W werawera Senior Member Oct 5, 2010 138 40 Nov 1, 2010 #1 wanaenda zanzibar kufanya nini kama si kuleta vurumai. jamani amani inataka kutoweka. Uwiiiii Uwiiiii. Tupige mayowe mpaka mafisadi tuwatoe.
wanaenda zanzibar kufanya nini kama si kuleta vurumai. jamani amani inataka kutoweka. Uwiiiii Uwiiiii. Tupige mayowe mpaka mafisadi tuwatoe.
Mpasuajipu JF-Expert Member Oct 22, 2010 836 49 Nov 1, 2010 #2 Tupatie source ya hizo information km kweli wameenda huko. lakini si waliyataka wenyewe sasa nini tena?
Tupatie source ya hizo information km kweli wameenda huko. lakini si waliyataka wenyewe sasa nini tena?
W werawera Senior Member Oct 5, 2010 138 40 Nov 1, 2010 Thread starter #3 watu walioko bwawani wamesema hayo kisha vurugu zikaanza
M Mdondoaji JF-Expert Member Mar 17, 2009 5,108 1,136 Nov 1, 2010 #4 Mzalendo . net wameripoti kuwa hawa jamaa wameingia jana usiku sijui wameenda kufanya nini huko?
H Howdesi Member Oct 19, 2010 33 4 Nov 1, 2010 #5 Hivi wanafuata nini??????????????????? maana hata jk yupo Mwanza kaingia kisirisiri usiku!!!!!!! Hawaoni hata hayaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi wanafuata nini??????????????????? maana hata jk yupo Mwanza kaingia kisirisiri usiku!!!!!!! Hawaoni hata hayaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,647 Nov 1, 2010 #6 Zanzibar sio walaini kama wa bara. Lazma patachimbika tu.
N No name Member Jul 27, 2007 13 0 Nov 1, 2010 #7 Labda waeenda kuwaambia CCM kuwa wasiwadhulumu CUF haki yao damu zitamwagika bure
K kingwipa1 JF-Expert Member Jul 2, 2008 334 51 Nov 1, 2010 #8 Mfa maji haishi kutapatapa.... naona wanahangaika kutaka kuiokoa ccm ambayo wameichimbia kaburi wenyewe
Mfa maji haishi kutapatapa.... naona wanahangaika kutaka kuiokoa ccm ambayo wameichimbia kaburi wenyewe
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,191 3,007 Nov 1, 2010 #9 Mwinyi ndio maana walimnasa kibao..mzee mnafiki sana yule.
Nyunyu JF-Expert Member Mar 9, 2009 4,354 1,010 Nov 1, 2010 #10 Wao waheshimu sauti za wananchi, na si mslahi yao!!! Chupi hazitoshi eeh!!!
mooduke JF-Expert Member Oct 28, 2010 629 111 Nov 1, 2010 #11 kwa nini matokeo yanacheleweshwa kutolewa wanataka leta vurugu jamani