Mbona wa Zanzibar amekuja! acheni uchochezi wenu?
Kuna kuchoka, kuna Kuchokwa!Teh teh!
Ni nchi moja tu ya kigeni iliyowakilishwa na mkuu wake,
Nyingine zimewakilishwa na mabalozi.
Siku yenyewe ilikuwa inaboa sana...Hii imekaaje? wastaafu wa ndani hawapo!
wa nje hawajaja
Tumetengwa au tumejitenga kisa uchoyo tu eti wakija kwetu watakunywa soda kwenye dhifa
Hata wakikaa majumbani watashuhudia..kama wangetaka kuja wangekuja kwa gharama zao..maana kumbuja kuna gharama za mafuta, madereva na ulinzi..kwa kutofika hapo tumesha save a lot of moneyHii imekaaje? wastaafu wa ndani hawapo!
wa nje hawajaja
Tumetengwa au tumejitenga kisa uchoyo tu eti wakija kwetu watakunywa soda kwenye dhifa