Pato la taifa lilikuwa chini. Ukwepaji kodi ulikuwa katika kiwango cha kuogofya. Na miundo mbinu ilikuwa imechoka kupindukia.

Ni chini ya utawala wa mzee Ben ndipo watanzania kwa mara ya kwanza tulipoanza kuona sera ya taifa kuhusu uchumi ikipewa kipaumbele. Miundo mbinu ikiboreshwa. Pato la taifa likikua. Na kamba dhidi ya vita ya rushwa ikikazwa.

Lakini pia katika viongozi tuliowahi kuwapata, ukimuacha Mwalimu, ni Mkapa peke yake aliyekuwa na ubavu wa kupinga kuendeshwa na nchi za Magharibi. Mwinyi alikuwa anajikojolea wahisani wakikohoa, Kikwete (sote tumeshuhudia) anacheza samba kila mara nchi za magharibi zikimuamuru afanye hivyo.

Yes, kuna mabaya amabayo Mkapa ameyafanya ktk kipindi cha miaka 10 akiwa ikulu: (1) mikataba mibaya hususani madini (ambayo hata hivyo ni mwanasheria mkuu ndiye anapaswa kulaumiwa);(2) kumuachia mke wake a—dictate badhi ya shughuli za kiserikali ( one of his weakness). (3) kujihusisha na bishara akiwa ikulu (which is a minor thing)...

Cha msingi hapa ni kujua kuwa Mkapa sio Malaika bali mwandamu. na kama mwadamu, naye pia anahadawa na tamaa ya kuwa na maisha yaliyotulia. You know, financial security and all those things, kwa ki-inglish.

Hitimisho: Hapa suala ni kwamba, Kikwete and his inner circle wameshaona kuwa wamechemsha big time, hivyo wanachokifanya ni kumchafulia mzee Ben jina ili watu wasipate fursa ya ku-compare utawala wake (mtalii Kikwete) na ule wa mzee Ben (mtu safi).

Hebu changanua kwa kina ulinganishe mabaya na mema ya Mkapa halafu utuambie uzito umelalia wapi. Utakapofanya mchanganuo wako jitahidi uwe kiona mbali, usiwe myopic wa kuangalia mambo mdogo madogo yenye upeo wa miaka miwili au mitatu huku ukiacha mambo yenye athari za miaka 30 na zaidi ijayo.
 
Hebu changanua kwa kina ulinganishe mabaya na mema ya Mkapa halafu utuambie uzito umelalia wapi. Utakapofanya mchanganuo wako jitahidi uwe kiona mbali, usiwe myopic wa kuangalia mambo mdogo madogo yenye upeo wa miaka miwili au mitatu huku ukiacha mambo yenye athari za miaka 30 na zaidi ijayo.

Kichuguu,

Hapa umenena sio watu wanakurupuka usingizini wanakimbilia hapa JF eti Mkapa!
 
Kuna mengi yamesemwa/andikwa kuhusu Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Benjamin William Mkapa: "Oh, mkapa ni fisadi," "Mkapa alitumia madaraka ya Urais vibaya," "Mkapa ajitete mbele ya umma," "Blah... blah... blah..."

Lakini ukweli ni kwamba: ni Mzee Ben, na sio Mzee ruksa, wala this Kikwete guy, ambaye ameifanyia nchi hii mema na mazuri. .....

Rushwa ilikuwa imekithiri. Pato la taifa lilikuwa chini. Ukwepaji kodi ulikuwa katika kiwango cha kuogofya. Na miundo mbinu ilikuwa imechoka kupindukia.

Ni chini ya utawala wa mzee Ben ndipo watanzania kwa mara ya kwanza tulipoanza kuona sera ya taifa kuhusu uchumi ikipewa kipaumbele. Miundo mbinu ikiboreshwa. Pato la taifa likikua. Na kamba dhidi ya vita ya rushwa ikikazwa.......


Yes, kuna mabaya amabayo Mkapa ameyafanya ktk kipindi cha miaka 10 akiwa ikulu: (1) mikataba mibaya hususani madini (ambayo hata hivyo ni mwanasheria mkuu ndiye anapaswa kulaumiwa);(2) kumuachia mke wake a—dictate badhi ya shughuli za kiserikali ( one of his weakness). (3) kujihusisha na bishara akiwa ikulu (which is a minor thing)...


Hitimisho: Hapa suala ni kwamba, Kikwete and his inner circle wameshaona kuwa wamechemsha big time, hivyo wanachokifanya ni kumchafulia mzee Ben jina ili watu wasipate fursa ya ku-compare utawala wake (mtalii Kikwete) na ule wa mzee Ben (mtu safi).

BongoTZ,

Lo salaaale!! Umeniacha hoi na kichwa kinanizunguka... ngoja nikapate aspirin kwanza. Nitakujibu baadaye maanake kwa sasa hivi sina la kusema. My God, I cant believe the audacity and impunity surrounding this post. Let me sleep over it....For now it could only be dream
 
Nashangaa watu wanavyomsifia Mkapa,Don’t praise Mkapa that much, When you look at the Tanzanian economy timeline you will realise Mwinyi had a country at hard time .it was a time when Tanzania was going under structural adjustment programme, which helped the country on prevailing economic, social and political structures from socialism . all of the structural adjustment programmes experienced in the 1980-1990s e.g multy party democracy .In general, adjustment measures included exchange rate devaluation, fiscal policy restructuring, monetary discipline and interest rate rationalization, as well as an array of institutional reforms that involved redefining the role of the state and public enterprises engaged in a range of activities that why during mwinyi time the exchange rate was very good. Let’s say TSH 400 was equal to 1 USD.
When Mkapa came in power the world Bank, Initiated new polices at time and that was Market Economy, that was the time when all the public company was sold. and it did open up the economy by more FDI inflows , which stabilised the economy but at same time people used that chance to benefit themselves mafisadi hao.
In conclution it doesn’t matter who is a president, what worries me is all the polices from world bank, because they are ones can determine the state of the county therefore Mkapa has nothing to credit himself because hata Mr Nice angekuwa raisi it would happened.
 
Could we have tailored the SAP to our own models and not completely adopt to IMF ways? If we would have taken a different approach during conception of Structrural Reforms, by making it slide parallel to our social economic pillars such as Azimio la Arusha, Madaraka Mikoani, Kilimo cha kufa na Kupona and Vijiji vya Ujamaa, could we have been at better place today than what we are facing?

Maana so far naona hizo SAP hazijafanya kazi kumuinua Mtanzani kutoka Umasikini, sanasana zime-polish umasikini na sasa unang'aa zaidi huku wachache na hasa wageni wakituvuna!

Ndio maana nawataka Mkapa na Kikwete, waje na kukiri kuwa wamefanya mambo kutumia madaraka yao ambayo hayamsaidii Mtanzania iwe ni short term au long term!
 
Kuna mengi yamesemwa/andikwa kuhusu Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Benjamin William Mkapa: "Oh, mkapa ni fisadi," "Mkapa alitumia madaraka ya Urais vibaya," "Mkapa ajitete mbele ya umma," "Blah... blah... blah..."

Lakini ukweli ni kwamba: ni Mzee Ben, na sio Mzee ruksa, wala this Kikwete guy, ambaye ameifanyia nchi hii mema na mazuri. Ikumbukwe kuwa baada ya uchaguzi mkuu wa 1995, Mkapa alipokea nchi iliyokuwa katika hali mbaya kupindukia.

Rushwa ilikuwa imekithiri. Pato la taifa lilikuwa chini. Ukwepaji kodi ulikuwa katika kiwango cha kuogofya. Na miundo mbinu ilikuwa imechoka kupindukia.

Ni chini ya utawala wa mzee Ben ndipo watanzania kwa mara ya kwanza tulipoanza kuona sera ya taifa kuhusu uchumi ikipewa kipaumbele. Miundo mbinu ikiboreshwa. Pato la taifa likikua. Na kamba dhidi ya vita ya rushwa ikikazwa.

Lakini pia katika viongozi tuliowahi kuwapata, ukimuacha Mwalimu, ni Mkapa peke yake aliyekuwa na ubavu wa kupinga kuendeshwa na nchi za Magharibi. Mwinyi alikuwa anajikojolea wahisani wakikohoa, Kikwete (sote tumeshuhudia) anacheza samba kila mara nchi za magharibi zikimuamuru afanye hivyo.

Yes, kuna mabaya amabayo Mkapa ameyafanya ktk kipindi cha miaka 10 akiwa ikulu: (1) mikataba mibaya hususani madini (ambayo hata hivyo ni mwanasheria mkuu ndiye anapaswa kulaumiwa);(2) kumuachia mke wake a—dictate badhi ya shughuli za kiserikali ( one of his weakness). (3) kujihusisha na bishara akiwa ikulu (which is a minor thing)...

Cha msingi hapa ni kujua kuwa Mkapa sio Malaika bali mwandamu. na kama mwadamu, naye pia anahadawa na tamaa ya kuwa na maisha yaliyotulia. You know, financial security and all those things, kwa ki-inglish.

Hitimisho: Hapa suala ni kwamba, Kikwete and his inner circle wameshaona kuwa wamechemsha big time, hivyo wanachokifanya ni kumchafulia mzee Ben jina ili watu wasipate fursa ya ku-compare utawala wake (mtalii Kikwete) na ule wa mzee Ben (mtu safi).

Ben Mkapa is the biggest hypocrite Tanzania has ever seen.Usimpe sifa kwa kufanya kazi yake, na wala usitake kutufanya tuamini kuwa Mkapa kile kidogo alichoweza kafanya single handedly.

Ana integrity gani ya kujifanya anakataa zawadi za Kitwana Kondo (baada tu ya kuukwaa urais) na kumwambia KK "aende kumpongeza kwenye magazeti" wakati huo huo m-Range Rover ule aliopewa na Andy Chande kautia kibindoni vizuri sana. Ndiyo Mr. Clean huyo? Alishaanza vituko tangu mwanzo!
 
Mkapa alifanya mazuri kidogo lakini yamefunikwa na mbaya aliyofanya na ni mengi.
KIBURI na UFISADI.
 
Je tunaseleleka kwenye balaa? mauna nilipoadhini kuwa watu wafanye toba, mwenzao kanaswa kibao cha Kelb na Jambawazi mmoja limeuwa vidosho wawili!
 
Rev.
Nadhani hali inazidi kuwa mbaya, nimesoma hotuba ya JK nikabaki kujiuliza kwamba kweli huyu ni raisi au ni mwenyekiti wa mashindano ya UMITASHUMITA tarafa? The guy is a scum, he can't talk about economics (Nadhani umeona ile video ya IMF summit Concluding Plenary » Africa is changing...)

Nadhani Rev kuna umuhimu wa kufanya Summit ambayo tutajadili kwa nini JK amekuwa rais? What are long term implications of the choice? Will Tanzania survived at the end of day? and Many other questions are need a strong debate.... Kwa wale wa USA nadhani badala ya kwenye Easter Dallas basi tutafute mahala tufanye summit ambayo itaongelea wapi Tanzania inakwenda. May be tunaweza kupata strong solutions.
 
Back
Top Bottom