MKAPA: Kutovumiliana (intolerance) na kutoshirikishana (exclusion) umeletwa na demokrasia ya kimagharibi, si Uafrika

Asante kwa PDF nitapata kitu cha kusoma.
Mkuu naona kama unamatatizo ya uelewa au umeamua kuwa mbishi tu bila sababu. Maneno mawaili hapa ni muhimu na yanaweza kutuongoza.- UAFRIKA na UMAGHARIBI.
Kwa maoni yangu Uafrika ni kabla ya muingiliano wetu na WAMAGHARIBI. Kama unakubaliana nami basi toka mwarabu aje hapa tukaanza kupoteza uafrika wetu.
Hujanieleza kwa nini unafikiri nina matatizo ya uelewa au ni mbishi tu bila sababu.

Kabla ya kunieleza hilo, ukarukia mambo ya Uafrika na Umagharibi, ambayo mimi sijayataja.

Magharibi ya wapi? Kigoma ni Magharibi ya Dar. Morocco ni Magharibi ya Masr.

Sasa, hapa ni mimi nina matatizo ya kuelea au wewe ndiye unayerukaruka all over the place kwa namna ambayo hata mtu kukuelewa inakuwa kazi?

Umekubali kwamba tangu mkoloni aondoke Tanganyika hatujawahi kuwa na inclusion wala tolerance, bila kujali magharibi wala mashariki?
 
Hujanieleza kwa nini unafikiri nina matatizo ya uelewa au ni mbishi tu bila sababu.

Kabla ya kunieleza hilo, ukarukia mambo ya Uafrika na Umagharibi, ambayo mimi sijayataja.

Magharibi ya wapi? Kigoma ni Magharibi ya Dar. Morocco ni Magharibi.

Sasa, hapa ni mimi nina matatizo ya kuelea au wewe ndiye unayerukaruka all over the place kwa namna ambayo hata mtu kukuelewa inakuwa kazi?

Umekubali kwamba tangu mkoloni aondoke Tanganyika hatujawahi kuwa na inclusion wala tolerance, bila kujali magharibi wala mashariki?
Mkuu bado una matatizo ya uelewa- hasa juu ya muktadha wa mada tunayojadili. Na nimekushauri usome makala ya Mkapa utaelewa ninachojaribu kukuelewesha; baada ya hapo tutaweza jadiliana vizuri.
Kwa mara nyingine tena asante sana kwa PDF.
 
Mkuu bado una matatizo ya uelewa- hasa juu ya muktadha wa mada tunayojadili. Na nimekushauri usome makala ya Mkapa utaelewa ninachojaribu kukuelewesha; baada ya hapo tutaweza jadiliana vizuri.
Kwa mara nyingine tena asante sana kwa PDF.
Nimekuuliza swali very specific.

Umekubali kwamba tangu mkoloni aondoke Tanganyika hatujawahi kuwa na inclusion wala tolerance, bila kujali magharibi wala mashariki?

Hujanijibu.

Unajibaraguza kwamba nina matatizo ya uelewa, ambayo huyataji ni yapi.

Mkapa mwenyewe ni sehemu ya mfumo ulioondoa inclusion na tolerance. Yeye ndiye aliyeanza kumshawishi Nyerere kwamba Kambona ni mtu mbaya na hafai. Nyerere akawa hakubali, akasema Kambona rafiki yake, hawezi kumsaliti hivyo. Mkapa akaendelea kung'ang'ania kumshawishi Nyerere kwamba Kambona ni mtu mbaya.Mpaka Nyerere akakubaliana naye Mkapa, wakamfanya Kambona kuwa effectively "persona non grata" Tanzania.

Sasa leo Mkapa ndiye awe mtu wa kuhubiri inclusion na tolerance?

Wakati wewe unamsoma Mkapa kwenye article za juzi, mimi namjua toka alipotoka.

Unapotaka kujadili hoja nami, jiandae uje kamili, si kuja nusunusu.
 
Nimekuuliza swali very specific.

Umekubali kwamba tangu mkoloni aondoke Tanganyika hatujawahi kuwa na inclusion wala tolerance, bila kujali magharibi wala mashariki?

Hujanijibu.

Unajibaraguza kwamba nina matatizo ya uelewa, ambayo huyataji ni yapi.

Mkapa mwenyewe ni sehemu ya mfumo ulioondoa inclusion na tolerance. Yeye ndiye aliyeanza kumshawishi Nyerere kwamba Kambona ni mtu mbaya na hafai. Nyerere akawa hakubali, akasema Kambona rafiki yake, hawezi kumsaliti hivyo. Mkapa akaendelea kung'ang'ania kumshawishi Nyerere kwamba Kambona ni mtu mbaya.Mpaka Nyerere akakubaliana naye Mkapa, wakamfanya Kambona kuwa effectively "persona non grata" Tanzania.

Sasa leo Mkapa ndiye awe mtu wa kuhubiri inclusion na tolerance?

Wakati wewe unamsoma Mkapa kwenye article za juzi, mimi namjua toka alipotoka.

Unapotaka kujadili hoja nami, jiandae uje kamili, si kuja nusunusu.
Mkuu sina tatizo lolote la ni lini na wapi unajua unachojua. Tatizo langu na wewe ni wewe kwenda nje ya mawada ya mada tunayojadili; hili ni tatizo la uelewa-hakuna namna nyingine ya kulieleza. Nadhani utanielewa sasa.
Hayo unayoonyesha unayajua na kuyaeleza hapa yametokea wakati tayari tumeshaingiliwa na umagharibi ( uzungu). Sasa kuyapinga kunaakisi ukweli kuwa una matatizo ya uelewa.
 
Mkuu sina tatizo lolote la ni lini na wapi unajua unachojua. Tatizo langu na wewe ni wewe kwenda nje ya mawada ya mada tunayojadili; hili ni tatizo la uelewa-hakuna namna nyingine ya kulieleza. Nadhani utanielewa sasa.
Hayo unayoonyesha unayajua na kuyaeleza hapa yametokea wakati tayari tumeshaingiliwa na umagharibi ( uzungu). Sasa kuyapinga kunaakisi ukweli kuwa una matatizo ya uelewa.
Mzungu ni nani?
 
Kuna kitabu fulani alikuwa anajibu maswali ya mwandishi mmoja wa SA 1994/95 kinaitwa BUILDING A VISION kama sijakosea mule kaongea nondo sana ila alivyoingia madarakani alichokifanya. Mungu amrehemu tu kwakweli
Madaraka yanalevya.Ni watu wachache sana wenye busara na hekima ndio wanaoweza kuhimili nguvu ya kua na madaraka makubwa ndani ya nchi.Wengi wakishapata hiyo nafasi kinawajaa kiburi na jeuri.Siku madaraka yakipita ndo akili zinamrudia.
 
Madaraka yanalevya.Ni watu wachache sana wenye busara na hekima ndio wanaoweza kuhimili nguvu ya kua na madaraka makubwa ndani ya nchi.Wengi wakishapata hiyo nafasi kinawajaa kiburi na jeuri.Siku madaraka yakipita ndo akili zinamrudia.
Si malengo ya hoja hii kujadili namna Mkapa alivyotawala.
 
Mzungu ni mzungu Plus mtu yeyote anayejaribu kuwa kama mzungu kwa kufuata desturi na mila za wazungu
Wewe hujui hata kanuni za definition.

Hujui kwamba unapo define neno "mzungu" hutakiwi kutumia hilo neno kwenye definition.

Ukiniuliza "shokolokabangoshe ni nini?", na mimi nikakujibu " shokolokabangoshe ni shokolokabangoshe" hapo utaelewaje shokolokabangoshe ni nini?

Sasa mtu ambaye hata kanuni za ku define vitu hujui nitajadiliana nawe vipi?
 
Wewe hujui hata kanuni za definition.

Hujui kwamba unapo define neno "mzungu" hutakiwi kutumia hilo neno kwenye definition.

Ukiniuliza "shokolokabangoshe ni nini?", na mimi nikakujibu " shokolokabangoshe ni shokolokabangoshe" hapo utaelewaje shokolokabangoshe ni nini?

Sasa mtu ambaye hata kanuni za ku define vitu hujui nitajadiliana nawe vipi?
Mkuu naona unaleta mambo mengi kutaka kunikoga tu- sina haja nayo-turudi kwenye mada ambayo wewe kwa kuchagua kutokuelewa unataka tujadili vitu vingine- NIKUSHAURI- soma makala ya Mkapa.
 
Mkuu naona unaleta mambo mengi kutaka kunikoga tu- sina haja nayo-turudi kwenye mada amabyo wewe kwa kuchagua kutokuelewa unataka tujadili vitu vingine- NIKUSHAURI- soma makala ya Mkapa.
Wewe unaleta vitu ambavyo huwezi kuvi define katika mjadala huu.

Your definitions has a tautology.

Nakuuliza what is x? Unanijibu x is x.

Nikikuuliza uvi define vitu, unakimbia ku define. Unanipa tautology, halafu unakimbia ku define.

Kwa nini unafikiri itafaa kuendeleza mjadala na wewe wakati inaonekana wewe mwenyewe hujui ku define vitu unavyoongelea?
 
Wewe unaleta vitu ambavyo huwezi kuvi define katika mjadala huu.

Your definitions has a tautology.

Nakuuliza what is x? Unanijibu x is x.

Nikikuuliza uvi define vitu, unakimbia ku define. Unanipa tautology, halafu unakimbia ku define.

Kwa nini unafikiri itafaa kuendeleza mjadala na wewe wakati inaonekana wewe mwenyewe hujui ku define vitu unavyoongelea?
Mkuu definition ni za nini na kwa tija gani katika hili tunalojadili? Kichwa cha mada yangu kiko wazi; makala ya Mkapa nimeiweka; ninaamini kwa mtu muelewa hivyo vitu vinatosha kufanya mjadala. Mkuu kama tunajadili mahari wewe unaleta wosia unatupotezea mwelekeo.
 
Mkuu definition ni za nini na kwa tija gani katika hili tunalojadili? Kichwa cha mada yangu kiko wazi; makala ya Mkapa nimeiweka; ninaamini kwa mtu muelewa hivyo vitu vinatosha kufanya mjadala. Mkuu kama tunajadili mahari wewe unaleta wosia unatupotezea mwelekeo.
Kama hujui definitions ni za nini, hujui mjadala.

Hujafikia kiwango cha kujadiliana nami.

Hujaweza kunishawishi kwamba una uwezo wa kujadiliana nami.

Hivyo, sioni haja ya kuendelea kujadiliana nawe.
 
Soma hiyo makala ya Mkapa utaelewa vizuri zaidi- ila ilikuwa ni lazima ili kujenga utaifa- Nation building.

huo utaifa unajengwa kwa kupiga marufuku vyama vy siasa? Mbona Asia hakukupigwa marufuku na nchi za huko zimeendelea kuliko Africa?
 
Toka baada ya uhuru, CCM / TANU walijihisi wao ndio wenye hati miliki ya hili taifa, Na ndio Imani yao mpaka hii leo
 
huo utaifa unajengwa kwa kupiga marufuku vyama vy siasa? Mbona Asia hakukupigwa marufuku na nchi za huko zimeendelea kuliko Africa?
Mkuu utaifa ambao viongozi wengi wa kiafrika wakimo nawakina Nyerere ulikuwa wa kuogopa challenge za mawazo tofauti na yao hivyo kukukimbili ujenzi wa umoja wa kitaifa ikawa sababu ya kuhalalisha uminywaji wa democracy
 
Katika makala yake Mkapa anaandika:-
Yet, when we embraced Western forms of democracy we fell into the trap of making political parties, not as mechanisms for tolerance and inclusion, but of intolerance and exclusion. The concept of “winner takes all” has no African roots. Traditional Africa is corporate, if not communal. It is inclusive (2008:67)
Huyo mzee ni boya sana hakuwa na jambo la maana
 
Back
Top Bottom