Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,943
- 698
Mwisho mwa mwezi huu kutafanyika vikao vya NEC (CCM) kwa siku mbili kijijini Butiama ambako ndiko alikozaliwa Muasisi wa chama hicho Marehemu Mwl. Julius K. Nyerere. Baadhi ya mambo ambayo naamini yatakuwa katika agenda ni:-
1. Mustakhabali na muelekeo wa chama hicho baada ya kukumbwa na gharika la mafisadi.
2. Muafaka kati ya CCM na CUF huko Zanzibar.
Sikutaja mengine kwa sababu nina hakika haya lazima yatajadiliwa. Kitu ambacho naamini kila mtu atakuwa na shauku kubwa kuona au kusikia ni jinsi gani hicho chama chini ya Uongozi wa JK kitakapoweza kukaripia au kutoa adhabu dhidi watu ambao kwa njia moja au nyingine wamehusishwa na hizo tuhuma za ufisadi.
Wajumbe wa NEC ambao wemehusihwa na UFISADI ni:-
1. Ben Mkapa (Rais mstaafu)
2. Rostam Aziz (Tabora)
3. Nazir Karamagi (Kagera)
4. Edward Lowassa (Kutoka viti 20 Bara)
Sasa utamu upo hapa kwa Ben Nkapa, naamini Mwl. Nyerere alipozunguka nchi nzima kumnadi Nkapa aliamini kuwa ni kijana wake swaaaaaaaaafi kabisa, kumbe ndani yake kulikuwa na kipande cha chuma chenye kutu. Akafanya kinyume na Mwl. Nyerere na watanzania wengine walivyofikiria kwa kuichukulia mali ya serikali au kufanya bizinee wakati akiwa bado ndani ya jumba Jeupe. Sasa katika kikao hicho ambacho kitafanyika huko alikozikwa Mwl. Nyerere sijui huyu jamaa ataweza kuji-feel guilty na kuja mbele ya Public nakueleza utumbo na ufisadi aliofanya na watu wake wa karibu i.e Yona, Anna Mkapa na wengineo. Maana kawa Bubu hata hataki kuzungumzia kile ambacho watanzania wanakipigia kelele.
Yeye alikuwa anajulikana kwa ubabe, NATAKA HIKI KIFANYIKE, NATAKA HUYU APELEKWE PALE, NATAKA HIKI KIWE CHANGU. Sasa kwa nini asitumie ubabe huo huo akasema "SASA NATAKA NIONANE NA WAANDISHI WA HABARI au SASA NATAKA KUJIBU TUHUMA" Naamini BWM naye ni mcha Mungu hivyo nafikiri hiyo nafasi ya kwenda Butiama angeitumia vizuri aungame kwa watanzania mbele ya kaburi la Mwl. Nyerere maana CCM kupeleka hicho kikao huko wana moja yao kichwani. Nahisi lakini sina uhakika, inawezekana wanataka kusafisha chama ingawa ninaona ni ngumu sana maana mafisadi humo wamo kibao na wana influence, vilevile EPA haiko mbali na mlango wao maana tunaambiwa kuwa baadhi ya hizo pesa zilisaidia kampeni ya Muungwana. Sasa sijui wataanza kusafisha kuanzia kwa nani. FISADI NI FISADI na alishazoea ufisadi, kuja kuuacha ufisadi pasipo kuacha maumivu kwa wengine itakuwa ni kazi. Labda wapewe karipio na si kufukuzwa uanachama maana watakwenda wengi kwa ule mtindo wa "SIFI PEKE YANGU"
Utamu wa pesa hizo za EPA anaujua JK, BWM, EL, RA na wengineo maana ndizo zilizowaweka hapo walipo. Oh eti Mkapa aachwe apumzike alishastaafu, Shut the hole. Fisadi tangu lini anastaafu na wakati anazidi ku-generate mapato yake na familia yake kupitia fedha za kiharamu. Hataki kumhoji maana wanajua kazi yake waliyompa afanye kutumia umafia na ufisadi wake kuhakikisha CCM na JK wanaingia madarakani kaimaliza na ndiyo maana unaona hata Chenge anazidi kupeta coz alijua hizo deals.
Anyway, naamini watanzania wanasuburi kwa hamu kusikia maamuzi yatakayotolewa na NEC ambayo itahudhuriwa na MAFISADI. Vilevile kuona Emotions gani ambazo Mkapa ataonyesha kwa kumsaliti Baba wa Taifa na watanzania wengine.
1. Mustakhabali na muelekeo wa chama hicho baada ya kukumbwa na gharika la mafisadi.
2. Muafaka kati ya CCM na CUF huko Zanzibar.
Sikutaja mengine kwa sababu nina hakika haya lazima yatajadiliwa. Kitu ambacho naamini kila mtu atakuwa na shauku kubwa kuona au kusikia ni jinsi gani hicho chama chini ya Uongozi wa JK kitakapoweza kukaripia au kutoa adhabu dhidi watu ambao kwa njia moja au nyingine wamehusishwa na hizo tuhuma za ufisadi.
Wajumbe wa NEC ambao wemehusihwa na UFISADI ni:-
1. Ben Mkapa (Rais mstaafu)
2. Rostam Aziz (Tabora)
3. Nazir Karamagi (Kagera)
4. Edward Lowassa (Kutoka viti 20 Bara)
Sasa utamu upo hapa kwa Ben Nkapa, naamini Mwl. Nyerere alipozunguka nchi nzima kumnadi Nkapa aliamini kuwa ni kijana wake swaaaaaaaaafi kabisa, kumbe ndani yake kulikuwa na kipande cha chuma chenye kutu. Akafanya kinyume na Mwl. Nyerere na watanzania wengine walivyofikiria kwa kuichukulia mali ya serikali au kufanya bizinee wakati akiwa bado ndani ya jumba Jeupe. Sasa katika kikao hicho ambacho kitafanyika huko alikozikwa Mwl. Nyerere sijui huyu jamaa ataweza kuji-feel guilty na kuja mbele ya Public nakueleza utumbo na ufisadi aliofanya na watu wake wa karibu i.e Yona, Anna Mkapa na wengineo. Maana kawa Bubu hata hataki kuzungumzia kile ambacho watanzania wanakipigia kelele.
Yeye alikuwa anajulikana kwa ubabe, NATAKA HIKI KIFANYIKE, NATAKA HUYU APELEKWE PALE, NATAKA HIKI KIWE CHANGU. Sasa kwa nini asitumie ubabe huo huo akasema "SASA NATAKA NIONANE NA WAANDISHI WA HABARI au SASA NATAKA KUJIBU TUHUMA" Naamini BWM naye ni mcha Mungu hivyo nafikiri hiyo nafasi ya kwenda Butiama angeitumia vizuri aungame kwa watanzania mbele ya kaburi la Mwl. Nyerere maana CCM kupeleka hicho kikao huko wana moja yao kichwani. Nahisi lakini sina uhakika, inawezekana wanataka kusafisha chama ingawa ninaona ni ngumu sana maana mafisadi humo wamo kibao na wana influence, vilevile EPA haiko mbali na mlango wao maana tunaambiwa kuwa baadhi ya hizo pesa zilisaidia kampeni ya Muungwana. Sasa sijui wataanza kusafisha kuanzia kwa nani. FISADI NI FISADI na alishazoea ufisadi, kuja kuuacha ufisadi pasipo kuacha maumivu kwa wengine itakuwa ni kazi. Labda wapewe karipio na si kufukuzwa uanachama maana watakwenda wengi kwa ule mtindo wa "SIFI PEKE YANGU"
Utamu wa pesa hizo za EPA anaujua JK, BWM, EL, RA na wengineo maana ndizo zilizowaweka hapo walipo. Oh eti Mkapa aachwe apumzike alishastaafu, Shut the hole. Fisadi tangu lini anastaafu na wakati anazidi ku-generate mapato yake na familia yake kupitia fedha za kiharamu. Hataki kumhoji maana wanajua kazi yake waliyompa afanye kutumia umafia na ufisadi wake kuhakikisha CCM na JK wanaingia madarakani kaimaliza na ndiyo maana unaona hata Chenge anazidi kupeta coz alijua hizo deals.
Anyway, naamini watanzania wanasuburi kwa hamu kusikia maamuzi yatakayotolewa na NEC ambayo itahudhuriwa na MAFISADI. Vilevile kuona Emotions gani ambazo Mkapa ataonyesha kwa kumsaliti Baba wa Taifa na watanzania wengine.